Hey mkuu tumia asali ya nyuki wadogo inasaidia sana mkuu pia ukiona maendeleo sio unatakiwa ukafanye endoscopyHivi jamani vidonda vya tumbo vinatibika kwa dawa gani, nina ndugu yangu katumia dawa za hospital lakini hajapona. Kwa yeyote anaefaham dawa ya huu ugonjwa tafadhari
Bongo sihami ng'oo
[emoji16] [emoji16] [emoji16] nimekusoma mkuuHey mkuu tumia asali ya nyuki wadogo inasaidia sana mkuu pia ukiona maendeleo sio unatakiwa ukafanye endoscopy
Kuangalia ni namna gan tumbo lako limepata perforation ama madonda kiasi gani
Kingine ukishajua hilo na tatizo likawa kubwa we bongo mbona utasepa tu aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa za hospitali haziponeshi, nimekunywa mno, zinatuliza tuHivi jamani vidonda vya tumbo vinatibika kwa dawa gani, nina ndugu yangu katumia dawa za hospital lakini hajapona. Kwa yeyote anaefaham dawa ya huu ugonjwa tafadhari
Bongo sihami ng'oo
achemshe bamia kila siku kwa wiki nzima, ulete mrejesho hapaHivi jamani vidonda vya tumbo vinatibika kwa dawa gani, nina ndugu yangu katumia dawa za hospital lakini hajapona. Kwa yeyote anaefaham dawa ya huu ugonjwa tafadhari
Bongo sihami ng'oo
usicheke mkuu, bamia ni dawa nzuri ya vidonda vya tumbo sitanii afya za watu, huufanya utumbo kuwa laini
Hapo nimekuelewa ngoja nifanye ivo maana nami nimeambiwa mengi sana mara hili ama lile mavi ya mbuzi mara mambo ni mengi unapoumwausicheke mkuu, bamia ni dawa nzuri ya vidonda vya tumbo sitanii afya za watu, huufanya utumbo kuwa laini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu niliwahi kutumia dawa inaitwa heligo kit nikapoma kabisa ni miaka miwili sasa nilikua sijasikia dalili. Lakini ghafla vimerudi I think ni stress na kuchelewa kula.Je alipata uchunguzi ili kujua kweli ana vidonda vya tumbo ili usije ukawa unatibu kitu kingine. Nauliza hivi maana madaktari wengine ukiwaambia naumwa tumbo basi watasema una vidonda. Uchunguzi sahihi uhusisha damu kuangalia wadudu waitwao H pylori au endoscopy kuangalia utumbo umetoboka kiasi gani au barium meal kama aina ya ultasound unameza uji ya barium kufanya tumbo kuwa gumu ili picha ionekane vema. Haya nyie mmepima njia gani?
Je daktari alimwambia ana vidonda vya aina gani maana kuna peptic ulcwr, duodenal ulcer ambazo kila moja ina tiba yake.
Baada ya kufanyiwa uchunguzi alimaliza dawa ? Na kubwa zaidi ni aina yake ya maisha kwa maana ya vyakula, muda wa kula, msongo nk hivi kama havijarekebishwa hata unnywe dawa zipi hautatatua bali utapata nafuu kiasi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vilikuwa stage ganMkuu niliwahi kutumia dawa inaitwa heligo kit nikapoma kabisa ni miaka miwili sasa nilikua sijasikia dalili. Lakini ghafla vimerudi I think ni stress na kuchelewa kula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa, ale bamia peke ake kivipi. Apike au ale zikiwa mbichi?