MdengestanfromCuba
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 629
- 658
Tuache kumung'unya maneno
HAWA WASANII WETU HAWA WANAKUFA KWA
UKIMWI HAKUNA CHA KIFUA WALA NINI
NA WENGINE WENGI TAYARI WASHAAUKWAA
NINAO WAFAHAMU NI WATATU AMBAO WALITAMBA
ZAMANI
kina nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache kumung'unya maneno
HAWA WASANII WETU HAWA WANAKUFA KWA
UKIMWI HAKUNA CHA KIFUA WALA NINI
NA WENGINE WENGI TAYARI WASHAAUKWAA
NINAO WAFAHAMU NI WATATU AMBAO WALITAMBA
ZAMANI
Tuache kumung'unya maneno
HAWA WASANII WETU HAWA WANAKUFA KWA
UKIMWI HAKUNA CHA KIFUA WALA NINI
NA WENGINE WENGI TAYARI WASHAAUKWAA
NINAO WAFAHAMU NI WATATU AMBAO WALITAMBA
ZAMANI
Tuache kumung'unya maneno
HAWA WASANII WETU HAWA WANAKUFA KWA
UKIMWI HAKUNA CHA KIFUA WALA NINI
NA WENGINE WENGI TAYARI WASHAAUKWAA
NINAO WAFAHAMU NI WATATU AMBAO WALITAMBA
ZAMANI
Tuache kumung'unya maneno
HAWA WASANII WETU HAWA WANAKUFA KWA
UKIMWI HAKUNA CHA KIFUA WALA NINI
NA WENGINE WENGI TAYARI WASHAAUKWAA
NINAO WAFAHAMU NI WATATU AMBAO WALITAMBA
ZAMANI
Watu wanaogopa kujitangaza sababu Jamii itawanyanyapaa. Ila amini hilo kua ugonjwa wa Mapafu, Kifua ni Yale Yale tu, ndio ukimwi wenyewe huo.Umejuaje? Walijitangaza?
Nashukuru Mungu nimefanikiwa kuwa sober boy, sio rahisi kutoka kwenye hilo shimo [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=no]#no [/URL] drinking [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=no]#no [/URL] smoking nomore
Tuache kumung'unya maneno
HAWA WASANII WETU HAWA WANAKUFA KWA
UKIMWI HAKUNA CHA KIFUA WALA NINI
NA WENGINE WENGI TAYARI WASHAAUKWAA
NINAO WAFAHAMU NI WATATU AMBAO WALITAMBA
ZAMANI
Utakua hujatoka bado usipoongeza #NoKavuKavu anymore!
Watu wanaogopa kujitangaza sababu Jamii itawanyanyapaa. Ila amini hilo kua ugonjwa wa Mapafu, Kifua ni Yale Yale tu, ndio ukimwi wenyewe huo.
Kwanza Ukimwi sio aina moja ya ugonjwa, Bali ni kisababishi cha magonjwa mengine nyemelezi.
Ukisikia tu mapafu sijui nini ujue ndio walewale!!
Kiungo wa Zamani wa Simba Christopher Alex Massawe nae yupo kwenye Mkondo. Watu au Jamii haiambiwi ukweli ndio maana wanapukutika kila siku.
Haha mi mabinti sio zangu kabisaa, nna baby wangu anatosha nampenda kama nini sijui, ni mzuri dunia nzima.
Hivyo vitu ndio vimenisumbua nna timiza miaka sijagusa kwa jamaa zangu wanahisi ni maajabu.
Tuache kumung'unya maneno
HAWA WASANII WETU HAWA WANAKUFA KWA
UKIMWI HAKUNA CHA KIFUA WALA NINI
NA WENGINE WENGI TAYARI WASHAAUKWAA
NINAO WAFAHAMU NI WATATU AMBAO WALITAMBA
ZAMANI
Ukisikia tu mapafu sijui nini ujue ndio walewale!!
Kiungo wa Zamani wa Simba Christopher Alex Massawe nae yupo kwenye Mkondo. Watu au Jamii haiambiwi ukweli ndio maana wanapukutika kila siku.
[h=2]TB INAMMALIZA CHRISTOPHER ALEX[/h] Na Hans Mloli
KIUNGO wa zamani wa Simba, Christopher Alex Massawe amechoka kiafya kwa sasa kutokana na matatizo na Ugonjwa ya Kifua Kikuu (TB).
Massawe ambaye aliwahi kutamba na kikosi cha Simba iliyokuwa tishio mwaka 2003 ambayo iliitoa Zamalek ya Misri katika Ligi ya Mabingwa Afrika, kwa sasa yupo mkoani Dodoma nyumbani kwa mama yake mzazi akiendelea kujiuguza.
Akizungumza na Championi Ijumaa kwa njia ya simu, Massawe alisema kuwa muda mrefu amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya kukohoa na ndipo kaamua kurudi kwa mama yake kwa ajili ya vipimo zaidi vilivyoibua ugonjwa huo ambao tayari ameshaanza kujitibu kwa kumeza dawa husika.
Naumwa sana sasa hivi mjomba, nasumbuliwa mno na TB na ndiyo inayonimaliza, pamoja na kupata matibabu lakini bado nahitaji msaada hali yangu ni tete mno, alizungumza Massawe kwa taabu.Massawe ametoa ruhusa kwa gazeti hili kuwa kwa yeyote ambaye anahitaji kumsaidia au kuwasiliana naye amtafute kupitia namba 0712 341179.
Simba na wadau wa soka kwa ujumla namba yake ya simu hiyo hapo tumsaidieni.
Ukisikia tu mapafu sijui nini ujue ndio walewale!!
Kiungo wa Zamani wa Simba Christopher Alex Massawe nae yupo kwenye Mkondo. Watu au Jamii haiambiwi ukweli ndio maana wanapukutika kila siku.
Mkuu ebu funguka zaidi,maana jamaa naye kifua kimemuondoa leo.
R. I. P Christopher Alex Massawe, Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa.
Mkuu Amalinze huyu jamaa ameumwa sana kifua, jiulize mtu ambae labda havuti sigara Wala haishi maeneo ya Baridi anaugua vipi kifua.
Hapa Mkuu ni ugonjwa wetu ule ule tu!!
Watu wanaogopa kujitangaza sababu Jamii itawanyanyapaa. Ila amini hilo kua ugonjwa wa Mapafu, Kifua ni Yale Yale tu, ndio ukimwi wenyewe huo.
Kwanza Ukimwi sio aina moja ya ugonjwa, Bali ni kisababishi cha magonjwa mengine nyemelezi.