Ugonjwa wa Simba umeanza

MWADUI 2 SIMBA 2 (Bocco, Okwi)
wanawazidi Yanga points 5 tu
Sasa wakishangaa tu wapepitwa.
povu linaruhusiwa

Wangepoteza mechi hiyo ingependeza kwa Yanga. Simba wajitahidi ili wabaki pale juu, mwaka huu ni wao kwani wamekuwa na mwanzo mzuri. Ipo shinikizo kubwa dhidi yao kimchezo kubaki pale juu lakini wajitahidi tu. Huyo Boko bado mzuri tu hata Okwi. Ligi imeanza kupendeza sasa na ushindani utaanza kwa kasi kubwa.
 
Walichoharibu mikia ni kumpa penat okwi ni bora angeachwa abaki na rekodi yake ya kufunga dar tu af mikia mkome kutusumbua au kwasi leo amesajiliwa Mwadui mbona goli zimefungwa. Nauliza tu
Mikia FC wanatusumbua aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…