Ugonjwa wa kunyonyoka nywele usiku!

Ugonjwa wa kunyonyoka nywele usiku!

Maundumula

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
7,553
Reaction score
3,081
Habari zenu jameni,

Naomba kuuliza , hivi kuna ugonjwa wa ngozi ambao mtoto anaweza kupata ukamfanya anaamka asubuhi sehemu za nywele kichwani zimenyonyoka? Nakumbuka enzi za utoto nikienda kumtembelea bibi sometimes unaamka asubuhi sehemu fulani ya kichwa haina nywele. Je ni Mapunye ama?
 
Habari zenu jameni,

Naomba kuuliza , hivi kuna ugonjwa wa ngozi ambao mtoto anaweza kupata
ukamfanya anaamka asubuhi sehemu za nywele kichwani zimenyonyoka?
Nakumbuka enzi za utoto nikienda kumtembelea bibi sometimes unaamka
asubuhi sehemu fulani ya kichwa haina nywele. Je ni Mapunye ama?

Kwanini iwe kwa bibi tu?tafakari,chukua hatua..!
 
Habari zenu jameni,

Naomba kuuliza , hivi kuna ugonjwa wa ngozi ambao mtoto anaweza kupata ukamfanya anaamka asubuhi sehemu za nywele kichwani zimenyonyoka? Nakumbuka enzi za utoto nikienda kumtembelea bibi sometimes unaamka asubuhi sehemu fulani ya kichwa haina nywele. Je ni Mapunye ama?

Tafsiri ya "kwenda kwa bibi" ni mtambuka.
 
Back
Top Bottom