Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)

Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)

habari ndugu vip tayari umeshapata tiba ya huo ugonjwa hata mimi mpaka sasaiv bado nasumbuliwa na huo ugonjwa tena kwenye ulimi kuna warts wamejitokeza hasa mwisho wa ulimi karibia na koo mpaka sasa bado sijapata tiba ya huu ugonjwsabbu



hata mimi nasumbuliwa sana tena warts sehemu ya ulimi karibia na koo nahangaika kupata tiba kama umepata tiba naomba na mimi nielekez
Kansa ya koo mambo ya kwenda uvinza hayo
 
Dettol inafanya kazi vizuri sana nimepata warts nikatumia dawa za kunywa (alcovir), za kupaka(alcovir+ beta derm) mpaka sindano havikupungua hata kidogo.

Nimeuona huu Uzi 22 Novemba, tarehe 23 nikanunua Dettol na kuanza kuitumia mpaka sasa nimeona mabadiliko makubwa

Kuna utitiri wa warts ulianza kutokea umeshakauka

Vile vikubwa vimepungua sana na vina kauka naamini baada ya muda vitaisha kabisa
 
Dettol inafanya kazi vizuri sana nimepata warts nikatumia dawa za kunywa (alcovir), za kupaka(alcovir+ beta derm) mpaka sindano havikupungua hata kidogo.

Nimeuona huu Uzi 22 Novemba, tarehe 23 nikanunua Dettol na kuanza kuitumia mpaka sasa nimeona mabadiliko makubwa

Kuna utitiri wa warts ulianza kutokea umeshakauka

Vile vikubwa vimepungua sana na vina kauka naamini baada ya muda vitaisha kabisa
Matumizi ya dettol

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
habari ndugu vip tayari umeshapata tiba ya huo ugonjwa hata mimi mpaka sasaiv bado nasumbuliwa na huo ugonjwa tena kwenye ulimi kuna warts wamejitokeza hasa mwisho wa ulimi karibia na koo mpaka sasa bado sijapata tiba ya huu ugonjwsabbu



hata mimi nasumbuliwa sana tena warts sehemu ya ulimi karibia na koo nahangaika kupata tiba kama umepata tiba naomba na mimi nielekez
Samahani naomba kujua kama ushapona na ulitumia dawa gani
 
habari ndugu vip tayari umeshapata tiba ya huo ugonjwa hata mimi mpaka sasaiv bado nasumbuliwa na huo ugonjwa tena kwenye ulimi kuna warts wamejitokeza hasa mwisho wa ulimi karibia na koo mpaka sasa bado sijapata tiba ya huu ugonjwsabbu



hata mimi nasumbuliwa sana tena warts sehemu ya ulimi karibia na koo nahangaika kupata tiba kama umepata tiba naomba na mimi nielekez
Vipi umepona mkuu
 
Wakuuu habari zenu mimi binafsi sana nimetumia dawa lakini mpaka sasa bado zipo msaada tafadhali.
 
Dettol inafanya kazi vizuri sana nimepata warts nikatumia dawa za kunywa (alcovir), za kupaka(alcovir+ beta derm) mpaka sindano havikupungua hata kidogo.

Nimeuona huu Uzi 22 Novemba, tarehe 23 nikanunua Dettol na kuanza kuitumia mpaka sasa nimeona mabadiliko makubwa

Kuna utitiri wa warts ulianza kutokea umeshakauka

Vile vikubwa vimepungua sana na vina kauka naamini baada ya muda vitaisha kabisa
Dettol ipi ile ya maji ya kichupa au ile ya sabuni kipande
 
Dettol inafanya kazi vizuri sana nimepata warts nikatumia dawa za kunywa (alcovir), za kupaka(alcovir+ beta derm) mpaka sindano havikupungua hata kidogo.

Nimeuona huu Uzi 22 Novemba, tarehe 23 nikanunua Dettol na kuanza kuitumia mpaka sasa nimeona mabadiliko makubwa

Kuna utitiri wa warts ulianza kutokea umeshakauka

Vile vikubwa vimepungua sana na vina kauka naamini baada ya muda vitaisha kabisa
Vp kama ni sehem ya inye..SI wanasema usioshee sabuni?
 
Masundosundo ni ugonjwa gani?

Masundosundo ni ugonjwa wa ngozi unaosababisha uoto mgumu kwenye ngozi wenye umbo mithili ya mboga iitwayo koliflawa (cauliflower). Ugonjwa huu husababishwa na kirusi kiitwacho HPV-Human Papilloma Virus.
phototake_rm_hand_warts.jpg


Nini husababisha masundosundo kwenye ngozi?

Chanzo cha ugonjwa huu ni kirusi kiitwacho HPV-Human Papilloma Virus. Kuna aina zaidi ya 100 ya kirusi HPV, aina nyingi ya HPV huwa na madhara madogo kwa binadamu. Baadhi ya aina za kirusi hichi huweza kusababisha kansa mfano kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake.(type 6,11,16,18)

Kirusi hichi humwingia mwanadamu kupitia sehemu za ngozi zenye mikato (broken skin).

Aina za masundosundo:

Kuna aina nyingi za ugonjwa huu ila kwa urahisi tunaweza kuzigawanya katika aina mbili kuu; masundosundo ya ngozi(skin warts) na masundosundo ya sehemu za siri(genital warts).

Masundosundo ya ngozi huwa na dalili kwenye ngozi ya kawaida na masundosundo ya sehemu za siri huambatana na uoto sehemu za siri.

916058-16464641-a72d-4abf-ad8c-d5dcd90162ae.jpg



Tiba ya misundosundo:

Ukiachana na mwonekano wa ngozi, ugonjwa wa misundosundo hauna madhara kwa binadamu. Baadhi ya aina ya kirusi HPV husababisha kansa ila uoto wa misundosundo hauna madhara.

Tiba yake ni kuondoa uoto huu kwa njia mbalimbali. Dawa aina ya Salicylic acid husaidia kuondoa masundosundo kwenye ngozi. Pia tiba ya cryotherapy ambayo uoto wa masundosundo hugandishwa kwa gesi yenye joto dogo.

Kinga ya misundosundo:

Chanjo ya kirusi HPV itwayo Gardasil imetengenezwa kwa ajiri ya kinga ya kansa isababishwayo na baadhi ya aina ya kirusi HPV.

Pia ethanol 90% husaidia kupunguza maambukizi ya kirusi HPV kwenye ngozi.


Dr Luhaja Nginila,MD
Nna mdogo wangu amepata kama hiyo ya Mkononi Mkuu. dawa gani anaweza kutumia kwa sasa?
 
Back
Top Bottom