Kama huna vidonda vya tumbo ila una hao hpylori bacteria, anayo dawaMCHEKI HUYU DK WETU WA KF
DK SIJJAD FAZEL
0782785221
AMESAIDIA WENGI SANA HUMUU UKUMBUKE NA SHUKRANI UKIPONA.. SEMA AMINA
Mbeya... Hawa watu ni wezi sana. Eti kumuona daktari pamoja na kadi ni elfu 5, Advance kabla ya vipimo unatoa elfu 30, ukipimwa haijalishi umekutwa na ugonjwa au lah...unaambiwa umebakiza elfu 80 ili ukamilishe malipo yote usidaiwe....baadae mgonjwa anawekwa kitandani wanamuweka dripu la maji. Ukiwa na maswali mengi ya kuwauliza wanakujibu kuwa tumeweka dawa humo kwenye dripu la maji ili iingie vizuri kwenye mishipa. Jamani hospitali ni wezi sijawahi ona.... Tena hizi za binafsi ni wezi wa kupindukiaDX hawatoagi? WAP huko mkuu?
Mim ninayo dawa ya kutibu maradhi ya tumbo na Dawa ya kutibu hao wadudu aka Bacteria wa hpylori bacteria ukitumia dawa zangu kwa siku 30 utapona kabisa.Kama huna vidonda vya tumbo ila una hao hpylori bacteria, anayo dawa
Dah!!! Pole sana mkuu ila una haki zote za kujua chochote kinachohusu matibabu yako ...Ww sio wa kwanza kuna jamaa yangu kule Zenji alimpelekaga mtoto wake zahanat binafsi wakam DX ana malaria hivyo wakamwandikia sindano za masaa.Jamaa alipowauliza hiv ni sindano gani(dawa) hizo mnachoma? Jamaa wakamwambia ww unatakiwa kila ukija ulipie 4000 ktka sindano bila kumwambia ni dawa gan dogo anachoma....huu ni uhuni mkubwa.Mbeya... Hawa watu ni wezi sana. Eti kumuona daktari pamoja na kadi ni elfu 5, Advance kabla ya vipimo unatoa elfu 30, ukipimwa haijalishi umekutwa na ugonjwa au lah...unaambiwa umebakiza elfu 80 ili ukamilishe malipo yote usidaiwe....baadae mgonjwa anawekwa kitandani wanamuweka dripu la maji. Ukiwa na maswali mengi ya kuwauliza wanakujibu kuwa tumeweka dawa humo kwenye dripu la maji ili iingie vizuri kwenye mishipa. Jamani hospitali ni wezi sijawahi ona.... Tena hizi za binafsi ni wezi wa kupindukia
Ni wezi sana, yaani ndugu zetu wanaogopa kwenda hospitalini wakihofia pesa hawana. Wanafia majumbani kwasababu ya wadhurunaji wachacheDah!!! Pole sana mkuu ila una haki zote za kujua chochote kinachohusu matibabu yako ...Ww sio wa kwanza kuna jamaa yangu kule Zenji alimpelekaga mtoto wake zahanat binafsi wakam DX ana malaria hivyo wakamwandikia sindano za masaa.Jamaa alipowauliza hiv ni sindano gani(dawa) hizo mnachoma? Jamaa wakamwambia ww unatakiwa kila ukija ulipie 4000 ktka sindano bila kumwambia ni dawa gan dogo anachoma....huu ni uhuni mkubwa.
Mkuu Unamtafuta Mkuu wa mkoa Mr Makonda atakuuliza iko wapi hiyo cocaine? Sijuwi utamueleza vipi?😀Dawa nzuri ya vidonda vya tumbo ni COCAINE.
tatizo lako linaisha baada ya masaa 3 tu, ukitumia cocaine.
Hapa uko sawa kabisaaaa... ni kuondoa mambo yanayokupa stresss..Dawa ni simple sana. Mimi nilisumbuliwa sana na hii gonjwa. Nilitumia madawa mengi ila sikupona. Baadaye ugojwa ukapona wenyewe.
Ila nilichofanya ni kuondoa vitu vilivyokuwa vikinipa stress. Nakumbuka kipind icho nlikuwa na patwa na hasira sana. Poa nlikuwa nampenzi ananisumbua sana. Baada ya kumuelminate nilipona na hata nakapunguza kuwa na hasira. Pia huu ugojwa unaweza ukautibu physiologically. Ni kiasi cha kuasume kama hauexist kwenye mwili wako.
POLE DAWA IPO KAPIME KIPIMO HIKI "HELICOBACTER PYLORI" (H-PYLORI TEST) KISHA UTUMIE DAWA HIZI H-PYLORI KIT CAPSULES VIDONDA KWISHNEE. JAMBO LA MSINGI UWE MVUMILIVU WA KUMEZA DAWA .DOZI NI SIKU 14Nimekuwa mgonjwa takliban miaka 3 najisikia tumbo likiwaka moto maumivu kifuani kuchoka kwumwamgongo mwilikukonda nk nimee zahanati malimbali mahospitar mbambali nishaenda nikapata dawa lakini spati nafuu kwa anae jua dawa msaada maaana bado napenda kuishi
Hiyo dawa ukinywa unakuwa kama umevurugwa, kuwa makini nayo. Mimi imenitesa sanaPOLE DAWA IPO KAPIME KIPIMO HIKI "HELICOBACTER PYLORI" (H-PYLORI TEST) KISHA UTUMIE DAWA HIZI H-PYLORI KIT CAPSULES VIDONDA KWISHNEE. JAMBO LA MSINGI UWE MVUMILIVU WA KUMEZA DAWA .DOZI NI SIKU 14
Hii dawa ni bei gani mkuu? Na inaweza kupatikana hata kwenye pharmacy ?POLE DAWA IPO KAPIME KIPIMO HIKI "HELICOBACTER PYLORI" (H-PYLORI TEST) KISHA UTUMIE DAWA HIZI H-PYLORI KIT CAPSULES VIDONDA KWISHNEE. JAMBO LA MSINGI UWE MVUMILIVU WA KUMEZA DAWA .DOZI NI SIKU 14
bei inategemea upo mkoa gani.mdio inapatikana famasiHii dawa ni bei gani mkuu? Na inaweza kupatikana hata kwenye pharmacy ?
Mi nipo dar mkuu,bei inategemea upo mkoa gani.mdio inapatikana famasi
elfu 18-20 Dozi