Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yako ndugu? Pole sana kwa huo ugonjwa wa kifafa wa ndugu yako mimi ninaweza kukutibia ukinihitaji wasiliana na mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasilianohivi ugonjwa wa kifafa unatibika kweli? maana ninamdogo wangu kaugua kifafa akiwa na umri wa miaka 24.
Huo ni ushirikina na wala hauwezi kumtibu mgonjwa wa kifafa ambaye kiukweli muathirika wa mishipa ya fahamu.
Si hivyo tu lakini madhara yanaweza kuwa makubwa mno kwa mtumiaji wa dawa hii ya kaburini kwa kuwa mizizi mingine ni sumu!
Mimi nina dawa kiboko inayowaponya wengi katika ugonjwa huu.
Ukweli tuseme. Ushirikina noma
Ipo dawa ya kutibu Maradhi ya Degedege ukihitaji Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169Hivi Kuna dawa ya kutibu degedege
Hivi Kuna dawa ya kutibu degedege