Ugonjwa wa ajabu Kagera uchunguzi siku ngapi?

Ugonjwa wa ajabu Kagera uchunguzi siku ngapi?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Tarehe 16 March, hatimaye serikali ilitaarifu uwepo wa ugonjwa wa ajabu Kagera.

Wakati maisha yakiendelea mabasi nayo kazini.

Huu uchunguzi tulioarifiwa kuuhusu huu ugonjwa hadi lini?
 
Nimeona taarifa kuhusu huu ugonjwa, lakini sijaona taarifa yoyote rasmi toka kwa waziri husika, na ugonjwa wenyewe unaonekana ni hatari hasa ukitazama uwepo wa magonjwa kama Ebola toka nchi jirani za Uganda na Congo.
 
Response ya wizara ni hafifu sana,ugonjwa huo utasambaa sana.
 
L
Nimeona taarifa kuhusu huu ugonjwa, lakini sijaona taarifa yoyote rasmi toka kwa waziri husika, na ugonjwa wenyewe unaonekana ni hatari hasa ukitazama uwepo wa magonjwa kama Ebola toka nchi jirani za Uganda na Congo.
Labda wanasubiri usambae kidogo....Ili mafungu ya pesa ya misaada na vitendea kazi vije....si unajua tena kufa kufaana bongo style.....kaazi kweli kweli..
 
L

Labda wanasubiri usambae kidogo....Ili mafungu ya pesa ya misaada na vitendea kazi vije....si unajua tena kufa kufaana bongo style.....kaazi kweli kweli..
Nchi hii mtafaruku sana hasa katika mambo yahusuyo afya za watu.
Utawasikia wanaomba Msaada!
Ujinga wa Hali juu!
Waziri husika na timu nzima hawako kazini!
 
Nimeona taarifa kuhusu huu ugonjwa, lakini sijaona taarifa yoyote rasmi toka kwa waziri husika, na ugonjwa wenyewe unaonekana ni hatari hasa ukitazama uwepo wa magonjwa kama Ebola toka nchi jirani za Uganda na Congo.
Taarifa rasmi ilikuwa hii hapa:

IMG-20230318-WA0009~2.jpg
 
Nchi hii mtafaruku sana hasa katika mambo yahusuyo afya za watu.
Utawasikia wanaomba Msaada!
Ujinga wa Hali juu!
Waziri husika na timu nzima hawako kazini!

Hata kukiri tu uwepo wa ugonjwa ilikuwa ni baada ya makelele kupigwa sana mitandaoni. Kama kawaida yao utasikia neno lao pendwa - taharuki.
 
L

Labda wanasubiri usambae kidogo....Ili mafungu ya pesa ya misaada na vitendea kazi vije....si unajua tena kufa kufaana bongo style.....kaazi kweli kweli..

Kwamba wanafanya uchunguzi. Huo uchunguzi wa kimya kimya bila mrejesho umekaa je? Kwamba hatuna haki ya kujua kama ugonjwa umekwisha au hata unaendelea je?

Haya yanawezekana Tanzania tu ambako yasiyo ya msingi yanaweza kuwa kipaumbele.
 
Tarehe 16 March, hatimaye serikali ilitaarifu uwepo wa ugonjwa wa ajabu Kagera.

Wakati maisha yakiendelea mabasi nayo kazini.

Huu uchunguzi tulioarifiwa kuuhusu huu ugonjwa hadi lini?
Sidhani kama tuna wataalamu wa such science! .....Researchers to decipher the causative organism. Wakwetu ni sample collectors....surveys are not research, we can only do surveys, not basic research like that! Mtanisamehe
 
Sidhani kama tuna wataalamu wa such science! .....Researchers to decipher the causative organism. Wakwetu ni sample collectors....surveys are not research, we can only do surveys, not basic research like that! Mtanisamehe

Iite kwa jina lolote. Magonjwa kama haya ni hatari kwa maisha ya binadamu ndiyo maana zipo maabara hata nje ya Tanzania kwa ajili ya uchunguzi.

Hakuna anayewataka kuchunguza maana wai wanaweza chunguza hadi mapapai.

Tunayo haki ya kujua Tulipo kUhusiana na ugonjwa huu. Siyo kukaa kimya.
 
Iite kwa jina lolote. Magonjwa kama haya ni hatari kwa maisha ya binadamu ndiyo maana zipo maabara hata nje ya Tanzania kwa ajili ya uchunguzi.

Hakuna anayewataka kuchunguza maana wai wanaweza chunguza hadi mapapai.

Tunayo haki ya kujua Tulipo kihusiana na ugonjwa huu. Siyo kukaa kimya.
Hatuna maabara za ku handle samples za maganjwa yenye dalili za hatari.
 
Nimeona taarifa kuhusu huu ugonjwa, lakini sijaona taarifa yoyote rasmi toka kwa waziri husika, na ugonjwa wenyewe unaonekana ni hatari hasa ukitazama uwepo wa magonjwa kama Ebola toka nchi jirani za Uganda na Congo.
hicho ni sehemu tu ya kielelezo jinsi nchi yetu isivyojali maisha ya watu wake.uhai wa wananchi unawekwa rehani kiuzembe uzembe.fikiria mabasi yako barabarani,makanisani misa zinaendelea kama kawaida,kwenyemabaa,masoko nk hakuna tahadhali yoyote inayochukuliwa na watawala.tumeambiwa tu sampuli zimepelekwa dar na hatimaye kimywa.je kama ni ebola kagera ni salama.ninavyofahamu maruku si mbali sana na mjini na kuna vyuo vya kilimo na utafiti pale kwa maana ya kuwepo na mwingiliano mkubwa.je hiyo jamii pia iko salama?
 
hicho ni sehemu tu ya kielelezo jinsi nchi yetu isivyojali maisha ya watu wake.uhai wa wananchi unawekwa rehani kiuzembe uzembe.fikiria mabasi yako barabarani,makanisani misa zinaendelea kama kawaida,kwenyemabaa,masoko nk hakuna tahadhali yoyote inayochukuliwa na watawala.tumeambiwa tu sampuli zimepelekwa dar na hatimaye kimywa.je kama ni ebola kagera ni salama.ninavyofahamu maruku si mbali sana na mjini na kuna vyuo vya kilimo na utafiti pale kwa maana ya kuwepo na mwingiliano mkubwa.je hiyo jamii pia iko salama?

Tuna taifa lenye kuongozwa na watu wenye kulenga maslahi yao binafsi kama kipaumbele.

Kwa hakika inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom