Ugonjwa wa Simba umeanza

Ugonjwa wa Simba umeanza

Rashford Lingard

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2018
Posts
938
Reaction score
1,150
MWADUI 2 SIMBA 2 (Bocco, Okwi)
wanawazidi Yanga points 5 tu
Sasa wakishangaa tu wapepitwa.
povu linaruhusiwa
 

Attachments

  • simba.jpg
    simba.jpg
    52.7 KB · Views: 44
MWADUI 2 SIMBA 2 (Bocco, Okwi)
wanawazidi Yanga points 5 tu
Sasa wakishangaa tu wapepitwa.
povu linaruhusiwa

Wangepoteza mechi hiyo ingependeza kwa Yanga. Simba wajitahidi ili wabaki pale juu, mwaka huu ni wao kwani wamekuwa na mwanzo mzuri. Ipo shinikizo kubwa dhidi yao kimchezo kubaki pale juu lakini wajitahidi tu. Huyo Boko bado mzuri tu hata Okwi. Ligi imeanza kupendeza sasa na ushindani utaanza kwa kasi kubwa.
 
Walichoharibu mikia ni kumpa penat okwi ni bora angeachwa abaki na rekodi yake ya kufunga dar tu af mikia mkome kutusumbua au kwasi leo amesajiliwa Mwadui mbona goli zimefungwa. Nauliza tu
Mikia FC wanatusumbua aisee.
 
Back
Top Bottom