Illakwahhi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2017
- 465
- 743
Hapo ndipo mnapokosea sikiliza kijana
Kwa gout inayoanza kushambulia kwa ghafla(acute gout) tumia declofenac au colcichine na kwa gout ambyo ni chronic mean week 3 na zaidi unatumia allupurinol au probenecid,zote ni dawa za gout ila ukitumia tofauti na nilivoandika huponi
Kwa gout inayoanza kushambulia kwa ghafla(acute gout) tumia declofenac au colcichine na kwa gout ambyo ni chronic mean week 3 na zaidi unatumia allupurinol au probenecid,zote ni dawa za gout ila ukitumia tofauti na nilivoandika huponi