Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,087
Pole sn mungu na amponye mtoto
Nashukuru MUNGU ni mwema mtoto anaendelea vizuri....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sn mungu na amponye mtoto
Kamanda,huu ugonjwa usikie tu kwa watu. Juzi usiku wa manane ulimshka mtoto wangu hakika nilidhan nimempoteza!
Mimi mwaka jana mtoto wangu akiwa na mwaka 1 alipatwa na hali hiyo (fit) ilimtokea kama mara 7 kwa siku moja,nilimpeleka aga khan alipimwa kila kitu malaria,uti,meningtis etc lakini zote zilikua negative! Ikagundulika sababu aliharisha sana kwa hiyo madini yalipungua sana mwilini,alipewa drips na ors mambo yakawa safi,namshukuru MUNGU mpaka saizi yupo safi,pole sana Domy
Pole sana mkuu Dommy,Mwenyezi Mungu awape uponaji.
Ulimtambuaje kuwa niwakiume?
pole sana mpendwa wangu.. nakuelewa sana.
Mwanangu alipata shida hiyo akiwa na mwaka na miezi 4, ilikuwa ni usiku wa saa tisa. Tuliamka kumpa maziwa kabla hatujalala ikatokea, sitakaa nisahau inatisha sanaa sanaa na imekaa kama mtu anakata roho.
siku hiyo nilisali sana.. kila neno nilitoa kwa kinywa changu, hosp ni mbali.. but tulienda usiku huo huo kwa kasi ya ajabu. Wakatuambia ni niumonia(spel za kisw lol) sikuridhika tukaenda aghakan tukashauriwa kumpima kichwa akakutwa ana shida kwa kichwa. yuko ktk matibabu til now.
ni muhimu kwenda kumcheki kichwa ili isimrudie tena, na ikitokea ina madhara yake pia. Unaweza kwenda regency au hosp nyingine.. kipimo wanachofanya kinaitwa EGG.
pole sn
pole sana, hapa duniani kuna mambo mengi sana yanatokea na kuwapata watu, hata hivyo usiogope kwani mungu everythings are pposible, mpeleke kwenye maombi, nami naamini kwa jina la YESU mwanao atapona kabisa. mungu akutie nguvu katika maamzi hayo niliyo kwambia nawe utauona mkono wa Bwana.
Yesu anausikaje japo?
Ndugu pole sana Mungu akutie nguvu
Degedege ni noma!!
Pole sana mara nyingi watoto wa umri chini ya miaka 5 huwa wanapatwa sana na tatizo ilo ushauri ukimuona mtoto ana joto kali anza kumsiponji na sio kumlundikia manguo na kumfunika funika ikiwezekana umwagie maji ya baridi ili homa ishuke watu wengi hawalijui hili hata mi nilikuwa sijui nilijua baada ya mtoto wangu kupata tatizo kama hilo, pole sana usiombe hiyo hali itokee mtoto wako unachanganyikiwa kabisa.