Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Siku mbili upone!! hahaha hivyo vyako vilikua vinaanza ila mwenzio ni 'chronic'Muuone dokta kingu ifakara morogoro anakupa dawa moja local siku mbili tu Keisha hizo habari .Mimi hata pilau nilikuwa sili ila sasa hivi nakula hadi pilipili.
Endelea na ubishi wako.Siku mbili upone!! hahaha hivyo vyako vilikua vinaanza ila mwenzio ni 'chronic'
Nitabisha mpaka mwakani hehehe hujanishawishi aiseee.Endelea na ubishi wako.
Asante kwa ushauri wakoPole mkuu... Sababu kubwa ya vidonda vya tumbo ni mawazo... Mawazo hufanya tumbo lizalishe acid kwa wingi hivyo kuchoma ngozi ya utumbo.. Sasa mimi (nikipata ulcers) usiku kabla ya kulala huwa nakunywa dawa ya kikohozi ya Koflyn... Hii ni dawa inayoleta usingizi mkali na hunifanya kulala fofofo kwa hiyo niwapo usingizini huwa siwazi na kweli nikifanya hivyo usiku kucha nalala raha mustarehe bila kuumwa na tumbo kwa kuwa mawazo hayapo active na ile koki ya kuzalisha acid inakuwa imefungwa kwa muda.
Pamoja na hayo huwa nakunywa anti acid pamoja na maziwa pakti moja. Nikifanya hivi baada ya wiki mbili nakuwa nimepona.
View attachment 663468
Nb.. Ukinywa dawa ya kikohozi yenye kuleta usingizi, kumbuka kutega alarm maana unaweza amka kesho yake saa nne ukachelewa kazini.
Ni chungu tu au hata sufuria naweza kutumia na pia hiyo dawa niitumie kwa muda gani yaani wiki moja,mbili au miezi...Kama unaweza kupata aloe vera kwa wingi itakusaidia.Chukua mmea wa Aloe Vera kwa wingi kisha katakata vipande vidogovidogo kisha uweke ndani ya chungu bila kuweka maji.Hakikisha unaupika mpaka unakauka na kubaki majivu kisha chukua chombo safi weka lile jivu la aloe vera iliyoungua.Changanya hilo jivu na asali kisha tumia kijiko kimoja mara tatu kwa siku.Vidonda vya tumbo vitabaki kuwa historia.Changamoto ni kuupata mmea wa Aloe Vera kwa wingi kwa sababu unaweza ukakaanga chungu kikubwa kikiwa kimejaa lakini majivu yakawa hayajai hata kwenye kiganja.
Pole mkuu... Sababu kubwa ya vidonda vya tumbo ni mawazo... Mawazo hufanya tumbo lizalishe acid kwa wingi hivyo kuchoma ngozi ya utumbo.. Sasa mimi (nikipata ulcers) usiku kabla ya kulala huwa nakunywa dawa ya kikohozi ya Koflyn... Hii ni dawa inayoleta usingizi mkali na hunifanya kulala fofofo kwa hiyo niwapo usingizini huwa siwazi na kweli nikifanya hivyo usiku kucha nalala raha mustarehe bila kuumwa na tumbo kwa kuwa mawazo hayapo active na ile koki ya kuzalisha acid inakuwa imefungwa kwa muda.
Pamoja na hayo huwa nakunywa anti acid pamoja na maziwa pakti moja. Nikifanya hivi baada ya wiki mbili nakuwa nimepona.
View attachment 663468
Nb.. Ukinywa dawa ya kikohozi yenye kuleta usingizi, kumbuka kutega alarm maana unaweza amka kesho yake saa nne ukachelewa kazini.
Ukitumia kiwango cha wastani hakuna madhara... Kumbuka dawa nyingi zina uwezo wa kuweza kutibu zaidi ya ugonjwa mmoja, yani dawa inaweza kuwa prescription drug na pia ikawa off the shelve drugs...haina madhara ukiiitumia kila wakati,je ikigeuka kuwa ulevi
Asante sanaMkuu wengine wanachanganya mayai yavkienyeji, mdalasini na asali (nyuki wadogo)
Unakunywa asbh kabla ya kula na jioni kabla ya kula, jaribu kwa week 1Asante sana
Iko wapi hiyo hospitaliMimi nilitibiwa ikonda hospital nilipewa dozi ya siku 32 baada ya hapo namshukuru Mungu maharage,pilipili mi fresh tu
Makete NjombeIko wapi hiyo hospitali