Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Mkuu mimi sizifahamu kweme si unafahamu Tz ni chaka kubwa mwezio nimekulia usukumani (Kanda ya ziwa) tashukuru kama utafafanua kwa undani huu mti na kama ukiwa around na zinapopatikana basi utupie kapicha ili Watz wezetu wazione huku niliko labda asali unaweza kupata kwenye mall (supermarket) lkn yai la asili ni ngumu sana mkubwa wangu.Asante mkuu,,
ila hakikisha kweme zinasagwa vizur kabisaaa,,