Ugonjwa wa kifua na Moyo waongoza kuua wasanii wetu

Ugonjwa wa kifua na Moyo waongoza kuua wasanii wetu

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia kwenu wana JF,

Heri ya mwaka mpya bonna annee happy nu year, kwanza niwape pole familia zilizoondokewa na wapendwa wao, ukiacha ngada na ajali basi kifua na moyo ni magonjwa yanayoongoza kuua wasanii wetu hapa nchini, wasanii waliotutoka chanzo kikiwa hayo magonjwa ni YP, Sherry Magali, Aston Villa, Mr Ebbo, Rukia bruno!

Ugonjwa wa kifua unasababishwa na matumizi ya kupitiliza ya pombe kali, sigara na vitu vinavyofanana na hivyo. Tunaomba wasanii muache kutumia hayo mambo msije wote mkateketea kwa kifua.

Nawasilisha.
 
Wewe.. "Akili za kuambiwa changanya na zako" - Mh. Prof. Rais JK
 
Hivi kwanini kifua ndio kinaongoza kuua wasanii wetu? Kuna haja ya wadau wa mziki kuwapa semina elekezi inawezekana zile mic wanazozitumia zinaeneza au muda mwingi wanakuwa wanatoa show club au wanatumia pumzi nyingi kwa stage hivyo kuathiri mfumo wa upumuaji na kusababisha TB.
 
Hivi kwanini kifua ndio kinaongoza kuua wasanii wetu? Kuna haja ya wadau wa mziki kuwapa semina elekezi inawezekana zile mic wanazozitumia zinaeneza au muda mwingi wanakuwa wanatoa show club au wanatumia pumzi nyingi kwa stage hivyo kuathiri mfumo wa upumuaji na kusababisha TB.

Kwa mara ya kwanza umeongea ka kitu hivi kenye akili.
Kidooogo nimeganda hapa kurudia kusoma.
 
.......kifua kikuu cha ukimwi,inasikitisha sana.

Tunatakiwa kuishi hadi miaka 70+, ila kwa kuwa uovu umezidi sana ndio maana kifo kinakuja mapema.
 
Hivi kwanini kifua ndio kinaongoza kuua wasanii wetu? Kuna haja ya wadau wa mziki kuwapa semina elekezi inawezekana zile mic wanazozitumia zinaeneza au muda mwingi wanakuwa wanatoa show club au wanatumia pumzi nyingi kwa stage hivyo kuathiri mfumo wa upumuaji na kusababisha TB.

Wew kaka nakupenda unawazaga tofauti sana
 
Hivi kwanini kifua ndio kinaongoza kuua wasanii wetu? Kuna haja ya wadau wa mziki kuwapa semina elekezi inawezekana zile mic wanazozitumia zinaeneza au muda mwingi wanakuwa wanatoa show club au wanatumia pumzi nyingi kwa stage hivyo kuathiri mfumo wa upumuaji na kusababisha TB.

Kwa hiyo ndiyo tatizo la mc na kutumia pumzi nyingi kwenye stage? na je wasanii wa nchi nyingine kwani wao hawatumii pumzi nyingi wawapo kwenye majukwaa na pia hawatumii mc? Mbona hatusikii vifo vyao vikitokea kama hapa kwetu!
 
.......kifua kikuu cha ukimwi,inasikitisha sana.

Tunatakiwa kuishi hadi miaka 70+, ila kwa kuwa uovu umezidi sana ndio maana kifo kinakuja mapema.

Poleni dadaangu.
Sie tunawaombea tu.
Ila kama wewe tusaidie kutowagea wengine.
Nnachoshukuru umejitambua.
 
Kwa hiyo ndiyo tatizo la mc na kutumia pumzi nyingi kwenye stage? na je wasanii wa nchi nyingine kwani wao hawatumii pumzi nyingi wawapo kwenye majukwaa na pia hawatumii mc? Mbona hatusikii vifo vyao vikitokea kama hapa kwetu!

Ndio swala la kujiuliza kwanini ma-emcee wa kwetu ndio wanaathirika na vifua? Au mazingira ya mbele na bongo tofauti?
 
Tuache kumung'unya maneno

HAWA WASANII WETU HAWA WANAKUFA KWA

UKIMWI HAKUNA CHA KIFUA WALA NINI

NA WENGINE WENGI TAYARI WASHAAUKWAA

NINAO WAFAHAMU NI WATATU AMBAO WALITAMBA

ZAMANI
 
Back
Top Bottom