Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

Pole sana;
Jitahidi kuzingatia ushauri wa madaktari ili isitokee tena.
 
Pole sana mkuu Domy. Uzazi una mitihani mingi sana.....Mungu atutie wazazi wote IMANI na FARAJA katika nyakati za majaribu katika familia zetu..AMEN.

Halafu Hawa watoto wetu wa hiki kizazi kipya unakuta hana heshima kwa mzazi wake. Inauma sana. :frusty:

Asante sana kiongozi,Uzazi una mitihani mingi nimeamini..!
 
Pole ndugu.pamoja na dawa ulizopewa mtafute bingwa wa watoto amcheki mtoto toncilis na UTI hakikisha anamaliZa dozi ya dawa atakazokuwa amepewa.
pili endelea kumchunguza mwanao kama kuna madhara yaliyompata alipopatwa na hiyo degedege.

degedege ikitokea kama imechukua mda ubongo unakosa oksigen hivyo yaweza kuleta madhara kwa mtoto.

madhara hayo unayachunguza kwa kuwa karibu nae kumcheki kama inamrudia au anakuwa kama anazubaa kuliko kawaida yake.anakuwa na hasira kupita kawaida..

jitahidi kuwa na panadol(paracetamol) yumbani kila ukimuona mwanao ana joto mpe kirobo kila baada ya masaa 6 njia nyingine rahisi mwanao akiwa na homa mkande kwenye mapaja na taulo lenye maji ya vuguvugu au muogeshe ndo muwahishe kwa daktari.

usimpeleke kwenye dawa za mitishamba kama degedege litamrudia daktari atakupa phenobabiton ambayo atazitumia kila siku kwa muda wa miaka isiyopungua miwili hadi daktari atakapokuambia aache

Mwanangu ana miaka sita sasa. Alipatwa na hiyo kitu dege dege (HATARI SANAAA!) akiwa na mwezi mmoja wa kuzaliwa.Shida ilipelekea kulazwa ICU kwa wiki mbili pale Bugando mtoto akiwa hajitambui. Miezi sita baadae, kwa kuona maendeleo yake ya ukuaji si kama ya watoto wengine, tukaenda kwa Daktari Bingwa wa watoto na kupatiwa habari mbaya kabisa kwamba sehemu kubwa ya ubongo wake ilikuwa imeharibiwa wakati wa zile dege dege.Tangu wakati huo niko kwenye mpambano wa kumpatia nafuu na kumpunguzia maumivu.Yeye ni phenababton na phsiotherapy, lakini bahati mbaya hajiwezi kwa lolote.

Nimetoa ushuhuda huu ili wewe mzazi na mzazi mtarajiwa ujifunze kitu.Mleta mada usiishie hapo, tafuta daktari bingwa wa watoto amfanyie mtoto vipimo kuona kama kuna madhara mengine aliyoyapata wakati wa dege dege.
 
Hapo sijakuelewa hata kidogo mkuu, tafadhali yushushie somo, maana mtoto kwangu mimi ndiyo kila kitu, i cant imagine mkuu, kuna wakati mtoto wangu alikuwa akisumbuliwa sana na aleji nilikuwa mpaka natoa chozi! Kaka Domy pole kaka, huo ndiyo ukubwa huo.

Asante Mkuu....
 
Last edited by a moderator:
Dawa ya kifafa

Tiba Ya Kifafa - Natural Home Remedies for Epilepsy

Epilepsy:

• Epilepsy is a brain disorder
• It leads to repeated seizures and convulsions

Symptoms to look for:
• Stiffening of muscles
• Mild or vigorous shaking of arms and legs
• Patient appears to be staring in some direction
• Accidental urination
• Unconsciousness
• Patient may cry or make noise
• Vomiting
• Drooling
• Memory loss

Causes:

• The brain sends electrical impulses which control muscle movements
• In epilepsy, excessive electrical impulses are sent out by the brain
• This leads to stiffening of the muscles which causes jerking reactions
• The seizure stops when the brain stops sending these impulses

Natural home remedy using ash gourd and liquorice powder:

1. Ash gourd is considered as one of the best remedies for seizures
2. Take 1 bowl of crushed ash gourd
3. Press it on a sieve and extract its juice
4. Add 3 tsp liquorice powder
5. Mix well
6. Drink once a day

Natural home remedy using milk and garlic:

1. Take 100 ml milk
2. Add 100 ml water
3. Pour in a vessel
4. Allow the mixture to boil for 10-15 min
5. Crush 4-5 garlic cloves
6. Press on a sieve and extract garlic juice
7. Add it to the milk mixture
8. Mix well
9. Drink once a day

Tips:

• A common myth is that during a seizure one may swallow his tongue,
however this is not true

• Avoid putting anything in the mouth of the patient during a seizure attack
 
Wanajamvi naomba msaada wenu kwa mtu yeyote anayefahamu dawa ya mtu mwenye kifafa, maana hali hii imenitokea ghafla kwa mara ya kwanza mwaka jana kwa kupoteza fahamu kwa muda usiozidi nusu saa. Nimejaribu kwenda hospitali na kufanya vipimo mbalimbali kama MRI na CT-Scan lakini vyote vinaonyesha nipo sawa.

Nilipewa dawa na Prof. Matuje, neurologist nikatumia kwa muda wa mwezi mzima lakini ile hali imeendelea kunitokea na mpaka hivi sasa ninavyoandika hali hiyo imenitokea jumamosi. Kwa sasa nipo above 29years old.

NINAOMBA SANA MSAADA WENU WA USHAURI AU ANAYEJUA TIBA YA HIKI KIFAFA CHA UKUBWANI.NAPATA SHIDA SHANA NDUGU ZANGU.
 
Kifafa

Kifafa ni nini?

Kifafa ni ugonjwa wa ubongo.

Ubongo wa binadamu una mabilioni ya seli za neva.Zinashirikiana na kila moja kupitia chaji ndogo ndogo za umeme ambazo huwaka na kuzima.Wakati baadhi ya ama hizi seli zote kwa ghafla huanza kuwaka kwa pamoja, wimbi la nguvu za umeme hupita kwenye ubongo na husababisha kifafa ama kuzirai.

Kuzirai kwa ghafla huathiri vile ubongo hufanya kazi.Kunaweza kumsababisha mtu kupata mabadiliko ya ghafla katika fahamu, mwendo ama hisia.

Mshtuko wa moyo mmoja haumanishi ya kwamba mtoto ana kifafa.Kuzirai mara moja kunaweza kutokea kwa sababu tofauti k.m homa, jeraha la kichwa, kiwango cha chini cha sukari katika damu na kadhalika.

Kifafa ni jina la kuzirai kwa ghafla kunapotokea zaidi ya mara moja bila ya sababu ya kutibiwa inayojulikana.

Katika sehemu hii jifundishe zaidi kuhusu huu



Ni nini ninachopaswa kufanya ikiwa mtu atashikwa na mshtuko wa kifafa?

Wakati mwingi, huduma ya kwanza ina maana ya kumfanya mtu awe salama wakati mshtuko wa kifafa unapotokea. Kwa bahati nzuri, mshtuko huwa mfupi na huisha baada ya dakika kadhaa.

Hatua ya kwanza katika kujitayarisha kwa ajili ya kifafa ni kufahamu kitu cha kufanya wakati ugonjwa huu unapotokea. Hii ni muhimu ikiwa unamchunga mgonjwa wa kifafa lakini pia kwa kila mtu. Ugonjwa wa kifafa unaweza kuanza katika umri wowote na kila mtu anahitaji kufahamu nini cha kufanya wakati mtu karibu nao anaathiriwa na kifafa.

Huduma ya Kwanza



  • Kuwa mtulivu na usiogope. Kifafa humuogopesha mtazamaji. Huchukua dakika chache na kwa kawaida huhitaji matibabu.Kumbuka ya kwamba mtu aliyeshikwa na kifafa huwa hafamu vitendo vyake na anaweza au asiweze kukusikia.
  • Walinde dhidi ya majeraha wakati wanaposhikwa na kifafa.Ikiwa inahitajika mweke chini kwa njia iliyo taratibu.
  • Sogeza vitu vigumu, vitu vyenye ncha kali na vilivyo moto na linda kichwa na mwili wa mgonjwa dhidi ya jeraha.
  • Usiweke chochote mdomoni ama ujaribu kubanua meno.
  • Mtu hayuko katika hatari ya kumeza ulimi wake
  • Usijaribu kuzuia mwendo wao kwa kutumia nguvu.Hili linaweza kusababisha majeraha kwa mgonjwa na pia yule anayejaribu kuwasaidia.
  • Popote inapowezekana, jaribu kumlaza mtoto katika sehemu iliyo laini na wageuze upande mmoja.
  • Weka kitu tambarare na laini chini ya kichwa chake ili asijiumize.
  • Fungua nguo zilizombana haswa kwenye shingo kama tai, skafu na kadhalika
  • Usiweke chochote mdomoni.
  • Nakili mda ambao mshtuko umechukua.
  • Jaribu kutazama mwondoko ambao mtu hufanya wakati ameshikwa na kifafa.
  • Wakati mkutuo unaanza kupungua, hakikisha ya kwamba kupumua kumerudia hali yake ya kawaida.
  • Baada ya kifafa, mvingirishe mtu ili alalie upande mmoja.Hili hufanya mate kutoka mdomoni na kuhakikisha ya kwamba hanyongwi. Ikiwa kuna matapishi, mweke mtu kwa upande mmoja na safisha mdomo wake kwa kidole.
  • Usijaribu kumpatia dawa ama uoevu hadi aamke
  • Waondolee hofu, zungumza nao kwa upole na wasaidie kupata nafuu pole pole.
  • Usimwache mtu pekee yake hadi apate nafuu.



Ni nini ninachopaswa kufanya ikiwa nadhani nimeathiriwa na kifafa?

Ni muhimu kukumbuka ya kwamba kifafa ni hali ambayo inaweza kudhibitiwa. Sio kitu cha kuona haya. Sio laana ama ulemavu. Ni hali inayohitaji matibabu na kufuatiliwa kama hali zingine kama shinikizo la juu la damu, kisukari, pumu na kadhalika

Ikiwa unadhani ya kwamba umeathiriwa na ugonjwa wa kifafa ama ikiwa umewahi kuanguka chini na kuzimia ni muhimu kutafuta usaidizi wa dakitari aliye karibu. Ikiwa inawezekana andamana na mtu aliyekuwa nawe wakati ikifanyika ili waeleze kile walichokiona. Hili litasaidia dakitari kufanya ubainifu sahihi. Chanzo.
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/156786-kifafa-ni-nini.html
 
Wanajamvi naomba msaada wenu kwa mtu yeyote anayefahamu dawa ya mtu mwenye kifafa, maana hali hii imenitokea ghafla kwa mara ya kwanza mwaka jana kwa kupoteza fahamu kwa muda usiozidi nusu saa. Nimejaribu kwenda hospitali na kufanya vipimo mbalimbali kama MRI na CT-Scan lakini vyote vinaonyesha nipo sawa.Nilipewa dawa na Prof.Matuje ,neurologist nikatumia kwa muda wa mwezi mzima lakini ile hali imeendelea kunitokea na mpaka hivi sasa ninavyoandika hali hiyo imenitokea jumamosi. Kwa sasa nipo above 29years old. NINAOMBA SANA MSAADA WENU WA USHAURI AU ANAYEJUA TIBA YA HIKI KIFAFA CHA UKUBWANI.NAPATA SHIDA SHANA NDUGU ZANGU.
KIFAFA – KUPOOZA.
Tiba kwa kiharusi – matatizo ya awali.
- Mgonjwa anapaswa kukandwa kwa kutumia mafuta ya karafuu na mafuta ya zeituni kwenye uti wa mgongo na baadaye apakwe kichwani. Matibabu huendelea mpaka mtu apone.


Herbs for Epilepsy

Question: What vitamins or herbs do you recommend for Epilepsy? I've been on Dilantin for over 15 years and I still have occasional seizures.

Answer: There is not a great amount of information about this topic in herb books. I did find the same small group of herbs mentioned in several books. In some ways this is comforting. Black Cohosh, Lobelia, Valerian, Scullcap were some of these repeated in many references. I especially like the information in books obviously based in scientific fact. I have plenty of faith in anecdotal evidence especially when the information is from historical sources. I don't think past civilizations or generations would have bothered to pass on information about an herb if it wasn't actually effective as a remedy. For me though, when passing on information to someone else I am much more comfortable using mainly scientific sources. This puts you in a better position for example if you want to share this information with your doctor.


Valerian is currently one of the most popular orthodox antispasmodic medications in Russia and Germany according to Daniel Mowrey author of Herbal Tonic Therapies. It is its anticonvulsant action that has been useful in treating epilepsy. My experience with herbs has shown what is a treatment for a condition is quite often a preventative for the condition. I cannot give you advice because I'm not a doctor but if it were me I would consider taking a small set of herbs or just one herb on a regular basis in hopes of preventing or lessening the severity of occasional seizures. Valerian looks good to me. Speaking of prevention, Valerian was used in the First World War to prevent shell shock in front-line troops. Valerian is a great herb to discuss here because it is classified as a tonic herb. It can regulate and balance opposite extremes. Recent research has shown it to be a sedative but more research has reported it can also stimulate in a way as to improve coordination, increase concentration and energy. This tonic nature of Valerian allows it to depress or stimulate where necessary depending on the current needs of the nervous system. Another way Valerian has been characterized by clinical studies is that it has neurotropic effects directly on higher centers of the central nervous system. One of the most remarkable aspects of Valerian is the almost total lack of toxicity, even with long term use.

Clinical studies have proven the antispasm action of Lobelia. Historically it has been used to treat epilepsy. While I may not know of any recent studies done on this herb for this condition, I would consider using it myself.


Chinese Ginseng, perhaps the most famous medicinal plant of China, is considered a tonic to whole body and has folk use for this condition.

Mistletoe has a historical use for epilepsy but no recent studies that I know of have focused on this condition. Hippocrates claimed it was highly effective remedy for the spleen and some modern European physicians believe treating the spleen may be beneficial in epilepsy. Sir John Colbatch, an English Physician in 1720 wrote a small publication titledThe Treatment of Epilepsy by Mistletoe. There has been confusion about the toxicity of this herb but paying attention to the correct botanical and current safety warnings, the herb can safely be used.

Motherwort was used to calm epileptics during the 17th century and now is used as a nerve tonic and sedative. Current evidence has confirmed its benefits as a cardiotonic and hot-water extracts also show sedative and anti-epileptic effects in animals.

Extracts of Mugwort have been injected into laboratory animals confirming its sedative effects so researchers conclude it is possible the herb could be beneficial for epilepsy. Mugwort has been used for this condition.

Sage is famous throughout history in many different cultures as a miracle herb. A constituent in a Chinese variety Salvia militiorrhiza may become the source of a new tranquilizing agent but without the side-effects of Valium. Valium and Librium are benzodiazepines which are widely prescribed since 1960 to treat epilepsy. Benzodiazepines act on the central B2 receptors in the central nervous system. The herb compound also interacts with the central B[SUB]2[/SUB] receptors.

Scullcap has always been known as a mild and safe nervine. Traditionally it has been used for delirium tremens, St. Vitus' dance, convulsions, seizures, hysterical states, lockjaw, tremors and epilepsy.

Blue Vervain is worth mentioning here after reading old American herb doctors tales of their successes with stubborn cases of epilepsy. Blue Vervain is another wonderful herb nervine use by many cultures all over the world. It is an American Indian remedy for several diseases including nervous afflictions.

Black Cohosh is so highly recommended in numerous respected publications. Like many of the herbs I have already mentioned it's considered a sedative and antispasmodic and has been extensively used for epilepsy. I know the wonderful effects this herb provides our customers for a variety of conditions. This one would be a definite choice of mine.

Herbs have a balancing effect on our systems allowing the use of these kind of relaxing herbs mentioned above, to be used during the day without excessive drowsiness. I am a professional musician as well as an herbalist and for more high pressure concerts I sometimes use Valerian extract before the performance to keep me relaxed and breathing deep. In a situation like this, there is no danger of me falling asleep on stage and the herb just takes the edge off my nervousness. However, I would not take this herb before driving long distances on a road trip for example. I would be concerned it would make me feel too drowsy sitting hour after hour behind the wheel of a car. When in a relaxed state, like before bedtime, Valerian can really help as a sleep aid.

Vitamins and foods have been clinically studied for their beneficial effects on epilepsy. Vitamins especially B[SUB]1[/SUB] and E have shown good results. Foods that are clinically classified as antiepileptic are: asparagus, carob, wheat, ben nut, white lupine, Chinese cabbage, soybean, chives, buffalo gourd, groundnut, butternut, almond, opium poppy, tomato, Italian stone pine, chaya, cowpea, blackbean, pignut hickory, white mustard.

I sure do hope you have success with natural remedies. It is always advisable to consult your doctor about a new herbal regimen.
 
pole saana mtoto wa maskini,

Hebu jaribu kucheki na huyu jamaa hapa chini:

Kifafa
Ugonjwa wa kifafa kwa lugha nyingine huitwa ugonjwa wa kuanguka. Ni tatizo kubwa, mara nyingi huwakumba watoto na watu wazima pia. Waweza kumuanza motto akiwa mdogo na katika mwanzo wa maisha ya utu uzima pia.
Vyanzo Kuna aina kuu mbili za kifafa Pept mal na Grand mal (kifafa kikuu). Pepti mal ikimkumba mgonjwa atapigwa na kifafa muda mfupi tu mara anarudia fahamu zake haraka. Mtu anakumbwa huku akijijuwa kinachoendelea. Lakini katika kesi ya au kukumbwa na Grand mal huteka ubongo wote hata macho kubadirika, povu mdomoni na huku akisaga meno na matukio mengineo. Chanzo hasa cha kifafa ni hitilafu za umeme katika mishipa ya fahamu hasa chemba ya ubongo. Ila katika grand mal au kifafa kikuu ni hitilafu kubwa zaidi za ubongo kama mshtuko mkubwa ubongoni, majeraha ubongoni, na magonjwa kama uti wa mgongo, homa ya matumbo, sumu sugu ya alkoho, ya lead sumu ya kokeni na za mzio sugu.
Tiba zake:

    • Zabibu Mbivu: kamua nusu lita na kuinywa yote kwa kutwa kila siku fanya hivyo kwa miezi mitatu.
    • Karoti na Tango: kamua juisi ya karoti na tango pamoja na kuinywa nusu lita kila siku kwa miezi mitatu.
    • Mlonge: Chemsha mzizi mchanga wa mti wa mlonge na kunywa glasi moja x2 kwa miezi miwili hadi mitatu.. Zaidi tazama Karibu Eden vol 1 kwa msaada zaidi.
    • Mpera : Chemsha majani ya mpera jaza kiganja tia katika lita moja ya maji pika kwa dakika kumi, kunywa glasi moja x2 kwa miezi 3
    • Letuce: Mboga ya letesi mbichi kamua juisi yake na kuitumia glasi 1x2 kwa miezi 2 au zaidi.
    • Indian coral tree: (Isebe) ‘SEBA' Majani ya mti huu ni muhimu sana kudhibiti na kutibu degedege kwa watoto ambayo ukubwani hugeuka na kuwa kufafa. Kunywa juisi yake kama hizo hapo juu.

source: Kifafa
contacts: +255 754 464524 - Mob: +255 653 464524 Email: info@antipaherbals.co.tz
Nakushauri mtembeleee huyu jamaa.

habari zenu wadau, huduma ya kwanza kwa mtu mwenye Ugonjwa wa Kifafa ni nini? pia Ugonjwa wa Kifafa unaambukizwa kwa njia zipi?
 
source: Mafanikio Na Afya Njema: Tiba Ya Kifafa - Natural Home Remedies for Epilepsy
Contacts: Mariam +255 767 76 76 76

NB: Ni vizuri tuwe tunaweka vyanzo vya habari.

njama
Tiba Ya Kifafa - Natural Home Remedies for Epilepsy


epilepsy-2.jpg
Epilepsy1.jpeg



Epilepsy:


• Epilepsy is a brain disorder
• It leads to repeated seizures and convulsions


Symptoms to look for:


• Stiffening of muscles
• Mild or vigorous shaking of arms and legs
• Patient appears to be staring in some direction
• Accidental urination
• Unconsciousness
• Patient may cry or make noise
• Vomiting
• Drooling
• Memory loss


Causes:


• The brain sends electrical impulses which control muscle movements
• In epilepsy, excessive electrical impulses are sent out by the brain
• This leads to stiffening of the muscles which causes jerking reactions
• The seizure stops when the brain stops sending these impulses


Natural home remedy using ash gourd and liquorice powder:


1. Ash gourd is considered as one of the best remedies for seizures
2. Take 1 bowl of crushed ash gourd
3. Press it on a sieve and extract its juice
4. Add 3 tsp liquorice powder
5. Mix well
6. Drink once a day


Natural home remedy using milk and garlic:


1. Take 100 ml milk
2. Add 100 ml water
3. Pour in a vessel
4. Allow the mixture to boil for 10-15 min
5. Crush 4-5 garlic cloves
6. Press on a sieve and extract garlic juice
7. Add it to the milk mixture
8. Mix well
9. Drink once a day


Tips:


• A common myth is that during a seizure one may swallow his tongue,
however this is not true

• Avoid putting anything in the mouth of the patient during a seizure attack
 
Back
Top Bottom