Ugonjwa unaomsumbua bwana yule unatokana na laana za kula jasho la watu

Ugonjwa unaomsumbua bwana yule unatokana na laana za kula jasho la watu

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Hujafa hujaumbika. Wewe hapo unaumwa nini sema kweli [emoji850][emoji40] Miili yetu hii huwezi kumnyoshea mtu kidole. Tu wadhaifu sana kuhukumu
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Usiseme hivyo, lini umefanya checkup ukajua afya yako.
 
We jamaa bure kabisa.....

Hatakama alifanya hivo sio sababu ya kukufanya useme hivo.

Wahenga walisema "leo kwangu kesho kwake".
Achana na mentality za hovyo hovyo kama wale washikaji wa weeds.
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.


Binadamu ni kiumbe wa ajabu sana katika huu ulimwengu. Unafurahia matatizo ya mwenzio as if wewe siyo binadamu..?

Halafu wewe jamaa utakuwa na vinasaba vya cleopatra sikuelewagi.
Tuliza kende....
Najuta hata kufungua huu uzi..!!
 
Nikimkumbuka huyo mkaka ananikumbusha mtu mmoja maarufu alijifilia kifo lainiii. Yaaser a. wa hukoo mashariki ya kati. Wakasema ilikuwa sumu flan. Je, yeye haiwezekani naye kapakwa hiyo sumu kutokana na biff lake na nanihino?
 
Kwa umri wako huo hata kama ni miaka [emoji725] hujajua nini kuhusu maradhi ya mwanadamu?

Suala la uovu au wema wa mtu haliwezi kuwa sababu ya kushangilia maradhi yake, maradhi ni hatua ambayo hakuna mwanadamu anapenda awe nayo katika maisha yake.

Usipende kuzungumza umbea kwenye afya za watu. Waseme kwa mabaya yao na mema yao ila afya ikianza kuwa taabani haupashwi kusimama kidedea kushangilia.
Adui muombee njaa
 
Kwa umri wako huo hata kama ni miaka [emoji725] hujajua nini kuhusu maradhi ya mwanadamu?

Suala la uovu au wema wa mtu haliwezi kuwa sababu ya kushangilia maradhi yake, maradhi ni hatua ambayo hakuna mwanadamu anapenda awe nayo katika maisha yake.

Usipende kuzungumza umbea kwenye afya za watu. Waseme kwa mabaya yao na mema yao ila afya ikianza kuwa taabani haupashwi kusimama kidedea kushangilia.
Kwenye ule uzi ulikuwa hujui kuandika kiswahili
 
Ugonjwa siyo tu kwa watenda maovu mtu yoyote anaweza kuwa mgonjwa. Ayubu alipooza mwili rafiki zake walisema kamkosea mwenyezi Mungu ndiyo maana kaugua vile jambo ambalo halikuwa kweli. Kuna watoto wanazaliwa wakiwa wana cancer, wakiwa vilema, wakiwa na uvimbe sasa wao wanakuwa wamefanya kosa gani?
 
Back
Top Bottom