Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

pole sana
usiende tiba mbadala.
utaliwa pesa zako wengi ni matapeli.
japokua kuna baadhi wanadawa zinaweza kusaidia
kwakua toka enzi za mababu tulikua tukitumia mitishamba.tatizo kumjua nani mganga tapeli na nani wa kweli ndio ishu.
vidonda vya tumbo vinasababishwa na vitu mbalimbali.
kuna dawa zake ambazo zimethibitika kuponyesha.
nakushauri uende hospitali upate ushauri na tiba ya daktari.
kikubwa ufwate ushauri utakaopewa ukilenga kuondoa visababishi.
 
chembe ya moyo inanitesa kwa miezi sita sasa dawa za hosptl na mitishamba nimezitumia lakini sijapata nafuu, kimsingi nina ulcers nitumie tiba gani angalau maumivu haya ya chembe ya moyo yapungue? Mwenye kujua dawa awasiliane nami 0685100909 hata kwa msg nitampigia
 

Hapo kwenye tangawizi mbichi naona cna imani na majibu yako
 
dr mzizimkavu na wengine naomba mnisaidie chembe ya moyo inanitesa sana nitumie dawa gani angalau nipate ahueni kwani maumivu nayapata 24/7
 

Thanks
 
Msaada wana jamii kuna
kipindi kilirushwa na Star TV kuwa Nitrogen inatibu vidonda vya tumbo
nimepoteza contact zao anaye jua anisaidie simu yao.

Vp mkuu ulishawacheck?mana jamaa alishatoa contact zao hapo juu,feedback please..
 
kama kweli mpaka sasa bodo ajapona wasiliana na mimi number yangu ni hii hapa 0717050484,,, nitamsaidia na kupona
 
Ndugu nina kama miezi miwili nimetumia ushauri wako huu lakini mambo ni magumu kiuno kinauma,tumbo,na kujaa gesi,haijanisaidia..

Nenda duka lolote la asili ulizakama wana wana unga wa majani ya mti wa mbuyu ni dawa nzuri sana imenisaidia mimi sana ni kikopo unachanganaya unga huo kijiko kikubwa kimoja na maji kidogo unakuwa uji mzito kutwa mara mbili
 
Habari zenu! Hivi karibuni nimeanza kusumbuliwa na maumivu ya tumbo. Mara nyingi maumivu nayasikia tumboni na chini ya mgongo na wakati mwingine najisikia kichefuchefu.Sijajua kama vidonda vya tumbo ama hapana, kama jibu ni ndiyo vidonda vya tumbo tiba yake ni ipi!
Nawasilisha.
 
Nina dawa ya asili inayotibu vidonda vya tumbo kwa siku14tu ni dawa nzuri sana,inasaidia watu wengimno,kama unaitaji ntafute 0759217720.
 

Pole dalali nami vimenisumbua sana nenda hospital ukapime kama unavyo. Usije tumia dawa wakati hauna tatizo.
 

Pata maarifa zaidi kuhusu vidonda vya tumbo hapa => Vidonda vya Tumbo MP3 | fadhilipaulo.com
 
Habari za saizi wanajf wote,kwa wale mnaosumbuli na tatzo la vidonda vya tumbo,nina dawa nzurisana ya asili inayokausha na kutibu vidonda vya tumbo kwa mda wa wikimbili,ukianza kutumia dawa hii ndani ya siku mbili(2)tu utaona mabadiliko makubwa mno,tumbo litaturia na baada ya dozi utakuwa safikabisa.kama unasumbuka na kuhangaika na tatzo hilo ntafute.0759217720
 
weka bei mkuu, maana nilikuwa na mpango wa kwenda India
 
Dawa ya vidonda vya tumbo ni kuchemsha majani ya mbigili zenye maua kwa ujazo wa dumu la lita 5, ikishapoa unakunywa maji yake kwa muda wa siku tatu. Kama hujapona utakuwa unaumwa ugonjwa mwingine sio ulcers
 
Dawa ya vidonda vya tumbo ni kuchemsha majani ya mbigili zenye maua kwa ujazo wa dumu la lita 5, ikishapoa unakunywa maji yake kwa muda wa siku tatu. Kama hujapona utakuwa unaumwa ugonjwa mwingine sio ulcers

Hahahaha!!! Maji ya mbigiri?
 
Ndugu zangu shikamoni wadogo zangu marahaba. Nimekuwa nasumbuliwa vidonda vya tumbo kwa muda mrefu. Mwaka jana nikaanza kutumia MUCOGEL ambayo mwanzoni ilionyesha kunisaidia lakini ktk siku za karibuni naona imefeli kabisa. Leo hii nasikia maumivu makali mithili ya kaa la moto tumboni! Nimemuona dr. ambaye ameniambia ili nipone sharti niache KUWAZA! ndugu mimi kama baba mji na watoto na mke nifanyeje ili nisiwe na mawazo ukizingatia changamoto za maisha zilizopo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…