Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Asante mkuu,,
ila hakikisha kweme zinasagwa vizur kabisaaa,,
Mkuu mimi sizifahamu kweme si unafahamu Tz ni chaka kubwa mwezio nimekulia usukumani (Kanda ya ziwa) tashukuru kama utafafanua kwa undani huu mti na kama ukiwa around na zinapopatikana basi utupie kapicha ili Watz wezetu wazione huku niliko labda asali unaweza kupata kwenye mall (supermarket) lkn yai la asili ni ngumu sana mkubwa wangu.
 
Kweme ukienda sokoni ukiuliza unazipata,, nenda masoko makubwa kama kisutu, tandale, tandika au kariakoo.., ni kama ka-cd kadogo, sasa unapasua ganda lake kuipata kweme, ukiitafuna kidogo ni kama jamii ya karanga,,,, ukishaibandua kwenye ganda lake gumu, ndani inakua kama imezungushiwa kilailon cheupe, kitoe na chenyewe...

Mayai ya kienyeji jitahidi upate aisee,, sijui upo wapi lkn kwa tanzania unapata popote

Hope umenielewa,, maana mie sio mzur kwenye kueleza kwa kuandika
 
Mafeking North West,South Africa
 
Hii dawa ni ya vidonge au ni ya maji? Msaada plz
 
Ingredients zake Ni nini hadi ikaweza kutibu?
 
mkuu, kila siku kipimo ni kama hiki, au hii ndo natumia kwa siku zote 14? samahani sana, napenda kujua zaidi.
 
Kwa huko ni bei gani kama nikiagiza kiongozi?
Takujulisha lkn wanauza kwa rand mimi nililipiwa tu mkuu kama ujuavyo cha bure hakihitaji maswali zaidi ya kupiga kimya ila wanauogopa sana huu ugojwa pamoja na maralia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…