Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Jameni nisaidieni dawa yavidonda vya tumbo,natanguliza tx much.
 
Ok! Nenda pharmacy kachukue oligo kit! Watakupa tripple therapy for Pud.
 
  • Thanks
Reactions: ldd
Dawa ya vidonda vya tumbo tumia Dawa ya Hii ya Kienyeji - Ukiamka Asubuhi kabla ya kula kitu kojowa mkojo wako mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja uwe unakunywa mkojo wako kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha uende kupima hivyo Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa jaribu kutumia hiyo Dawa itakusaidia Sana. Hakuna Hospitali Dawa ya kutibu Vidond vya tumbo Mkuu.@ldd tumia hiyo Dawa kisha unipe Feedback
 
Tanks waheshimiwa ntafanyia kazi na feedback ntarudisha.
 
Jameni nisaidieni dawa yavidonda vya tumbo,natanguliza tx much.
Tumia mafuta ya ubuyu (baobab seed oil) unatumia vijiko viwili vya chakula asubuhi na jioni, yanapatikana kwa wingi Dodoma.Nakuombea uponaji wa haraka.
 
Angalia Thread yangu - DAWA YA KUTIBU MADONDA YA TUMBO KWA MUDA MFUPI. Itakusaidia.
 
nauliza wana Jf, mtu anayeumwa vidonda vya tumbo anatakiwa asile vyakula gani ambavyo vina asidi sana? Pia huu ugonjwa unatiba kweli?

Je Dr. Rahabu Lubago yule wa buguruni ni kweli anatibu huu ugonjwa?? na kama ndio, je **** mwana JF yoyote anaweza kutupa taarifa na ushuhuda juu ya hili????

nawakilisha wana JF
 
simply vitu ambavyo ni vikali kali hata baadhi ya matunda si mazuri. Pilipili sahau
 
Mgonjwa wa vidonda vya tumbo hatakiwi kula vya kula na matunda yote yenye asidi na pia kutumia vinywaji vyenye gas mara kwa mara.. vidonda vina tibika kwa dawa za kienyeji.
 
Lishe ya mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, unapaswa kujiepusha na tabia ya kula na

kushiba kupita kiasi, kwa sababu kushiba sana huchochea uzalishaji wa asidi nyingi wakati wa usagaji chakula tumboni.

Mbali na hilo, vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi na vyenye kiwango kidogo sana cha kamba lishe, imethibitika kuwa

husababisha madhara mengi tumboni. Katika makala ya leo, tutaangalia aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuviepuka mgonjwa ili kupata nafuu na kuishi bila kusumbuliwa nao:

VYAKULA VYENYE VIUNGO VINGI
Epuka ulaji wa vyakula vilivyopikwa na kuungwa viungo vingi vya aina mbalimbali, kama vile pilipili kali za aina zote na viungo

vingine vyenye ladha ya ukali ambavyo hutiwa ndani ya mboga ama chakula ili kuongeza ladha.

POMBE NA KAHAWA

Pombe na kahawa au vinywaji vingine vyenye ‘caffeine’, vinaweza kuleta matatizo kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo na kwa mtu

asiye navyo anaweza kupatwa na tatizo, hivyo ni vyema kuepuka au kutumia kwa kiasi kidogo vinywaji hivi. Kimsingi vinywaji hivi

huongeza asidi tumboni na hivyo vinaweza kusababisha vidonda au kuzidisha maumivu kwa anayeumwa.


ULAJI CHUMVI

Utafiti uliowahi kufanywa nchini Marekani umeonesha kuwepo kwa uhusiano kati ya ulaji chumvi na vidonda vya tumbo.

Mgonjwa anashauriwa kuepuka ulaji wa vyakula vyenye chumvi nyingi, hususan vyakula vya kusindika ambavyo huwekwa

chumvi nyingi ili visiharibike haraka. Pia jiepushe na kuongeza chumvi kwenye sahani wakati wa kula.

MAFUTA YA SAMAKI

Baadhi ya utafiti unashauri wagonjwa wa vidonda vya tumbo wale mafuta yatokanayo na samaki (Omega-3 fats) ambayo

yameonekana kutoa ahueni kwa wagonjwa. Na kwa mtu ambaye si mgonjwa atakuwa anajiwekea kinga dhidi ya vidonda vya tumbo na magonjwa mengine ya tumbo.

VITAMINI NA MADINI

Ulaji wa vyakula vyenye madini na vitamini kwa wingi husaidia sana kuleta ahueni kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo na

kutoa kinga kwa wale ambao hawajaathirika. Wataalamu wa lishe wanashauri kupenda kula matunda na mboga za majani kama

vile karoti, juisi ya kabeji, ndizi mbivu, na matunda mengine yenye vitamin C, halikadhalika maziwa ya mbuzi, jibini na cream za maziwa huleta ahueni.

STAILI YA MAISHA NA VIDONDA VYA TUMBO

Licha ya kusabisha Saratani, uvutaji sigara pia huongeza hatari ya mtu kupatwa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, hivyo ni

sababu tosha ya kuacha uvutaji sigareti. Japo msongo wa mawazo unaweza kuwa vigumu kuuhusisha moja kwa moja na

vidonda vya tumbo, lakini maisha ya wasiwasi, ukichangaya na ulaji mbovu, huweza kusababisha ugonjwa huu, hivyo kama

unataka kujiepusha au kupunguza makali ya ugonjwa huu, ni muhimu kuzingatia ulaji sahihi na kuishi maisha ya furaha.
kipusy
 
Msaada tafadhari, nini hasa kinasaidia kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo, kama njia ya huduma ya kwanza
 
Pole sana na vidonda! sasa mimi nilipata vidonda vikali sana mpaka ikafikia naharisha damu tib yake ya haraka ilikuwa ni hii ila namshukuru mungu nimepona kabisa sasa...

tumia amoxycilline caps 1g yaani asubuhi tembe 4 za 250gm na jioni tembe 4 za 250gm kwa siku 10 Metronidazole 400mg for bid for 10 days yaani asubuhi tembe 2 za 200gm na jioni 200gm na Omeprazole 20gm bird for 10 days ukimaliza endelea na omeprazone for 8 weeks asubuhi kimoja jioni kimoja...utapona and you will find me...all the best pole...
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Lishe ya mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, unapaswa kujiepusha na tabia ya kula na

kushiba kupita kiasi, kwa sababu kushiba sana huchochea uzalishaji wa asidi nyingi wakati wa usagaji chakula tumboni.

Mbali na hilo, vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi na vyenye kiwango kidogo sana cha kamba lishe, imethibitika kuwa

husababisha madhara mengi tumboni. Katika makala ya leo, tutaangalia aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuviepuka mgonjwa ili kupata nafuu na kuishi bila kusumbuliwa nao:

VYAKULA VYENYE VIUNGO VINGI
Epuka ulaji wa vyakula vilivyopikwa na kuungwa viungo vingi vya aina mbalimbali, kama vile pilipili kali za aina zote na viungo

vingine vyenye ladha ya ukali ambavyo hutiwa ndani ya mboga ama chakula ili kuongeza ladha.

POMBE NA KAHAWA

Pombe na kahawa au vinywaji vingine vyenye ‘caffeine', vinaweza kuleta matatizo kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo na kwa mtu

asiye navyo anaweza kupatwa na tatizo, hivyo ni vyema kuepuka au kutumia kwa kiasi kidogo vinywaji hivi. Kimsingi vinywaji hivi

huongeza asidi tumboni na hivyo vinaweza kusababisha vidonda au kuzidisha maumivu kwa anayeumwa.


ULAJI CHUMVI

Utafiti uliowahi kufanywa nchini Marekani umeonesha kuwepo kwa uhusiano kati ya ulaji chumvi na vidonda vya tumbo.

Mgonjwa anashauriwa kuepuka ulaji wa vyakula vyenye chumvi nyingi, hususan vyakula vya kusindika ambavyo huwekwa

chumvi nyingi ili visiharibike haraka. Pia jiepushe na kuongeza chumvi kwenye sahani wakati wa kula.

MAFUTA YA SAMAKI

Baadhi ya utafiti unashauri wagonjwa wa vidonda vya tumbo wale mafuta yatokanayo na samaki (Omega-3 fats) ambayo

yameonekana kutoa ahueni kwa wagonjwa. Na kwa mtu ambaye si mgonjwa atakuwa anajiwekea kinga dhidi ya vidonda vya tumbo na magonjwa mengine ya tumbo.

VITAMINI NA MADINI

Ulaji wa vyakula vyenye madini na vitamini kwa wingi husaidia sana kuleta ahueni kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo na

kutoa kinga kwa wale ambao hawajaathirika. Wataalamu wa lishe wanashauri kupenda kula matunda na mboga za majani kama

vile karoti, juisi ya kabeji, ndizi mbivu, na matunda mengine yenye vitamin C, halikadhalika maziwa ya mbuzi, jibini na cream za maziwa huleta ahueni.

STAILI YA MAISHA NA VIDONDA VYA TUMBO

Licha ya kusabisha Saratani, uvutaji sigara pia huongeza hatari ya mtu kupatwa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, hivyo ni

sababu tosha ya kuacha uvutaji sigareti. Japo msongo wa mawazo unaweza kuwa vigumu kuuhusisha moja kwa moja na

vidonda vya tumbo, lakini maisha ya wasiwasi, ukichangaya na ulaji mbovu, huweza kusababisha ugonjwa huu, hivyo kama

unataka kujiepusha au kupunguza makali ya ugonjwa huu, ni muhimu kuzingatia ulaji sahihi na kuishi maisha ya furaha.
kipusy

Asante sana Mzizi Mkavu, nimekupata vyema. JE TANGAWIZI KWENYE CHAI NA PILIPILI MTAMA KWENYE UJI
 
Pole sana na vidonda! sasa mimi nilipata vidonda vikali sana mpaka ikafikia naharisha damu tib yake ya haraka ilikuwa ni hii ila namshukuru mungu nimepona kabisa sasa...

tumia amoxycilline caps 1g yaani asubuhi tembe 4 za 250gm na jioni tembe 4 za 250gm kwa siku 10 Metronidazole 400mg for bid for 10 days yaani asubuhi tembe 2 za 200gm na jioni 200gm na Omeprazole 20gm bird for 10 days ukimaliza endelea na omeprazone for 8 weeks asubuhi kimoja jioni kimoja...utapona and you will find me...all the best pole...

thank sana best, kwa hiyo unakunywa zote kwa pamoja?
 
Ndugu unakula kila kitu baada ya kupona kwako au bado unaendelea kuchagua vyakula?
 
Back
Top Bottom