kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Kama ndiyo hivyo kwanini kaenda hospitali wakati Manyaunyau yupo?Anaumwa UKIMWI wa kurogwa kama Sam Wa Ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ndiyo hivyo kwanini kaenda hospitali wakati Manyaunyau yupo?Anaumwa UKIMWI wa kurogwa kama Sam Wa Ukweli.
Kwahiyo cheusidawa pia ataondoka na nduguye Majaliwa?Ukimwi huo, na ataondoka na wengi.Kijana alijua kutembeza rungu bila condom.
Ila mambo yanabadilika siku hizo wa kiume pasua kichwa asipokuwa teja anakuwa bwabwa ni changamoto sana.Ila kuwa na mtoto wa kike challenge sana
weka tano tu nizioneMkuu Nina point Zaid ya 10000 za kuikosoa hiyo Quran yako
Acha kujidanganya walopata ukimwi wote hawakutumia condom?? Sometimes zinapasuka katikati ya mchezo ukiwa unaelekea kupiga mshindo. Mungu tu atunusuru mkuu hii ni kama ajaliMimi huwa sifanyi ngono za kipumbavu,kwanza lazima kupima then hata tukipima ukawa negative bado tutatumia Condom.
Ndo maana ni muhimu kupima.Acha kujidanganya walopata ukimwi wote hawakutumia condom?? Sometimes zinapasuka katikati ya mchezo ukiwa unaelekea kupiga mshindo. Mungu tu atunusuru mkuu hii ni kama ajali
Yeah muhimu sanaNdo maana ni muhimu kupima.
Hatareeeeh sanaaahUkimwi huo, na ataondoka na wengi.Kijana alijua kutembeza rungu bila condom.