Ugonjwa wa Gauti(Gout): Chanzo, Dalili na Tiba yake

Mi inanitesa sana.
Mkuu jaribu Mbeya ipo soko matola (hosp siikumbuki vizuri) kule naskia kuna daktari mzuri anasaidia ntaulizia ) japo aliyenisanua bado anajiangalia ndani ya huu mwaka atakavyoendelea japo alikuwa na hali mbaya kabla ya matibabu ila nilivyomuona baada ya matibabu nilishangaa alivyoimprove amerejea katika hali yake ya kawaida
 
Poa poa, mi inakaba inaachia ni balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…