Dawa peke ni kufanyiwa upasuaji tu. Kuna mdogo wangu alipata akafanyiwa hivyo wanatumia moto wa gesi kuviunguza/kukata na hadi leo vishaponaNaombeni msaada jinsi ya kuondoa hivyo vipele kwa sababu nilishatumia dawa ya kupaka lakini baadae vinarudi tena kwa yeyeto ambaye anafahamu dawa ya kumeza au sindano hata kama ipo ya kupaka ambayo inaweza kuondoa nitashukuru pia.
Kama nikipata doctor pia itakuwa vizuri samahani kwa kupangilia vibaya ila muhimu ni kupata matatibu.Nakaribisha maoni na ushauri
Je pamepona????Nimeweka utomvu wa papai bichi!! Nimeweka pamevuta na kutekenya mno!! Panatekenya hatari, natamani nikate hiyo sehemu!!
habari ndugu vip tayari umeshapata tiba ya huo ugonjwa hata mimi mpaka sasaiv bado nasumbuliwa na huo ugonjwa tena kwenye ulimi kuna warts wamejitokeza hasa mwisho wa ulimi karibia na koo mpaka sasa bado sijapata tiba ya huu ugonjwsabbuNaombeni msaada jinsi ya kuondoa hivyo vipele kwa sababu nilishatumia dawa ya kupaka lakini baadae vinarudi tena kwa yeyeto ambaye anafahamu dawa ya kumeza au sindano hata kama ipo ya kupaka ambayo inaweza kuondoa nitashukuru pia.
Kama nikipata doctor pia itakuwa vizuri samahani kwa kupangilia vibaya ila muhimu ni kupata matatibu.Nakaribisha maoni na ushauri
Naombeni msaada jinsi ya kuondoa hivyo vipele kwa sababu nilishatumia dawa ya kupaka lakini baadae vinarudi tena kwa yeyeto ambaye anafahamu dawa ya kumeza au sindano hata kama ipo ya kupaka ambayo inaweza kuondoa nitashukuru pia.
Kama nikipata doctor pia itakuwa vizuri samahani kwa kupangilia vibaya ila muhimu ni kupata matatibu.Nakaribisha maoni naushaur
hata mimi nasumbuliwa sana tena warts sehemu ya ulimi karibia na koo nahangaika kupata tiba kama umepata tiba naomba na mimi nielekezNaombeni msaada jinsi ya kuondoa hivyo vipele kwa sababu nilishatumia dawa ya kupaka lakini baadae vinarudi tena kwa yeyeto ambaye anafahamu dawa ya kumeza au sindano hata kama ipo ya kupaka ambayo inaweza kuondoa nitashukuru pia.
Kama nikipata doctor pia itakuwa vizuri samahani kwa kupangilia vibaya ila muhimu ni kupata matatibu.Nakaribisha maoni na ushauri
Umesoma nilichoandika mimi hapo juu ?Wataalamu , mm ninasumbuliwa sana na hii shida ya genital warts.
Nimesoma uzi humu ukishauri kupaka kitunguu saumu.
Loohh
Kimeleta balaa kubwa maana kimefanya kama kuunguza na kuniachia vidonda.
Naomba wataalamu mje na wale ambao wamewahi kupitia hali hii...walitumia nn wakapona hili tatizo.. Asanteni
Mkuu vipi??viliisha?nimerud tena kuleta mrejesho, nimetumia hii podophyllin siku ya tatu leo, kwa maeleze ya watu wanasema hii dawa inaunguza ila kwangu mm naona ni tofauti haiunguzi pili sioni matokeo yeyote hadi hivi sasa hakuna mabadiriko kabisa naombeni mnisaidie wakuu kimawazo namna ya kuondoa hizi skin tags kwenye uumeView attachment 1658060
Dah.... Apo kuna mademu umeshakulana nao denda au ulikuwa unaingia chumvini bwana mdogo..... Mbona tutakoma jamani......habari ndugu vip tayari umeshapata tiba ya huo ugonjwa hata mimi mpaka sasaiv bado nasumbuliwa na huo ugonjwa tena kwenye ulimi kuna warts wamejitokeza hasa mwisho wa ulimi karibia na koo mpaka sasa bado sijapata tiba ya huu ugonjwsabbu
hata mimi nasumbuliwa sana tena warts sehemu ya ulimi karibia na koo nahangaika kupata tiba kama umepata tiba naomba na mimi nielekez
pamoja mkuu
asee nimepona kabisa kilichonisaidia mimi ni detol ya kuogea sabuni zile dawa zilizingua tuTupe updates kaka,,vipi maendeleo ya dawa?!!!
asee nimepona kabisa kilichonisaidia mimi ni detol ya kuogea sabuni zile dawa zilizingua tu
ilidunda hile vipere vikaongezeka vingiIle podophyllin haikukusaidia??!!
ilidunda hile vipere vikaongezeka vingi
yeah mzeeOkay,,so ukaacha ukaanza tumia sabuni ya detol,,ikakubali??!!