Ugonjwa unaomsumbua bwana yule unatokana na laana za kula jasho la watu

Ugonjwa unaomsumbua bwana yule unatokana na laana za kula jasho la watu

Kwanini kama ni fimbo Mungu asimpige Kusaga maana Jide aliwahi kusema kuwa hakuna mtu mfitini kama Kusaga.
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Alikula hela ya nani mfano
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Dah mwana dunia hii we iangalie tu, chunga mdomo wako
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Inamaana Lady Jaydee aliposema waisiende kumzika alijuwa wao watakuwa wakwanza kuzikwa kabla hawajamzika? Watu wanamafumbo jaman
 
Ukimwi huo, na ataondoka na wengi.Kijana alijua kutembeza rungu bila condom.
Dah..halafu alimla dem mmoja hivi wa jamaa wa CRDB...ambaye ana dem mwingine IFM...naye ana bf palepale chuoni ...ambaye naye anatoka na Dem mmoja hivi jina simfaham ila ninachojua ni mchepuko wa jamaa yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Daaah aiseeeee Remember Karma my niqqa,kwanini ufurahie Mr X akiteseka? Mie mwenyewe nilimpinga Mr X kipindi alivyokuwa na ugomvi na Binti Wa KUKOJOZWA na Mzee wa Hiphop MJENGONI lakini kwa sasa Mr X nampa pole inshallah mungu atamponya,nadhani akirudi atakuwa mwingine tena,mabeef yote na wasanii yataisha.
 
Hujafa hujaumbika. Wewe hapo unaumwa nini sema kweli [emoji850][emoji40] Miili yetu hii huwezi kumnyoshea mtu kidole. Tu wadhaifu sana kuhukumu
Subiri Boss wao na yeye aanze kubugia MBAAZI aka NJUGU aka MINJINGU aka DOZI maana amepita sehemu zenye makorongo.
 
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.

Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.


[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Dah..Shangilia kwa furaha sana KAMA ulihusika kumpa sumu au kusaidia kwa namna yoyote juu ya maradhi yanayomsibu kwani kazi yako imefanikiwa....IKIWA haukuhusika kwa lolote lile...basi jijue wewe ni DHAIFU sana... hopeless..[emoji41]
 
Ugonjwa siyo tu kwa watenda maovu mtu yoyote anaweza kuwa mgonjwa. Ayubu alipooza mwili rafiki zake walisema kamkosea mwenyezi Mungu ndiyo maana kaugua vile jambo ambalo halikuwa kweli. Kuna watoto wanazaliwa wakiwa wana cancer, wakiwa vilema, wakiwa na uvimbe sasa wao wanakuwa wamefanya kosa gani?
Sio mtu yoyote ni mtu yeyote
 
Back
Top Bottom