Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tutafufua uzi huu siku ukija kusema "NIOMBEENI"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikula hela ya nani mfanoUgonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.
Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Dah mwana dunia hii we iangalie tu, chunga mdomo wakoUgonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.
Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Huo ni mnyororo unaweza kuwa hata wewe umekupata japo hukushiriki na jamaa moja kwa moja lakini kwa kupitia wengine basi ni mzunguko,Ukimwi huo, na ataondoka na wengi.Kijana alijua kutembeza rungu bila condom.
Inamaana Lady Jaydee aliposema waisiende kumzika alijuwa wao watakuwa wakwanza kuzikwa kabla hawajamzika? Watu wanamafumbo jamanUgonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.
Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
NeverHuo ni mnyororo unaweza kuwa hata wewe umekupata japo hukushiriki na jamaa moja kwa moja lakini kwa kupitia wengine basi ni mzunguko,
Naskia wale wadudu ukishafikisha miaka 45 bhass hawajifichi tena!!! Wanashow up kama loteeee!!Ukimwi huo, na ataondoka na wengi.Kijana alijua kutembeza rungu bila condom.
Mmmmmh una uhakika hahahahahaUkimwi huo, na ataondoka na wengi.Kijana alijua kutembeza rungu bila condom.
Dah..halafu alimla dem mmoja hivi wa jamaa wa CRDB...ambaye ana dem mwingine IFM...naye ana bf palepale chuoni ...ambaye naye anatoka na Dem mmoja hivi jina simfaham ila ninachojua ni mchepuko wa jamaa yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimwi huo, na ataondoka na wengi.Kijana alijua kutembeza rungu bila condom.
Daaah aiseeeee Remember Karma my niqqa,kwanini ufurahie Mr X akiteseka? Mie mwenyewe nilimpinga Mr X kipindi alivyokuwa na ugomvi na Binti Wa KUKOJOZWA na Mzee wa Hiphop MJENGONI lakini kwa sasa Mr X nampa pole inshallah mungu atamponya,nadhani akirudi atakuwa mwingine tena,mabeef yote na wasanii yataisha.Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.
Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Subiri Boss wao na yeye aanze kubugia MBAAZI aka NJUGU aka MINJINGU aka DOZI maana amepita sehemu zenye makorongo.Hujafa hujaumbika. Wewe hapo unaumwa nini sema kweli [emoji850][emoji40] Miili yetu hii huwezi kumnyoshea mtu kidole. Tu wadhaifu sana kuhukumu
Dah..Shangilia kwa furaha sana KAMA ulihusika kumpa sumu au kusaidia kwa namna yoyote juu ya maradhi yanayomsibu kwani kazi yako imefanikiwa....IKIWA haukuhusika kwa lolote lile...basi jijue wewe ni DHAIFU sana... hopeless..[emoji41]Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya Mungu mtu.
Yani atazidi kukongoroka zaidi ya hapo, kwanza alinyanga'nywa demu wake suala ambalo lilimpa pigo takatifu ,pili kilio cha muda mrefu cha wasanii mbalimbali waliokandamizwa na Mr X kwa masilahi yake binafsi kimesikika kwa Mungu sasa Mungu ameamua kumuadhibu Mr X kwa unyama aliokuwa akiufanya kwa watu mbalimbali maana Mr X ni mtu mwenye roho mbaya sana japo ukimuangalia usoni anaonekana mpole mpole.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mr X kibao kimemgeukia sasa hivi anapata tabu sana ,sisi wengine tunafurahi vilivyo jinsi anavyoteseka ili liwe funzo kwa wengine.
Duuuh!Ukimwi huo, na ataondoka na wengi.Kijana alijua kutembeza rungu bila condom.
Sio mtu yoyote ni mtu yeyoteUgonjwa siyo tu kwa watenda maovu mtu yoyote anaweza kuwa mgonjwa. Ayubu alipooza mwili rafiki zake walisema kamkosea mwenyezi Mungu ndiyo maana kaugua vile jambo ambalo halikuwa kweli. Kuna watoto wanazaliwa wakiwa wana cancer, wakiwa vilema, wakiwa na uvimbe sasa wao wanakuwa wamefanya kosa gani?
Unachojaribu kuficha hapo ni nini..je ni uoga au unafiki???Sijamtaja Ruge hapo, acha uchonganishi kijana.
Jibu mujarabuMIT. :24:17
Usifurahi, adui yako aangukapo; Wala moyo wako usishangilie ajikwaapo;