Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Tumia tu mwanangu, hiya si White meat!!, haina madhara Kiafya km zilivyo Red meat km hizo za ng'ombe, mbuzi na kondoo.Mi mwislam mkuu Noah tena daa??
Hahaa umetisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia tu mwanangu, hiya si White meat!!, haina madhara Kiafya km zilivyo Red meat km hizo za ng'ombe, mbuzi na kondoo.Mi mwislam mkuu Noah tena daa??
Hahaa umetisha
waache tu hamna shida yoyoteMkuu siku hz unachelewa watu wanawahi ile siti yako!
Ikiliwa mbichi na ikiwa haijaiva inavyotakiwa.Huo ugonjwa unaitwa gout. U asababishwa na nyama yoyote nyekundu ikiliwa kwa wingi. Ilamara nyiki huathiri vidole hasa gumba na viwiko/vipepsi. Bia nayo huchangia.
ndomaana wazungu wanamwita goatDaah mkuu hilo BUZI limenona balaa.Uko wapi tufanye mchakato wa kulichinja??
Daah mkuu hilo BUZI limenona balaa.Uko wapi tufanye mchakato wa kulichinja??
Mkuu hilo tatizo la miguu kuwaka moto ninalo sana nilishawahi kufungua uzi kwa ajili hiyo ila haijawahi nisaidia. B12 vitamin nimeshawahi itumia pia lakin wapi. Option ya mwisho niliyobakiwa nayo ni kwenda muhimbili tu.Kwa kuwaka miguu kwenye nyayo tatizo hilo hata mimi ninalipitia inaweza kuwa ni upungufu wa vitamini B12 nenda pharmacy nunua 12 ya vidonge ya Pakistan inaitwa Incobal. vyakula ni best options lakini inachukua muda mrefu sana kutatua tatizo.
Ushauri tumia vitamin B12 na vyakula vinavyojenga vitamin B12 itasaidia na utakuja kutoa ushuhuda hapa
GAUTI?? Ndo nini mkuu fafanua kidogo!Hello Wana JF.
Kwa anayejua dawa ya Gauti please anajulishe ,iwe ya Phamacy Au ya kienyeji msaada please
Hahahahah dawa zingine usenge tu,,, sasa mkojo wa kondo si una uric acid ambayo haitakiwi!!!Dawa ya gout kaka ni rahisi sana. chemsha majani ya mti unaitwa mkaratusi kwenye mkojo wa kondoo mwenye mimba. Subiri uo mchemsho upoe kisha kunywa nusu lita asbh na ioni kwa siku tatu tu. siku tatu zifuatazo kunywa maji lita moja unusu kila siku ukiamka. Mwenyewe siuamini lkn kaka nimepona kabisa