Ugonjwa wa Gauti(Gout): Chanzo, Dalili na Tiba yake

Ugonjwa wa Gauti(Gout): Chanzo, Dalili na Tiba yake

Wenzangu nifanyeje gout inaniua. Leo siku ya tatu bila kuachia. Nameza allopurinol bila mafanikio. What is the alternative medication please.
 
Punguza maumivu na Diclopar yenye caffein ndani yake, acha Bia, acha nyama choma na uache kiuno
 
Punguza maumivu na Diclopar yenye caffein ndani yake, acha Bia, acha nyama choma na uache kiuno
asante sana kwa kujali. Nikiendas dukani kweli hiyo wataijua. Common name ni ipi.
 
asante sana kwa kujali. Nikiendas dukani kweli hiyo wataijua. Common name ni ipi.


Ukifika duka la dawa waeleze tu na wao wanazijua, na bora ukichukua ya 50mg na 100mg ukameza at a go zitakusaidia utalala vizuri kesho nenda kwa Dr
 
Punguza maumivu na Diclopar yenye caffein ndani yake, acha Bia, acha nyama choma na uache kiuno
Kiuno kina uhusiani kweli na production of uric acid! Nyama , bia kweli nilijisahau muda mrefu kwa vitu hivyo, they are rich in uric acid substrates. thanks a lot!
 
Ndugu yangu kama Gout ilishakupata basi ni lazima utaacha mautundu, Gout inauma kama vile unachomwa sindano kwenye joint....acha kabisa
Maumivu niliyonayo sasa hivi unaweza kuomba upumzike uachane na shida hizi. It is terrible pain, ever on earth
 
Pole sana. Kuna dawa nitakutumia picha ukaitafute kwenye pharmacy. Ni ya kuchua na itakusaidia kuondosha maumivu!
=================================================
IMG_20180407_162451.jpg
 
Nitafanya kesho, hali mbaya sana. Nimeshikia kisawasawa. Levels zitakuwa juu maana nimekula nyama na bia kipindi kirefu bila tahadhali! Asante Sky kwa kujali. Karibu Bonde Tate pub!🙁🙁🙁🙁


wewe hutapona kwani unapenda sana Pub, halafu nakushauri kapime afya including Cholesterol, EKG, Cardiography, CT Scan ya moyo, Creatinine na mazongezonge yote ya moyo
 
wewe hutapona kwani unapenda sana Pub, halafu nakushauri kapime afya including Cholesterol, EKG, Cardiography, CT Scan ya moyo, Creatinine na mazongezonge yote ya moyo
Perfect, nina clini ya moyo kila mwisho wa mwezi. kila kitu kiko vizuri, ni kuwa nilikuwa sijapina kidney/liver function tests. Nitafanya kesho.
Pub nina uwezo sana wa kuji control. asante sana kwa ushauri mzuri.
 
.........,......Wakati huo ndo umekaa mezani umezungukwa na washkaji mkipiga story mbili tatu castle light barrdiii zimeipendezesha meza huku mangi kibosho anakausha mguu wa mbele kwenye tanuru basi dunia utaiona kama yako yaani hakuna mwingine anayekufikia ila sasa ikija situation kama hii ndo utajua umuhimu wa kuacha hii kitu.

Pole sana mkuu japo sijawahi kuumwa ila nimeshawahi kukaa karibu na mtu mwenye tatizo hilo hivyo nayahisi maumivu unayoyasikia.ukipona hapa jaribu kupunguza hivi visababishi vya hii homa ili isikurudie tena.
 
Daah pole sana mkuu uric acid imezidi kipimo. Punguza vyakula vyenye mafuta mengi, fanya mazoezi, muhimu kunywa maji ya kutosha
 
.........,......Wakati huo ndo umekaa mezani umezungukwa na washkaji mkipiga story mbili tatu castle light barrdiii zimeipendezesha meza huku mangi kibosho anakausha mguu wa mbele kwenye tanuru basi dunia utaiona kama yako yaani hakuna mwingine anayekufikia ila sasa ikija situation kama hii ndo utajua umuhimu wa kuacha hii kitu.

Pole sana mkuu japo sijawahi kuumwa ila nimeshawahi kukaa karibu na mtu mwenye tatizo hilo hivyo nayahisi maumivu unayoyasikia.ukipona hapa jaribu kupunguza hivi visababishi vya hii homa ili isikurudie tena.
Nitapunguza sana tena sana. Hii ni attack kama ta 5 katika maisha yangu. It is terrible, quite terrible!
 
Daah pole sana mkuu uric acid imezidi kipimo. Punguza vyakula vyenye mafuta mengi, fanya mazoezi, muhimu kunywa maji ya kutosha
asante sana. nakunywa at least 2 litres a day ndivyo walivyonishauri.
 
Back
Top Bottom