Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

Kamanda,huu ugonjwa usikie tu kwa watu. Juzi usiku wa manane ulimshka mtoto wangu hakika nilidhan nimempoteza!

Hata mimi nilidhani nimepoteza.! Nashukuru MUNGU haikuwa kama nilivyowaza.
 
Mimi mwaka jana mtoto wangu akiwa na mwaka 1 alipatwa na hali hiyo (fit) ilimtokea kama mara 7 kwa siku moja,nilimpeleka aga khan alipimwa kila kitu malaria,uti,meningtis etc lakini zote zilikua negative! Ikagundulika sababu aliharisha sana kwa hiyo madini yalipungua sana mwilini,alipewa drips na ors mambo yakawa safi,namshukuru MUNGU mpaka saizi yupo safi,pole sana Domy

Asante Mkuu.!
 
Last edited by a moderator:
kuna mambo ya kuangalia yA a muhimu ukishamaliza kushusha hiyo homa je mwanao alishawahi kuanguka ?kuangushwa akagonga kichwa?
mwanao alipozaliwa alivutwa na chuma?
je mwanao alichelewa kulia alipozaliwa tu ?
maendeleo yake ya makuzi yakoje amekaa ,kutambaa,kusimama,kutembea,kutamka neno la kwanza vyote hivi amefikia na umri gani ?ukishanipa jibu nitakupa ushauri usiku mwema huku niliko mda huu ni saa sita kamili usiku ngoja nilale tutaonana kesho mpe mtoto dawa
 
pole sana mpendwa wangu.. nakuelewa sana.
Mwanangu alipata shida hiyo akiwa na mwaka na miezi 4, ilikuwa ni usiku wa saa tisa. Tuliamka kumpa maziwa kabla hatujalala ikatokea, sitakaa nisahau inatisha sanaa sanaa na imekaa kama mtu anakata roho.

siku hiyo nilisali sana.. kila neno nilitoa kwa kinywa changu, hosp ni mbali.. but tulienda usiku huo huo kwa kasi ya ajabu. Wakatuambia ni niumonia(spel za kisw lol) sikuridhika tukaenda aghakan tukashauriwa kumpima kichwa akakutwa ana shida kwa kichwa. yuko ktk matibabu til now.

ni muhimu kwenda kumcheki kichwa ili isimrudie tena, na ikitokea ina madhara yake pia. Unaweza kwenda regency au hosp nyingine.. kipimo wanachofanya kinaitwa EGG.

pole sn

Ni EEG sio EGG
 
pole sana, hapa duniani kuna mambo mengi sana yanatokea na kuwapata watu, hata hivyo usiogope kwani mungu everythings are pposible, mpeleke kwenye maombi, nami naamini kwa jina la YESU mwanao atapona kabisa. mungu akutie nguvu katika maamzi hayo niliyo kwambia nawe utauona mkono wa Bwana.

Yesu anausikaje japo?
 
Mkuu Domy pole sana wakwetu! Najua ulivyokuwa upset katika hili! Tusisahau kumtanguliza Mungu!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mara nyingi watoto wa umri chini ya miaka 5 huwa wanapatwa sana na tatizo ilo ushauri ukimuona mtoto ana joto kali anza kumsiponji na sio kumlundikia manguo na kumfunika funika ikiwezekana umwagie maji ya baridi ili homa ishuke watu wengi hawalijui hili hata mi nilikuwa sijui nilijua baada ya mtoto wangu kupata tatizo kama hilo, pole sana usiombe hiyo hali itokee mtoto wako unachanganyikiwa kabisa.
 
Pole sana mara nyingi watoto wa umri chini ya miaka 5 huwa wanapatwa sana na tatizo ilo ushauri ukimuona mtoto ana joto kali anza kumsiponji na sio kumlundikia manguo na kumfunika funika ikiwezekana umwagie maji ya baridi ili homa ishuke watu wengi hawalijui hili hata mi nilikuwa sijui nilijua baada ya mtoto wangu kupata tatizo kama hilo, pole sana usiombe hiyo hali itokee mtoto wako unachanganyikiwa kabisa.

Asante kwa ushauri Mkuu....!
 
Back
Top Bottom