Msaada jamani nina vidonda vya tumbo visivyosikia dawa huu ni mwaka sasa yani nawaka moto tumboni na mgongoni nishatumia mpaka heligo kit.
Hospitali nimeambiwa nina gerd hpyrol+ve hiatus hernia duodenal ulcer hlw hyo hiatus hernia walikipima kwa kipimo gani maaan mm celew kma ninayo hiyo ila walipma endoscope ila hawakuniambia tatizo langu vzr
Mkuu kwema? Nitakribani mwezi sasa tangu unitumie dawa baada ya mm kushida offer yako hapa jukwaani..Yap yap, lazma urud kuwapasha habari !
Bado sijapona
0757882725 mcheck huyo jamaa mweleze shida yako anaweza kukusaidiaWakuu habarini poleni namajukum mwenzenu nateseka namadonda yatumbo nimetumia dawa hospitalini nakienyeji hazijanisaidia mpaka Sasa mwenye kujua Tiba Zaid anielekeze
Moderator wamenikosea Sana wameunganisha nahuu uzi0757882725 mcheck huyo jamaa mweleze shida yako anaweza kukusaidia
Ina maana vidonda tumbo haviponi?Tiba ya Vidonda vya tumbo ni kubadili utaratibu wa maisha.
Kula kwa wakati
Usile baada ya mbili usiku
Achana kabisa na vyakula vyenye gesi
Punguza stress
Fanya mazoezi
Kula matunda na mboga za majani
Anza Clinic hospital
Achana na pombe
Achana na Chipsi
Achana na vyakula vya ngano
Gonga sana Tangawizi na Asali
Kunywa maji vya kutosha
Mimi hili tatizo limenitesa sana lakini hayo niliyokuandikia yamenisaidia. Ukitaka Dr Mzuri nenda muhimbili kwa Dr Rwegasha anajua sana.
Chukua maji ya vuguvugu kikombe kimoja cha chai kisha chukua kijiko cha chai cha binzari weka kwenye maji hayo na ukoroge vizuri kisha weka kijiko kimoja kikubwa cha asali kwenye mchanganyiko wako huo koroga tena na unywe kikombeMoja kwa moja kwenye mada wanajamii kma nilivyosema hapo juu ninavidonda vya tumbo naombeni msaada jaman kujua dawa hata za asili
Binzari hii tunayoweka kwenye chakula wakati mwingine?Chukua maji ya vuguvugu kikombe kimoja cha chai kisha chukua kijiko cha chai cha binzari weka kwenye maji hayo na ukoroge vizuri kisha weka kijiko kimoja kikubwa cha asali kwenye mchanganyiko wako huo koroga tena na unywe kikombe
kimoja asubuhi, kingine mchana na kingine jioni. Tumia dawa hii kwa wiki tatu hadi mwezi kwa uwezo wa Mungu utakuwa umepona.
NB: Usile au kunywa vya viwandani na ambavyo vimetengenezwa kwa unga wa ngano
Now naona ulcers pita kule. Serengeti lager zinanijua siku hizi. Naweka na kitimoto na pilipili ya kutosha kabisaNashukuru, mkuu kwa info. Kiukweli vinakera mbaya. Napenda sana kuwa high nyakati fulani.
Vipi sasa hivi mkuu umepona vidonda vya tumbo ni dawa gani ume tumia maana nahisi dalili kama zako pia.Jamani wanajamvi naomba msaada wenu nina vidonda vya tumbo vinanisumbua nasikia maumivu mpaka kwenye nyonga,hadi sehemu zinapoishia mbavu,nimetumia dawa za hospital wapi,je kuna tiba mbadala maana nasikia mkojo unatibu ni kweli?
Majani ya mlonge ni machungu au yana ladha gani mkuu ?! Pia ni tiba nzuri kwa madonda ya tumbo ?Nunua pia unga wa majani ya mlonge tumia kwenye kinywaji ni njema sana mimi ndio sehemu ya chakula yangu. Jaribu uje toa feedback
Dawa gani ya kupunguza acid uli tumia ?!Msidanagnyike wana JF,vidonda vya tumbo mpaka sasa havina dawa,dawa zilizopo ni hupunguza uzalishaji wa acid tumboni ambayo ndo husababisha maumivu kwa kipindi cha mwaka mpaka miaka miwili,na katika kipindi hicho vidonda ndo huwa vinapata nafasi ya kupona naturally taratibu,ni baada ya muda huo acid itakapoanza kuzalishwa kwa njia ya kawaida inakuta vidonda vimeshapona.na katika kipindi hicho inabidi uache kunywa pombwe,vyakula vya acid na spies,mi nimekaa na vidonda kwa miaka mitano na nimefuata masharti hayo na napona sasa.HAKUNA DAWA YA ULCERS kwa maana ya ukitumia unapona kama unavyopona kidonda kilichopo mguuni.
Dawa gani ya kupunguza acid uli tumia ?!