Ugonjwa unaomsumbua bwana yule unatokana na laana za kula jasho la watu

Ugonjwa unaomsumbua bwana yule unatokana na laana za kula jasho la watu

Siku hizi maambukizi ya kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto hayapo tena. Thanks to the medical science.
hayapo ukifuata stringent rules thereupon! ukilegea yapo! Hivyo si vizuri kusema MTCT haipo, this is a blancket dangerous statement! au wasemaje victoire?
 
Sijamtaja Ruge hapo, acha uchonganishi kijana.
We ndo manfki.
mxiewwww alafu minashangaaa wanaume wa siku hizi ....umbeya ndo mliokaliaaaa,hujawah kuwa hata msanii ilaa kumsema mwenzio utasemaa unamjuaaa achaa kufata mkumbo ww mxiewwwww[emoji57][emoji57][emoji57]babu weee jali yako ustafute comment na likes za jf
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Sidhani ndiyo sababu ya kupata ugonjwa. mbona makatili wakubwa hawana magonjwa. Watu zaidi ya 1,000 wameuawa MKIRU mbona wauaji wanatesa kishenzi na madaraka kedekede! Waliompiga Lisu risasi mbona Mungu hajawaona kuwapa maradhi! Ni coincidence tu! Victoire
 
Samahani, huyo mudy mtu wa ajabu, watu wana akili mavi! Mungu hawawezi kutumia njia nzuri kuwakumbusha kuwa yupo?
kama alivyowakumbusha sodoma na gomora au garika ya nuhu!!?
 
hayapo ukifuata stringent rules thereupon! ukilegea yapo! Hivyo si vizuri kusema MTCT haipo, this is a blancket dangerous statement! au wasemaje victoire?
Ndiyo masharti lazima yazingatiwe, kumbuka mwanzoni uwezo/masharti hayo hayakuwepo. Watoto wengi waliozaliwa miaka ya 90 na elfu mbili mwanzoni wengi waliambukizwa virusi na mama zao wenye maambukizi tayari.
 
kama alivyowakumbusha sodoma na gomora au garika ya nuhu!!?
Huyo siyo Mumgu ni shetani.Mungu ni wa wema na si mateso ndiyo maana nasema Mungu hayupo, ni story za watawala kuwa contain watu wawatawale vizuri!
 
Huyo siyo Mumgu ni shetani.Mungu ni wa wema na si mateso ndiyo maana nasema Mungu hayupo, ni story za watawala kuwa contain watu wawatawale vizuri!
yesu alisulubiwa na watawala wa kirumi..iweje useme dini ipo kwa ajili ya watawala?..hata mtume aliteswa na kufukuzwa mji na watawala..hoja yako mbona ipo kinyume?
 
Ndiyo masharti lazima yazingatiwe, kumbuka mwanzoni uwezo/masharti hayo hayakuwepo. Watoto wengi waliozaliwa miaka ya 90 na elfu mbili mwanzoni wengi waliambukizwa virusi na mama zao wenye maambukizi tayari.
Tuko pamoja, lazima masharti yazingatiwe!

Evidence shows that HIV-positive people who are on treatment, engaged in care, and have an ongoing undetectable viral load:

1. do not transmit HIV to their sexual partners;

2. do not transmit HIV to their baby during pregnancy and delivery (if they maintain an undetectable viral load throughout pregnancy and childbirth);

3. have a reduced chance of transmitting HIV through breastfeeding; however, breastfeeding is not recommended in Canada (formula feeding is the current recommendation);

4. have a reduced chance of transmitting HIV to people they share injection drug use equipment with, but there is currently not enough evidence to conclude that there is no risk.

What is involved in the consistent and correct use of ART and an undetectable viral load for HIV prevention?

The consistent and correct use of ART to maintain an undetectable viral load includes:

1. high adherence to ART medications, to achieve and maintain an undetectable viral load

2. regular medical appointments to monitor viral load and receive adherence support, if needed

3. Regular testing and treatment for sexually transmitted infections (STIs) is also important since this strategy does not protect against STIs.
 
Samahani, huyo mudy mtu wa ajabu, watu wana akili mavi! Mungu hawawezi kutumia njia nzuri kuwakumbusha kuwa yupo?
Mkuu hizi dini hasa ya huyu Mudy ina mambo ya ajabu,unamkuta mtu na ndevu zake anaamini kabisa,dini Ni utumwa wa kifikra
 
Kaumwa imeumwa inasikitisha, akifa itakufa kwa kweli inahuzunisha.
 
Mkuu naheshimu imani yako, lakini Quran ina kasoro na upumbavu mwingi Sasa kwa nini nisikwambie
Ndio maana nikakushauri ukalale tu coz nakujua upstairs wewe ni mweupe,yaani empty! hata ukifahamishwa ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa tu,ule uzi wako wa Pakistani ndio uliokuweka wazi,endelea kuamini unachokiamini,hakuna aliyekulazimisha kuamini vya wenzako,jaribu kua na akili iliyokomaa na si akili yakitoto.
 
Ila yule jamaa alikuwa balaa jamn kwanza alkuwa malaya sanaa, pili alkuwa anawaibia sana wasanii inasemekana pia alkuwa anawagegeda wasanii wakiume na wengine kuwabebesha madawa, jamaa yule si mtu mzuri hata kidogo, kwel hata sie tutaumwa na kufa lkn yule jamaa lazma mungu amfunze, ushawah kuona mtu mchawi anavoteswka kabla ya kufa anaropokwa mpk aliowauwa sasa jamaa yule atajuta sana kwa aliyotenda kabla ya kufa....
Hapo kwenye red mbona hatari!?
 
Anaumwa UKIMWI wa kurogwa kama Sam Wa Ukweli.
 
Back
Top Bottom