Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
kwa kifupi ni maiti tu peke yake ndi isiyowaza. nachukia madaktari wababaishaji kama hawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana.Kama hujakatazwa mazoezi tumia muda mwingi kufanya mazoezi
Pia shiriki ibada mara kwa mara itakusaidia kupunguza kuwaza
kwa kifupi ni maiti tu peke yake ndi isiyowaza. nachukia madaktari wababaishaji kama hawa.
Unatumia Whatsapp? Ni-whatsapp kwenye 0769142586 nikutumie maelezo ya kutosha kuhusu vidonda vya tumbo
Ndugu zangu shikamoni wadogo zangu marahaba. Nimekuwa nasumbuliwa vidonda vya tumbo kwa muda mrefu. Mwaka jana nikaanza kutumia MUCOGEL ambayo mwanzoni ilionyesha kunisaidia lakini ktk siku za karibuni naona imefeli kabisa. Leo hii nasikia maumivu makali mithili ya kaa la moto tumboni! Nimemuona dr. ambaye ameniambia ili nipone sharti niache KUWAZA! ndugu mimi kama baba mji na watoto na mke nifanyeje ili nisiwe na mawazo ukizingatia changamoto. Pole sana jaribu na hii mkuu yaweza kukusaidia
Unatumia Whatsapp? Ni-whatsapp kwenye 0769142586 nikutumie maelezo ya kutosha kuhusu vidonda vya tumbo
kunywa pombe kidogo kama bia2 hv. Ile ni ngano inakwenda kuziba vidonda vya 2mbo. Seriously ila uwe unapata angalau mara2 kwa wiki. 2mia kama wiki6hv. Alafu urudi hapa unipe majibu
kunywa pombe kidogo kama bia2 hv. Ile ni ngano inakwenda kuziba vidonda vya 2mbo. Seriously ila uwe unapata angalau mara2 kwa wiki. 2mia kama wiki6hv. Alafu urudi hapa unipe majibu
halafu we fadhilo paulo nilikuuliza maswali yangu ukayapotezea kiaina maana yake ulikula nduki, halafu kwanini mwende mkaelezane huko mafichoni kwenye whatsapp? kwanini usiweke hapa kwa faida ya wote?
sasa mkuu ungetoa hayo maelezo hapa kingeharibika nn?! wengine 2na matatizo kama hayo 2nasubiri 2dese.