Ugonjwa wa Gauti(Gout): Chanzo, Dalili na Tiba yake

Ugonjwa wa Gauti(Gout): Chanzo, Dalili na Tiba yake

Tiba yake ni kuachaa kula nyama zenye cholesterol kwa wingi, hiyo cholestrol ipo zaidi kwenye nyama nyekundu na ndio zinazopendwa pia zipo sana kwenye organ kama maini figo za wanyama wenye miguu minne japokuwa haipo sana kwenye kiti moto

Matibabu ni dawa za maumivu makali kama diclofenac (olfen),kwa kuondoa hizo uric acid mgonjwa hupewa Halopolinal kwa muda wa week mbili, ila GOUT inatabia ya kujirudia rudia.
Mbuzi ni GOAT; Ugonjwa ni GOUT (Ukiyatamka maneno hayo; mbuzi hutamkwa "Goot" na ugonjwa hutamkwa "Gaut " Gout kwa Kiswahili hujulikana kama JONGO. Haya majina yanamaanisha vitu viwili TOFAUTI KABISA. Kwa ufupi tu ni kwamba: Nyama zote nyekundu i.e. ya Mbuzi, ya kondoo, ya ng'ombe hata za wanyama pori alimradi iwe ni red meat huongeza kasi ya kupata huo ugonjwa.(Zipo predisposing factors nyingine ili mtu aweze kuathirika na ugonjwa huo na sio ulaji wa nyama ya mbuzi tu. Ingekuwa kweli ni hivyo basi ss Wamaa wote tungeliathirika; na pia Demographic Distribution ya Ugonjwa huo ingelionesha viwango vya juu vya kusambaa kwa ugonjwa huo ni kuanzia Ukanda wa Monduli hadi Kiteto na Morogoro). Kitu ambacho hakiko hivyo. Usimsakame mbuzi kwakuwa tu eti jina lake linakaribia-karibia kufanana na jina la huo ugonjwa.
 
Jamaa analosema ni kweli, kuna kipindi nimekula nyama ya mbuzi kibaha mwezi mzima daily, madhara yake nimeyaona baada ya miezi miwili,joint ziliuma sana, nkatumia pain killer's, nkidhani ni muscle pull, lakin wapi nimeteseka sana
 
Jamaa analosema ni kweli, kuna kipindi nimekula nyama ya mbuzi kibaha mwezi mzima daily, madhara yake nimeyaona baada ya miezi miwili,joint ziliuma sana, nkatumia pain killer's, nkidhani ni muscle pull, lakin wapi nimeteseka sana
Hahahahahaha miaka zaidi ya 40 nyama choma ya mbuzi na castle lager natumia leo hii mnakuja na utafiti wenu siwezi acha nyama ya mbuzi
 
Usihof mimi huwa nakula mbuzi choma balaa.....mbuzi ni kweli nyama yake ina acid nyingi.....lkn pindi ukiisha kula kunywa maji yenye PH8....kwa mfano maji ya ndanda...ama unaweza kuchanganya maji yanye PH 7....mfano maji ya Kilimanjaro na kidonge cha magnesium....ili kuongeza PH kati ya nane mpaka tisa...kisha kunywa ....kimsingi ina nutrolise acid yote....msiogope kula mbuzi kwa tishio la gout mkajinyima raha....those above are the preventive measures....pls continue to enjoy goat meat ......
Umenena vema mkuu. Kama ni shida kupata mgenesium trisilicate unaweza pia kutumia Baking powder (Sodium bicarbonate) kwa kuiongeza kidogo (isizidi kijiko kimoja cha chai) kwenye maji yako ya kunywa.
 
Tiba yake ni kuachaa kula nyama zenye cholesterol kwa wingi, hiyo cholestrol ipo zaidi kwenye nyama nyekundu na ndio zinazopendwa pia zipo sana kwenye organ kama maini figo za wanyama wenye miguu minne japokuwa haipo sana kwenye kiti moto

Matibabu ni dawa za maumivu makali kama diclofenac (olfen),kwa kuondoa hizo uric acid mgonjwa hupewa Halopolinal kwa muda wa week mbili, ila GOUT inatabia ya kujirudia rudia.
Sure japo shida siyo Cholesterol ni purines ambazo zinapatikana kwenye damu. Kwahiyo hata damu na nyama za ndani kama maini, figo, bandama etc siyo nzuri. pia bia nazo siyo nzuri.
Lakini research zinaonyesha zaidi ya 90% ya watu wenye gout tatizo ni ini kushindwa kutoa Uric acid na si vyakula.
 
Kuna raia nawaona wanavyofakamia misupu na minyama ya mbuzi kila siku,.sijui hawajui kama ni hatari kwa afya zao,.
 
Mbuzi mtamu sana,hivi kwa wiki ukipata Mara moja kuna shida na maji safi ya kunywa ya kutosha?
 
Kwahiyo, kula nyama ya mbuzi ni dhambi kama ilivyokula KITIMOTO ?

Maana Kitimoto inaelezwa kuwa ni nyama yenye maradhi. Kwa hiyo nyama yenye maradhi ni dhambi kuila.

Afadhali muache kula ili tupungue. Tunanyang’anyana sana nyama hizi huko bucha. Yaani, ni kama kitimoto. Tunapa nafuu mwezi wa Ramadhani tu! Walaji hupungua. Bada ya hapo, ni balaa! Ukipata nusu kilo una bahati.
 
Hivi kwenye jamii za kifugaji mbona sijawahi sikia hizi magonjwa asee, tena kila mwezi anaangushwa bonge la mbuzi, anatundikwa jikoni, mwezi mzima ni mbuzi na ugali. Lakini sijawahi patwa na hio makitu
 
Back
Top Bottom