Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,087
Pole sana ni mitihani ya mungu ishaallah atapona
Asante sana Mkuu MUNGU ni mkubwa,naamini atapona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana ni mitihani ya mungu ishaallah atapona
pole sana domy. ila jitahidi sana kumfuatilia mtoto kwa karibu. ukiona badiliko kidogo waone wataalam. watoto wanabadilika kama vinyonga take care sana.
Pole sana mwaya, kulea kazi. Usisahau uzazi wa mpango mwaya.Habari Wadau,
Leo asubuhi nimejikuta katika wakati mgumu pengine kuliko siku yoyote ile,Nilikuwa nimekaa na mtoto wangu akawa ananiambia baba macho yanauma,mara kichwa kinaniuma nikamgusa akawa amechemka sana mwili,nikamwambia tulia nikupeleke hospitali
Tukaendelea kupiga stor na utani mwingi,ghafla akakamaa kama mti huku akitetemeka sana,nikamwita jina akawa haitiki tena, nikamkumbatia,Nilichanganyiwa sana,Ndipo nikamkimbiza hospital lakini ametibiwa.
Nimeona si vibaya kuwashirikisha magumu yangu ya leo
Ndg we ni doctor au daktari?pole sana mpendwa kweli hiyo hali ni ngumu sana .degedege hutokana na homa kali ikipanda kuzidi 40 huwa ubongo unapata short. na hapo ndipo degedege hutokea.
Je alipoteza fahamu kwa muda wa dk ngapi?
mwanao ana umri gani?
je umepewa dawa gani?
je uko mkoa gani?
nipe majibu ya haya maswali ndipo nitakushauri la kufanya
Ulimtambuaje kuwa niwakiume?Hujakosea ni wa Kiume!
Ilimchukua kama dakika kumi kupata fahamu..! Ana miaka mitatu,niko Mbeya,Dawa nilizopewa ziko mbali kidogo nimetoka nyumbani,
Habari Wadau,
Leo asubuhi nimejikuta katika wakati mgumu pengine kuliko siku yoyote
ile,Nilikuwa nimekaa na mtoto wangu akawa ananiambia baba macho
yanauma,mara kichwa kinaniuma nikamgusa akawa amechemka sana
mwili,nikamwambia tulia nikupeleke hospitali
Tukaendelea kupiga stor na utani mwingi,ghafla akakamaa kama mti huku
akitetemeka sana,nikamwita jina akawa haitiki tena,
nikamkumbatia,Nilichanganyiwa sana,Ndipo nikamkimbiza hospital lakini
ametibiwa.
Nimeona si vibaya kuwashirikisha magumu yangu ya leo
Pole sana mwaya, kulea kazi. Usisahau uzazi wa mpango mwaya.
Kama waamini ktk mitishamba hapo mbeya mitaa ya Isanga njia ya kuelekea chunya kuna mtaalam wa hzo mambo anatibu hilo tatzo kabisa. Nashuhudia haya kuna ndugu yangu alihangaika sana hospitali hadi alipoenda pata tiba hiyo kwa mtaalam huo. Kama hali hii itaendelea waweza ulizia na kizuri zaidi hatumii shirki.
Mimi nilivaa viatu halafu
soksi nikaweka mfukoni... Kilichonichanganya zaidi mama yake alikuwa
analia as if mtoto amefariki.Sitaki kabisa hiyo hali
inarudie.....
Mimi nilivaa viatu halafu soksi nikaweka mfukoni... Kilichonichanganya zaidi mama yake alikuwa analia as if mtoto amefariki.Sitaki kabisa hiyo hali inarudie.....
Hiyo ni degedege kaka, atapona tu.lakini kuwa makini sana na sindano kuna dawa za kienyeji tu simple anapona haraka tu. Watoto wengi hupitia hiyo hali usipanic sana
Dah pole sana mkuu yameshanikuta hayo chalii yangu alipatwa na dege dege 2004 akiwa na mwaka m1 ila tulipoenda hosp alikuwa na malaria kali na homa ilikuwa juu akatibiwa akapona na yuko poa stnd 4 sasa,kwa ushauri wangu mchek vizuri huyo chalii lazima atakuwa na ugonjwa uliosababisha
homa kupanda kwa hiyo jaribu kuchek uti na mengineyo.