Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

Ukienda soko lolote kubwa haya matunda yanapatiakana, yanafanafana na viazi mviringo kidogo binafsi nayatumia sana
Asanteni sana ndg zangu,nlsoma mtandao flan nkaona hyo beet root nkashndwa kuelewa ni nini.
 
Haijakaa vema hii.
Ethically!
Hata kama ni rafiki, ndugu, dokta anaemtibu hii haikubaliki
Siwezi kuwa na Urafiki na mtu mnafki kama MwanaFA, wala siwezi kuwa ndugu mwenye roho mbaya kama yeye, na ningelikuwa Dokta basi huyu sindano ya sumu ingekuwa halali yake.
 
Siwezi kuwa na Urafiki na mtu mnafki kama MwanaFA, wala siwezi kuwa ndugu mwenye roho mbaya kama yeye, na ningelikuwa Dokta basi huyu sindano ya sumu ingekuwa halali yake.
Oh!
I can imagine the hate.
Could be a long vendetta.
 
Oh!
I can imagine the hate.
Could be a long vendetta.
This is clear msg, kutoka kwa watu tusiopenda upuuzi na kuifanya Dunia isiwe sehemu nzuri ya kuishi.

Bofya hapa uone hata Fans wake hawamuhitaji tena kwenye Dunia ya Wastaarabu.
[h=5]MwanaFA[/h]
 
This is clear msg, kutoka kwa watu tusiopenda upuuzi na kuifanya Dunia isiwe sehemu nzuri ya kuishi.

Bofya hapa uone hata Fans wake hawamuhitaji tena kwenye Dunia ya Wastaarabu.
MwanaFA
was in the dark, niko cape verde mambo mengine ya bongo yananipitaga mkuu
 
Pole sana ndugu yangu,

Ila pia naomba kukupa angalizo...sickle cell disease ni ugonjwa wa kuridhi na hauna tiba wala kinga kwa sasa. Kinachotolewa na wataalamu ni tiba ya kupunguza maumivu na ushauli wa jinsi ya kuishi na ugonjwa huo. Kama utajipatia elimu zaidi kuhusu SCD na kuikubali hali ya mwanao basi hiyo ni hatua muhimu katika tiba.

Kama unafikiria kuombewa basi naomba nikueleze kuwa haitakusaidia lolote...

Babu DC!!
Kwa ujumla maelezo yako yote sioni pointi yeyote ya kumsaidia ndugu yetu.
Hata kama huna imani ya dini yeyote, bado sidhani pia kama upo vizuri kwenye sayansi ambayo watu wake hufikia pointi ya kusema 'unknown cause' kwa maajabu yeyote yanayotokea. Wanaamini kuna kisababisho ila hawakijui.
Hakuna ugonjwa wowote katika dunia hii ambao hauwezi kutibiwa kwa maombi kwa MUNGU BABA (hii inategemea na imani yako Kwake na neema Yake)
Huyo mtoto anaweza akapona kabisa aisee! Nina uhakika katika hili. Ni kumuamini MUNGU.

Mzazi wa mtoto aliuliza diet na sio kama kuna tiba. Ila ulichonikera ni kuanza na maelezo yako kwamba huo ugonjwa hauna tiba. Hapa nakubaliana na msemo usemao, "If you have anything nice to tell someone, tell nothing"
 
Kwa ujumla maelezo yako yote sioni pointi yeyote ya kumsaidia ndugu yetu.
Hata kama huna imani ya dini yeyote, bado sidhani pia kama upo vizuri kwenye sayansi ambayo watu wake hufikia pointi ya kusema 'unknown cause' kwa maajabu yeyote yanayotokea. Wanaamini kuna kisababisho ila hawakijui.
Hakuna ugonjwa wowote katika dunia hii ambao hauwezi kutibiwa kwa maombi kwa MUNGU BABA (hii inategemea na imani yako Kwake na neema Yake)
Huyo mtoto anaweza akapona kabisa aisee! Nina uhakika katika hili. Ni kumuamini MUNGU.

Mzazi wa mtoto aliuliza diet na sio kama kuna tiba. Ila ulichonikera ni kuanza na maelezo yako kwamba huo ugonjwa hauna tiba. Hapa nakubaliana na msemo usemao, "If you have anything nice to tell someone, tell nothing"

Nakushukuru sana ndugu kwa sababu hayo ni maoni yako na sina tatizo nayo..

Ila nakushauri ujitahidi kujibu hoja kwa kutumia hoja badala ya kuingiza emotions kwenye mambo ambayo ni ya kisayansi.

SCD ni genetically inherited na hakuna tiba...kama ipo basi tueleze.

Nimetoa maelezo yangu kwa misingi ya kisayansi na siyo kwa lengo la kumpa mtu faraja hewa kama unavyotaka wewe. Endapo nimetoa taarifa za uongo au nimekosea mahali basi unatakiwa kunipinga kisayansi. Mbali na hapo ni porojo tu.
 
Mkuu Mbofu pole sana kwa kuuguliwa na mwanao. Ugonjwa huu wa sickle cell anemia unatibika. Tiba yake ni kupandikiza "Adult Stem Cells/Cord blood" na mgonjwa wa ugonjwa huu hupona kabisa na kutosumbuliwa tena na ugonjwa huu kwa maisha yake yote hapa duniani. Sidhani kama hii tiba inapatikana nchini. Kama upo Dar nenda pale kwenye kitengo cha magonjwa ya damu Muhimbili ukaulizie kuhusu hii tiba. Kama haipatikani nchini basi jaribu kufanya utafiti katika nchi za South Africa au Nigeria kama tiba hiyo inapatikana. Pia watoto wadogo hutengenezewa folic acid katika liquid form jaribu kuulizia hii pia kama inapatikana. Kila la heri katika kutafuta tiba ya kumponya mwanao.
 
Last edited by a moderator:
Kwa ujumla maelezo yako yote sioni pointi yeyote ya kumsaidia ndugu yetu.
Hata kama huna imani ya dini yeyote, bado sidhani pia kama upo vizuri kwenye sayansi ambayo watu wake hufikia pointi ya kusema 'unknown cause' kwa maajabu yeyote yanayotokea. Wanaamini kuna kisababisho ila hawakijui.
Hakuna ugonjwa wowote katika dunia hii ambao hauwezi kutibiwa kwa maombi kwa MUNGU BABA (hii inategemea na imani yako Kwake na neema Yake)
Huyo mtoto anaweza akapona kabisa aisee! Nina uhakika katika hili. Ni kumuamini MUNGU.

Mzazi wa mtoto aliuliza diet na sio kama kuna tiba. Ila ulichonikera ni kuanza na maelezo yako kwamba huo ugonjwa hauna tiba. Hapa nakubaliana na msemo usemao, "If you have anything nice to tell someone, tell nothing"

Mkuu Babu Dc ameelezea kisayansi kwamba hakuna tiba ya sickle cell na nijuavyo mimi yuko sahihi kabisa. Magonjwa mengi ya kurithi ambayo hayana tiba wataalamu wameelezea namna ya kuishi nayo na ndio babu anajitahidi kuelezea .
Bahati mbaya watu wa kiimani zaidi huwa hamjui mateso anayopata mgonjwa na ndo maana mnarahisisha mambo magumu kuwa mepesi. Nina Athma ya kurithi upande wa baba yangu , ambayo iko very systematic katika kuchagua family victim(i.e mjukuu wa kwanza wa kiume kutoka mtoto wa kwanza wa kiume) nakumbuka kuna mawaka nusura nipoteze maisha !niliombewa kwa masaa 8 nikiwa katika full athma attack ,baadaye hali ilizidi kuwa mbaya ,someone katika lile group la wana maombi aka suggest nichomwe sindano ya amminophyline ,ndio ikawa bahati yangu.
Uko kiimani zaidi ya kujipa matumaini yasiyofahamika !siwezi kukudharau wala kukupinga, chance za kupona kiimani zipo japokuwa si kwa asilimia nyingi .Hali halisi ni kuwa dunia hii ya leo sayansi ndo ina determine our future hayo ya kiimani yanafuata baada ya science kushindwa .
Ulishawahi jiuliza kwa nini watu waliokwenda kwa babu loliondo hawakupona na wengi walipoteza maisha ! Jibu ni kuwa waliweka pembeni majibu ya kisayansi waka deal na walichokiamini!
 
Msimchanganye Mbofu jamani!!!! Tiba ya Sickle cell IPO na wagonjwa wanapona kabisa na kuondokana kabisa na athari mbali mbali za ugonjwa huo.


hakuna tiba ya sickle cell na nijuavyo mimi yuko sahihi kabisa!
 
Fuata ushauri wa Dark City na gfsowin. Ukizingatia yote haya motto atakua vizuri.
 
Sickle cell biggest killer disease after malaria

By Waryoba Yankami

20th June 2013

Sickle%20cell.jpg

Grace Rubambey


Sickle cell disease been ranked the biggest killer disease among children under the age of five after malaria, hence the need for the government and stakeholders to put in more efforts to fight it.
Over 90 percent of Africans are the most sufferers of the disease followed by Asians and those loving in the Mediterranean area.
This was revealed yesterday in Dar es Salaam by the Sickle Cell Foundation of Tanzania (SCFT) Chairperson, Grace Rubambey at the World Sickle Cell Day initiated by the World Health Organization (WHO) and celebrated on June 19 annually.

Rubambey said Tanzania ranks fouth in the world, with the highest number of sickle cell disease births a year (up to 11,000), after Nigeria, India and DR Congo, adding that if untreated, up to 90 percent of children may die in childhood.

She said Tanzania and Africa in general is in a position of having high rates of the disease due to poverty, as patients need good services like clean water and medical treatment which are still challenges in many countries on the continent.

"Early diagnosis of sickle cell in newborns as well as comprehensive care can effectively improve the situation and reduce mortality rate by 70 percent in some countries," she noted.

She said that low understanding of the disease has been identified as the biggest challenge among Tanzanians as there is a misleading notion that associates sickle cell with HIV/Aids hence leaving many scared of attending clinics.

Rubambey insisted on the need for the government and stakeholders to put in more efforts in fighting the disease. She however said in 2009 sickle cell was one of the top priorities among other diseases in the national strategy for non communicable diseases under the Ministry of Health and Social Welfare.

However, CSFT launched a campaign on sickle cell called "Cycle for Sickle Cell" which began in October 2012 and turned out successful as it helped raise awareness.

For his part, sickle cell department coordinator from the Muhimbili National Hospital (MNH), Deogratius Soka said USD2m equivalent to 3bn/- is required to start building a structure for the disease's centre.

He however said as of now awareness among the public has increased whereby the number of patients attending has increased from 800 in 2004 to 4,000 this year.

He said since MNH already has a department dealing with sickle cell, they now focus on reaching other hospitals which don't have the section by supporting them with experts and facilities.

He added that Tanzania intends to introduce screening for newborns and strengthen sickle cell services in health facilities at all levels.

Soka noted that there are advances in medicine and improved knowledge on the management of sickle cell that can be implemented in Tanzania to reduce mortality and improve the quality of life of people with the disease.

Meanwhile, Kenya Commercial Bank (KCB) branch manager Philipo Pilla said the foundation needs more support from various institutions so that it reaches more people.

He added that several people are suffering but know nothing about the disease, thus more education is needed to increase awareness.

SOURCE: THE GUARDIAN
 
Tunaweza kuwasiliana kwa ajili ya ushauri na kumpatia tiba kwa bidhaa asili ambazo zitamsaidia na ataweza kupona tatizo hilo kabisa. Kwa ushauri zaidi piga 0768 955 185
 
Back
Top Bottom