NADHARIA Ugonjwa wa UVIKO-19 unadaiwa kurejea kwa kasi nchini

Taarifa hii ni nadharia tu, tumeitolea ufafanuzi kwa kadiri ilivyowezekana
Watu wasirudishe namba kwa Mola? Ati korona. Ina maana uko ulipo hamna misiba? Au ni hii miwili ya watu maarufu ndio ikushtue?
 
Kumbe waliokufa hapa nchini ni watu wawili pekee? Na huu msiba uliopo hapa mtaani kwetu si wa Mtanzania?!
 

Hii homa imezuka hadi Ulaya..
si utani to be honest ni kali ilinishikia Amsterdam nilivyorudi nchi nnayoishi niliogopa nikajua ndo safari.
Kwasababu ilikua inabana sehemu zote za hewa haiskii dawa ya kupuliza wala chochote.
Tangawizi nilikula Kama chakula.
Mwishoni hadi makamasi yalitoka ya damu.
Chamsingi tu ukiona dalili wahi kutumia dawa hata Zile za maji then inaweza ondoka na tangawizi tafuna na chai yenye limao na tangawizi, asali.
 
Kipupwe uviko tumeuvika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…