Ugonjwa unaodaiwa na Wizara ya Afya, ulioua watu 5, unaweza kuwa ni Ebola?

mama yako muulkize anavyolia na kubwata na baba yako
 
Mpaka Sasa Ugonjwa Umedhibitiwa Ila Bado Serikali Na Wajuzi Wapo Site Wakiendelea Kuchakata Taarifa Kujua Ni Nini?


Tuwe Na Subira Ila Tuchukue Tahadhali Muda Wote
 
I have a relative who is still admited at one the hospitals in Bukoba township na some of the dalili za ebola, why not be on alert! Kwa mtu anayejitambua with those symptoms lazima one has to think wide and take precautions.

Kama mtu ana some of the below symptoms, why not worry? and take precautions? particularly the last one bolded

Primary signs and symptoms of Ebola often include some or several of the following:
  • Fever
  • Aches and pains, such as severe headache and muscle and joint pain
  • Weakness and fatigue
  • Sore throat
  • Loss of appetite
  • Gastrointestinal symptoms including abdominal pain, diarrhea, and vomiting
  • Unexplained hemorrhaging, bleeding or bruising ( my relative had those unexplained bleedings)
 
Kwa linchi letu hili na siasa za umagufuli abazo bado kuna remnants zake(though Samia anajitahdi kuufuta), they will never tell the truth! And most likely ni Ebola by dalili zinazoonekana.
Kweli ungekuwa ni mwanamke, tungedhani Magufuli ulimtaka akakukataa! Hatred yako kwa JPM ni ya kiwango cha juu sana!
 
Mbona watu wa vijijini huko maruku bukoba wanasema hao watu wamekufa kwa vifo tofauti tofauti...

Na hata ya miaka ya 2016/2017 wanasema huo ugonjwa ulikuwwpo lakin ukatoweka ..

Lakin sio Ebola
 
Kweli ungekuwa ni mwanamke, tungedhani Magufuli ulimtaka akakukataa! Hatred yako kwa JPM ni ya kiwango cha juu sana!
Bladifaken you bastard! Umeanza kuonekana baada ya Jiwe lenu kufa. Uliongea sana enzi zle sasa umekufa baada ya Mungu kulifyekelea kwa mbali shetani lililokuwa limekubuhu. Hilo hapo libusu

 
Kweli ungekuwa ni mwanamke, tungedhani Magufuli ulimtaka akakukataa! Hatred yako kwa JPM ni ya kiwango cha juu sana!
Blkadifaken bastard boy. Umeanza kujitokeza baada ya shetani wenu mliyemuabudu kufyekelewa mbali na corona. mungu akaamua ugomvi bladifeken yopu!

hilo hapo jiwe nenda kalibusu

 
SIRIKALI yetu huwa hawatangazi magonjwa makubwa makubwa hata ZIKA iliondoka na Late Mwelentuli Malecela(M.A.P) alivyoitangaza wakati yupo NIMRI.

Cha msingi ni kuchukua tahadhari zote za huo ugonjwa maana huko ni mpakani mwa Uganda.
 

Japo sipingani na wenzangu kuwa yaweza kuwa EBOLA au ugonjwa mwingine wenye dalili hizo,
Ifike wakati tuelewe kuwa, Serikali haiendi kwa mihemko eti itamke tu kuwa ni Ebola bila kuwa na 100% proof lakini pia, lots are going on kule ku manage the situation huku sampuli mbali mbali zikisubiriwa zitoe majibu...
 
Mwanamke ni mama yako ujue , kama wanawake ni wa hovyo basi na mama yako ni hovyo! syllogism/logical reasoning dictates that!
Nani kasema hovyo, narudia una mambo ya Kike Kike. Chuki zako kwa JPM hazitakusaidia kitu kamwe, unajiumiza bureee
 
Serikali haipo serious na Maisha ya watu.
Kwa hiyo unataka itamke ni Ebola ndio uone kuwa ipo serious?
Nafikiri unajua kupambana na janga ni vita hasa huku ulimwengu wa tatu ambapo watu hawajaelimika (wapo kishabiki kuliko uhalisia). Mfano utangaze ni Ebola, watu wote waliokuwa karibu wanaweza kutoroka wakihofu kuwekwa quarantine ambapo ni hatari zaidi; lakini wakienda kwa mbinu za kivita, unawatambua wote na hata kama itakuwa ni Ebola inakuwa rahisi kui contain kwa kuwa umeshajua wahusika wote.
 

Labda wanaogopa mwonekano hasi kwa royal tour
 
Nchi hii tunaishi kwa rehema za Mungu, sidhani kama containment ya ugonjwa huu nchi hii itauweza..



Pia wanaogopa kuleta taharuki kwenye jamii
Nchi ambayo imeweza kuzuia magonjwa kibao pamoja na kuwa kwa jirani ndio useme haiwezi containment?
Kuzuia tunaweza na kudhibiti tunaweza.
Tumeweza mara kibao.
 
I agree with you, but why hastening on spreading the Hoax.

Let's be patient, The GOVT is more Pro-Active and well informed.

The info are coming ASAP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…