Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu

ama kweli kila mtu na mtihani wake, usiposumbuliwa na hili, basi lingine litakua la kwako. Pole sana na Mungu akuponye

kabisa, ila tu usikate tamaa endelea kuuliza dawa na ushauri maana Mungu wetu anatuponya kupitia watu na vitu.
 
hivi ugonjwa wa kifafa unatibika kweli? maana ninamdogo wangu kaugua kifafa akiwa na umri wa miaka 24.
Habari yako ndugu? Pole sana kwa huo ugonjwa wa kifafa wa ndugu yako mimi ninaweza kukutibia ukinihitaji wasiliana na mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 
Wana Great Thinker Nafikiri soote humu tunaujua ugonjwa wa Kifafa, Ama kuugua binafsi au kuuguliwa na ndugu na Jamaa zetu Au hata kuuona au kumuona binadamu mwenzetu akianguka kifafa,Twende sote japo Dawa hii ni ngumu na inataka Ujasiri, Usiri, Wepesi na Uharaka Pia.

Kama Una mgonjwa wa Kifafa Unachotakiwa kukifanya ili apone,Tegea siku kuna msiba uwe unakuhusu au Haukuhusu, Chamsingi huo Msiba uwe ni siku ya Mazishi yaani siku Marehemu anazikwa.Kabla ya mazishi si kuna suala la kuchimbwa kwa kaburi,sasa unachotakiwa kufanya unatakiwa uwe miongoni mwa wa wanaolichimba kaburi hilo yaani uwe mmoja wapo wa wachimba kaburi.

Unachotakiwa kufanya mnapoendelea kulichimba kaburi hilo kwa vyovyote ni lazima mkutane na mizizi ndani ya Kaburi hilo so unachotakiwa kufanya ni kuichukua mizizi inayotoka ndani ya kaburi kwa usiri mkubwa sana bila ya wachimbaji wenzio kukuona.

Unachukua kiasi tu hakikisha usionekane baada ya kufanikiwa kuichukua mizizi hiyo kwa siri bila ya kuonekana ondoka nayo mpaka alipo mgonjwa wako ichemshe ile mizizi ena kwa siri bila Mgonjwa wako kujua, ikishachemka chuja mpe kwenye kikombe kiasi tu na akishakunywa unachotakiwa kufanya chukua ile mizizi tena kwa siri kubwa urudi nayo makaburini kule ulikowaacha wenzio wanachimba kaburi baada ya kufika huko unatakiwa uirudishe ile mizizi ndani ya kaburi kwa siri bila ya kuonekana na yoyote miongoni mwa wanaochimba, ukionekana tu Dawa haitofanya kazi.

Na unatakiwa uiweke kaburini kabla mwili haujaletwa kuzikwa. ukifanikiwa marehemu atakapokuja kuzikwa hapo hapo KIFAFA kitakuwa kimezikwa na mgonjwa kapona kabisa.

NAWASILISHA.
 
Huo ni ushirikina na wala hauwezi kumtibu mgonjwa wa kifafa ambaye kiukweli muathirika wa mishipa ya fahamu.

Si hivyo tu lakini madhara yanaweza kuwa makubwa mno kwa mtumiaji wa dawa hii ya kaburini kwa kuwa mizizi mingine ni sumu!

Mimi nina dawa kiboko inayowaponya wengi katika ugonjwa huu.
 
Eti mizizi ya kabuli, kabuli ndo lililo na marehemu kabla ya hapo ni shimo tu.
 
Huo ni ushirikina na wala hauwezi kumtibu mgonjwa wa kifafa ambaye kiukweli muathirika wa mishipa ya fahamu.

Si hivyo tu lakini madhara yanaweza kuwa makubwa mno kwa mtumiaji wa dawa hii ya kaburini kwa kuwa mizizi mingine ni sumu!

Mimi nina dawa kiboko inayowaponya wengi katika ugonjwa huu.


Ukweli tuseme. Ushirikina noma
 
Degedege ni dalili ya homa Kali kwa mtoto,zipo dawa za kiswahili za kutibu.
 
Zipo ila degedege si ishara nzuri kwa mtoto kuitubu bila kutibu sababu ya hiyo degedege ni kazi bure
 
Ipo mi ilinitesa sana wakati mdogo nlivopata ikanisaidia hadi hivi leo nmekua mtu mzima.
 
Habari gani?Kwanza nawasalimu,Harakati za utafutaji wa maisha unaenda sawia.
°wenye kujua ugonjwa wa Degedege.
1.Chanzo cha ugonjwa huo.
2.Dalili zake.
3.Tiba yake.

UPON TO YOU.
JF DOCTOR MEMBERS.
 
Homa kali ikimshika mtoto, asipotibiwa haraka anapata degedege
Nijuavyo mie
 
Back
Top Bottom