Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

Kwa Bantu stock inaitwa sickle cell na kwa semites inaitwa spherocytosis. Hii ni cingenita disorder. Unaweza kuwa carrier au deseased. Kama wazazi wote ni carriers basi watoto waweza kuwa deseased. Lakini kama mzazi mmoja tu ni carrier basi robo ya watoto watukuwa pia carriers. Red Blood Cells zinakuwa na shape ya mwezi mchanga sababu ya ukosefu wa enzyme inayo tumia follic acid kutengeneza cell membrane kwa hiyo haiwezi kubeba Oxygen vizuri.
 
These Sickled red cells lacks deformability property of normal red cells.
Hii ni kuwa inashindwa kubadili umbo kutokana na inakopita hasa kwenye njia nyembamba, capillaries.
Even normal red cells can transform into sickled cell in situations kama homa kali, infection, baridi mwilini(hypothermia), Kuongezeka kwa tindikikali (acid) mwilini [au =ACIDOSIS], kupungua kwa maji mwilini(dehydration), n,.k, n.k.
 
Kwa Bantu stock inaitwa sickle cell na kwa semites inaitwa spherocytosis. .
Haya ni magonjwa mawili tofauti.
Yote ni ya kurithi.
Pathogenesis and Pathology diferrent
 
Kutokana na shape yao, hizi sikled red cells zinapopita kwenye mishipa myembamba sana ya damu(capillaries), zinashindwa kupenya kwa urahisi, hivyo zinakwama na kuziba mshipa.
normal_and_sickled_blood_flow.jpg

Kinachoendelea baada ya blockage, u can guess!!
No oxygen delivery to the tissues at the periphery.
Chakula/nutrients can not reach tissues at the perphery.
As a result, they literary suffocate to death.
The process can occur at any part of the body: mapafu, mifupa( ndo common sana), tumboni, brain, n.k, n.k.....
 
Pia hizi Sicked red cells, zikipita kwenye spleen (=sijui ndo bandama), zinaharibiwa.
In short, the life span of these cells are markedly reduced.
Mgonjwa aweza kuonyesha dalili za upungufu wa damu(anemia). Ikumbukwe huu ugonjwa pia hujulikana kama SICKLE CELL ANEMIA.
Mahitaji ya kuongezewa damu mara kwa mara hutokea hasa utotoni.
 
Pia hizi Sicked red cells, zikipita kwenye spleen (=sijui ndo bandama), zinaharibiwa.
In short, the life span of these cells are markedly reduced.
Mgonjwa aweza kuonyesha dalili za upungufu wa damu(anemia). Ikumbukwe huu ugonjwa pia hujulikana kama SICKLE CELL ANEMIA.
Mahitaji ya kuongezewa damu mara kwa mara hutokea hasa utotoni.
 
Pia hizi Sicked red cells, zikipita kwenye spleen (=sijui ndo bandama), zinaharibiwa.
In short, the life span of these cells are markedly reduced.
Mgonjwa aweza kuonyesha dalili za upungufu wa damu(anemia). Ikumbukwe huu ugonjwa pia hujulikana kama SICKLE CELL ANEMIA.
Mahitaji ya kuongezewa damu mara kwa mara hutokea hasa utotoni.

asante sn kwa kutuelimisha wana jf,na sasa ni kweli eti umri unaokadiriwa kuishi kwa watu wenye ugonjwa huu ni miaka15?ikizid hapo ni bahati?na kama sio kwa ugonjwa huu ni ugonjwa upi mwingine unaosemekana kuwa hvy?
 
Kutokana na shape yao, hizi sikled red cells zinapopita kwenye mishipa myembamba sana ya damu(capillaries), zinashindwa kupenya kwa urahisi, hivyo zinakwama na kuziba mshipa.
normal_and_sickled_blood_flow.jpg

Kinachoendelea baada ya blockage, u can guess!!
No oxygen delivery to the tissues at the periphery.
Chakula/nutrients can not reach tissues at the perphery.
As a result, they literary suffocate to death.
The process can occur at any part of the body: mapafu, mifupa( ndo common sana), tumboni, brain, n.k, n.k.....

mhh inatisha sn kwakwel MUNGU atusaidie tu.
 
Spelled:
Sickle Cell Disease.


Nafikiri mtu akishakiri makosa yake hakuna haja ya kuendelea kuyaonyesha makosa yake kwenye thr.ya hapo juu tumeonyesha jinsi tulivyo kusoea,najua wakati wowote mtu aweza fanya mistake may be wewe huwa haufanyi makosa hongera sana.
 
[h=1]Anemia ya Sickle Seli[/h]Watu walio na hali hii huwa wana upungufu wa chembechembe nyekundu kwenye damu mwilini. Hivi ni kumaanisha kuwa miili yao huwa haibebi hewa ya kutosha ya oksigeni. Hali hii inaweza kuwafanya wawe wagonjwa. Kuna kitu chekundu katika damu kinachotwaa oksigeni katika hwa na kuipeleka kila mahali mwilini. Huwa kemikali ndani ya chembechembe zilizo asili ya kila kitu chenye uhai, kisipoumbika vizuri na kikose kupita ndani ya mishipa ya damu, mishipa inaweza kuziba na kusababisha maumivu makali.
Sickle Cell ni hali inayorithiwa. Mtu huipata kutoka kwa wazazi wake. Kila mtu hupata nusu ya jeni (genes) zake kutoka kwa mzazi wa kiume nusu na kutoka kwa mzazi wa kike. Iwapo wazazi wote (baba na mama) wana jeni ya Sickle Cell, wanaweza kupata mtoto aliye na ugonjwa huu hata kama wao wenyewe hawana.​
Sickle Cell – hali hii hupatikana sana sana kwa watu wanaotoka sehemu za Afrika ya Kati na Magharibi.​
Watu walio hatarini zaidi ya kupata ugonjwa wa Anemia ya Sickle Cell
Wengi walio na hali hii katika damu yao hutoka sehemu za Afrika ya Kati, Amerika ya Kusini na Kati, India ya Kati na nchi za Mediterania kama vile Uhispania, Uturuki, Ugiriki na Italiano.​
Kutambua iwapo una ugonjwa huu
Mtu yeyote anaweza kuenda kuangaliwa na daktari kuchunguza iwapo ana ugonjwa huu. Iwapo wewe na mpenzi wako mnapanga kuoana na kuwa wazazi, ni lazima ufanyiwe uchunguzi hasa iwapo mnatoka sehemu ya Afrika ya Kati au mna wazazi wanaotoka kwenye sehemu ambako ugonjwa huu upo. Daktari wako anaweza kukufanyia uchunguzi au akutume kwa daktari mwingine aliye na ujuzi wa kukagua tabia zinazorithiwa za kifamilia.​
Iwapo mna mtoto ni muhimu afanyiwe uchunguzi iwapo ana ugonjwa huu au upo ndani ya uzao wake. Ni muhimu kutambua mtoto wako anapoendelea kukua iwapo ana huu ugonjwa. Muone daktari mara moja kama utaona dalili zifuatazo:​

  • Homa
  • Maumivu ya kifua
  • Kupumua haraka haraka
  • Uchovu
  • Kuvimba kwa tumbo au sehemu za chini yake
  • Kupoteza nguvu mara moja na kukosa hisi
  • Maumivu ambayo hayataisha hata baada ya kupewa dawa za kupunguza uchungu pale nyumbani
  • Kuhisi kujamiana ambako ni kuchungu mno na hakuwachi
  • Mabadiliko ya kighafla katika namna unavyoona vitu
 
[h=1]Matibabu na njia za kukuwezesha kuishi na afya[/h]Ugonjwa huu hautibiki. Lakini madaktari wanaweza kutibu dalili ndogondogo hata zile kubwa. Iwapo una huu ugonjwa na unahisi maumivu makali, madaktari watakupa dawa za kuzuia maumivu na vinywaji vingi.
Kuwekwa damu ingine kila mara kunasaidia kukabiliana na upungufu wa damu mwilini (Ni muhimu upewe damu nzuri)

Hapa kuna namna ambavyo unaweza kuishi ukiwa na afya nzuri.

  • Kila siku meza dawa ya asidi ya vitamini C (folate) ili ujenge upya chembechembe nyekundu zilizo asii ya kila kitu chenye uhai
  • Meza dawa za penisilini iliyoandikiwa kila siku mpaka utakapotimua miaka sita ili uzuie maambukizi
  • Kunywa maji mengi kila siku (kati ya glasi 8 – 10 kila siku kwa watu wazima)
  • Jiepushe kukaa mahali ambapo ni baridi sana au pana joto jingi sana
  • Jaribu usifadhaike au kuchosha sana mwili wako
  • Pumzika vya kutosha
  • Tazamwa inavyostahili kila mara na daktari anayejua sana kuhusu ugonjwa huu

 
Mzizi Mkavu, kuna uhusiano gani kati ya Zeruzeru na Sickle Cell?...nijuavyo upungufu wa kiini cha rangi ngozi "melanin" ndio hupelekea mtu au kiumbe jamii ya wanyama au wadudu kuwa zeruzeru.
 
Hapo MZIZI MKAVU umenichanganya nimeshindwa kukuelewa unamaana zeruzeru ana sikoseli au zeruzeru ni tatizo tofauti na sikoseli fafanua mkuu
 
Mzizi Mkavu, kuna uhusiano gani kati ya Zeruzeru na Sickle Cell?...nijuavyo upungufu wa kiini cha rangi ngozi "melanin" ndio hupelekea mtu au kiumbe jamii ya wanyama au wadudu kuwa zeruzeru.
@watu8 samahani nilikosea Kichwa cha maneno (ZeruZeru) badala ya kuweka ( Anemia ya Sickle Seli) samahani.

Hapo MZIZI MKAVU umenichanganya nimeshindwa kukuelewa unamaana zeruzeru ana sikoseli au Zeruzeru ni tatizo tofauti na sikoseli fafanua mkuu
@Luushu Kichwa cha maneno ni Anemia ya Sickle Seli sio Zeruzeru Samahani kwa usumbufu.
 
Naomba mnijuze wapendwa mtu mwenye tatizo la sickle cell kuna uwezekano wa kutibiwa na akapona kabisa?
 
Jaman nn dawa ya sicle cell trait?nin kijana wa miaka mitano huwa inamsumuwa mara kwa mara.na je nifanyaje ili aweze kupona kabisa?
Naomba mawazo yenu.
 
kuna aina yingi za sickle cell mtoto wako ana aina ipi? matibabu yanategemeana na aina ya sickle cell
 
ninavyosikia ni sicle cell trait.Not the severe sicle cell.
 
Back
Top Bottom