Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Nataman kukutafta ila nataka kuamini zinafanya kaz
Mana matapeli wenye kutumia shida za watu wameongezeka kitu kinachofanya watu wenye nia nzuri kupotea katika kundi hilo
Ningependa kupata ushuhuda wa aliepona ingekuwa vema kabisa
Ukizingatia kuna mda ulikuwa unatangaza dawa ya UKIMWI enzi hizo na kuinadi inaponesha

Sent using Jamii Forums mobile app
Usingojee kuletewa ushuhuda wa watu kama ni kweli unataka tiba toka kwangu nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia.
 
Hivi jamani vidonda vya tumbo vinatibika kwa dawa gani, nina ndugu yangu katumia dawa za hospital lakini hajapona. Kwa yeyote anaefaham dawa ya huu ugonjwa tafadhari

Bongo sihami ng'oo
Mwambie akatafute dawa inaitwa "kit".
Sina tena hayo madonda ya tumbo
 
Nyie ndo mnaotuulia watanzania kabisa!

Asilimia 90-100% ya watu wenye vidonda vya tumbo lazima wamesabibishiwa na bacteria anaitwa H.Pyroli.
Rejea hii tafiti The prevalence of Helicobacter pylori in peptic ulcer disease. - PubMed - NCBI

Katika visababishi vyako vya vidonda vya tumbo haujataja huyo mdudu umeishia kutaja vitu kama msongo wa mawazo ambavyo vilishaacha kuaminika kuleta vidonda vya tumbo.

Katika tiba zako hizo hakuna tiba inayoweza kumuua H.Pyroli hivo unawaua watanzania wazi wazi maana complication ya hivo vidonda ni kwamba kuna siku vinaweza toboka usipovi control au kuvitibu na unajua tumbo likitoboka usipofanyiwa upasuaji wa ku repair unakwenda na maji...Majirani zako wanaishia kusema utakua ulilogwa kumbe haukutibu vidonda vya tumbo inavyotakiwa.

Kuna dawa kama Diclopa ambazo watanzania wengi wanazitumia na wnegine huzitumia kwa mda mrefu labda wale wenye joint pain au maumivu ya mgongo.

Dawa hizi jamii ya NSAIDS zinapunguza ile mucus/ute unaolinda kuta za tumbo dhidi ya acidi inayotolewa kwenye mfumo wa chakula!
Hivo ukiondoa ute huu kwa kutumia hizo dawa unazidi kujimaliza!

Nafikiri itabdi niandae somo kwa ajili ya vidonda vya tumbo ili watanzania walioko humu jukwaani waache kudanganyika!
Leta sasa huo ukweli wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo jamaa anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kitu akojowe mkojo wake mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja awe anakunywa mkojo wake kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha Aende kupima hivyo Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa Mwambie ajaribu kutumia hiyo Dawa itamsaidia Sana.

Tahadhari:
Kabla ya kunywa huo Mkojo wake aende kupima Hospitali huo mkojo wake je unayo maradhi ya Zinaa au hauna? Ahakikishe Mkojo hauna Maradhi yoyote yale ndio anaweza kuutumia kwa kunywa .
Mzizi mkavu habari yako kiongozi...

Nilikuwa najihi maumivu madogo ktk kifua haswa ukigeuka,au kuinama. Na hata nikitumia mkono wangu kukangamiza kifua huwa kinauma sio kwa sana.
Jambo la pili likatokea kichomi upande wa kushoto chini pafu tumboni.

Kuona hivyo nikaenda Hospital Amana kuchukua vipimo vya kifua kwa kupiga X-Ray pamoja na vipimo Moyo.
Majibu yakatoka kuwa sina tatizo. Wakanipa dawa ya kutuliza hayo maumivu ambayo ni CLAVULIN na AROXICAM.

Sasa baada kuanza kuitumia hiyo dawa baada ya siku tatu nikimeza saa 2 Asubuhi ikifaka saa 5 mpaka 6 mchana naanza kujihisi kiungulia tumboni.

Naagiza chakula mida hiyo kiungulia kina potea. Ikifika saa 12 jioni kiungulia kinarudi. Nagiza maziwa kina pote.
Nikaamua niache kuitumia hiyo dawa lakini mpaka sasa bado kiungulia kinanisumbua.
 
Mzizi mkavu habari yako kiongozi...

Nilikuwa najihi maumivu madogo ktk kifua haswa ukigeuka,au kuinama. Na hata nikitumia mkono wangu kukangamiza kifua huwa kinauma sio kwa sana.
Jambo la pili likatokea kichomi upande wa kushoto chini pafu tumboni.

Kuona hivyo nikaenda Hospital Amana kuchukua vipimo vya kifua kwa kupiga X-Ray pamoja na vipimo Moyo.
Majibu yakatoka kuwa sina tatizo. Wakanipa dawa ya kutuliza hayo maumivu ambayo ni CLAVULIN na AROXICAM.

Sasa baada kuanza kuitumia hiyo dawa baada ya siku tatu nikimeza saa 2 Asubuhi ikifaka saa 5 mpaka 6 mchana naanza kujihisi kiungulia tumboni.

Naagiza chakula mida hiyo kiungulia kina potea. Ikifika saa 12 jioni kiungulia kinarudi. Nagiza maziwa kina pote.
Nikaamua niache kuitumia hiyo dawa lakini mpaka sasa bado kiungulia kinanisumbua.
Pole sana Dawa ya kiungulia chukuwa Kijiko 1 kidogo cha Magadi soda chapa ya Simba (Bicabonate of Soda) tia ndani ya glasi ya maji ya koroga vizuri ipate kuchanganyika vizuri kisha hapo hapo kunywa utapona.Ikiwa bado unayo maradhi mengine nitafute kwa wakati wako.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu

030008d2.jpg
 
Habari wanajukwaa, naomba kwa aliyewahi kuwa na vidonda vya tumbo akatibiwa na kupona tafadhal atusaidie alitumia dawa gan,hospital gan au kwa mtaalam gani ili nasisi tunufaike. Natanguliza shukran
Mkuu tatizo LA vidonda vya TUMBO ni sugu sana, Mimi nimeshindwa kabisa kutibiwa KWA sawa za hospital saizi nimeingia za asili Nazo nione itakuwaje, nitakuja mrejesho baada ya mwezi naona kama maendeleo ni mazuri
 
Vidonda vya tumbo ni moja ya long term conditions. Kufuata masharti na kubadilisha life style ni moja ya tiba.

1. Asubuhi ukiamka chemsha mdalasini weka kijiko cha asali mbichi unyewe hii ndiyo chai yako.

Chakula steam kebichi bila mafuta, katia parachichi juu. Hiki ndiyo chakula kukuu hasa hali inapokua mbaya.

Epukana na maziwa, pombe na ongeza unywaji wa maji na asali mbichi.
 
Mkuu tatizo LA vidonda vya TUMBO ni sugu sana, Mimi nimeshindwa kabisa kutibiwa KWA sawa za hospital saizi nimeingia za asili Nazo nione itakuwaje, nitakuja mrejesho baada ya mwezi naona kama maendeleo ni mazuri
Ni dawa ipi ya asili ambayo unatumia mkuu? Siwezi namimi kuipata?
 
Vidinda vya tumbo ni moja ya long term conditions. Kufuata masharti na kubadilisha life style ni moja ya tiba.

1. Asubuhi ukiamka chemsha mdalasini weka kijiko cha asali mbichi unyewe hii ndiyo chai yako.

Chakula steam kebichi bila mafuta, kati a parachichi juu. Hiki ndiyo chakula kukuu hasa hali inapokua mbaya.

Epukana na maziwa, pombe na ongeza unywaji wa maji na asali mbichi.
Shukran mkuu
 
Ni dawa ipi ya asili ambayo unatumia mkuu? Siwezi namimi kuipata?
Mkuu nimeanza juzi kutumia ngoja niicheck, maana mi nilikuwa naumwaumwa sana tumbo na kupata choo laini sana sababu ya vidonda, tangu nianze kuitumia choo napata kawaida na kuuma silisikii tena.
 
Back
Top Bottom