Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ni dawa ipi ya asili ambayo unatumia mkuu? Siwezi namimi kuipata?
Mimi binafsi sijwahi kuugua huo ugonjwa. Ni experience ya watu niliowaona tu.

Kule Mwanza kuna mtu alinipa ushuhuda kapona ulcers kwa kula pilipili. Very awkward lakini anasema alikua anaumwa sana ila mwishowe alipona.
 
Shukran sana mkuu sulayman, ila shida ni kwamba izo dawa ulizozitaja tayari nimeshatumia lakini sikupata nafuu yeyote
 
Shukran sana mkuu sulayman, lakini shida ni kwamba izo dawa ulizozitaja nimeshatumia lakini sikupata nafuu yeyote
 
Habari wanajukwaa, naomba kwa aliyewahi kuwa na vidonda vya tumbo akatibiwa na kupona tafadhal atusaidie alitumia dawa gan,hospital gan au kwa mtaalam gani ili nasisi tunufaike. Natanguliza shukran
Inawezekana niamini, kama unaweza niibobo ukishndwa basi.
 
PEPTIC ULCERS DISEASE (P.U.D)

TYPES
1.Gastric Ulcer (G.U).
2.Duodenal Ulcer (D.U).

CAUSES
■Over 95%
▪Bacteria-Helicobactor pylori
▪NSAIDS eg Aspirin.
■Less than 5%
▪Pancreatic tumor secretions.
▪Uknown.

MEDICATIONS
●Proton Pump Inhibitors (P.P.I.s).
Omeprazole 20mg.
Pantoprazole 40mg.
Lansoprazole 30mg.
Rabeprazole 20mg

INDICATION
Duodenal Ulcers.
Gastric Ulcers.
Maintenance of GERD-Gastroesophageal reflux disease.
Erosive Esophagitis.

●H.pylori eradication
1. PPI+Amoxicillin+Clarithromycin
2.PPI+Amoxicillin+Clarithromycin+Metronidazole
3.PPI+Clarithromycin+Tinidazole
Examples;
A B C
Rabeprazole20mg+Amoxicillin1000mg+Clarithromycin 500mg
HELIGO KIT for H.pylori
A B C
Tinidazole500mg+Clarithromycin250mg+Lansoprazole30mg
BD for 7 Days.
Then Lansoprazole 30mg OD for 4 weeks.

●H2- RECEPTOR ANTAGONIST (H2RA).
Cimetidine 400mg (p.o)BD or 800mg nocte.
Ranitidine 150mg (p.o)BD or 300mg nocte.
Famotidine 20mg (p.o) BD or 40mg nocte.
Duration;
12 weeks for Gastric Ulcers(GU).
8 weeks forDuodenal Ulcers(DU).

●ANTACIDS
Sucralfate 1g(p.o)QID
Sucrafil suspension.
Relcel gel suspension
Mucogel suspension
Entacyd plus Tabs & suspension.

●MUCOSAL PROTECTIVE AGENTS
Prevent ulcers in patients on NSAIDs
misoprostol 200mcg QID
 
Mkuu baadhi ya mchanganyiko wa dawa hapo nimeshatumia ila bado
 
tumia kikombe kimoja cha maj ya vuguvugu yalochanganywa na alovera kwa wiki mbili n kila siku



tatizo utaliskia kwa wenzanko
 
Habari wanajukwaa, naomba kwa aliyewahi kuwa na vidonda vya tumbo akatibiwa na kupona tafadhal atusaidie alitumia dawa gan,hospital gan au kwa mtaalam gani ili nasisi tunufaike. Natanguliza shukran
KAMA UKO ARUSHA NENDA PALE HIGH WAY LABORATORY WATAPIMA DAMU KAMA UNA MDUDU ANAITWA PYLORI WATAKUPA DAWA YA MAJI NA VIDONGE VYA SIKU 30. MIMI NINA MIEZI KADHAA TATIZO HALIJAJIRUDIA TOKEA NITUMIE HIYO DOZI
 
Mimi binafsi sijwahi kuugua huo ugonjwa. Ni experience ya watu niliowaona tu.

Kule Mwanza kuna mtu alinipa ushuhuda kapona ulcers kwa kula pilipili. Very awkward lakini anasema alikua anaumwa sana ila mwishowe alipona.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Asee unataka kumuua mwenzako kirahisi hivi? Pilipili hii ninayoifahamu au? Kama ndio yenyewe wala asithubutu kabisaaa!! Tumbo litawaka moto si kawaida
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Asee unataka kumuua mwenzako kirahisi hivi? Pilipili hii ninayoifahamu au? Kama ndio yenyewe wala asithubutu kabisaaa!! Tumbo litawaka moto si kawaida
Litawaka moto lkn atapona
 
KAMA UKO ARUSHA NENDA PALE HIGH WAY LABORATORY WATAPIMA DAMU KAMA UNA MDUDU ANAITWA PYLORI WATAKUPA DAWA YA MAJI NA VIDONGE VYA SIKU 30. MIMI NINA MIEZI KADHAA TATIZO HALIJAJIRUDIA TOKEA NITUMIE HIYO DOZI
Npo dar mkuu
 
Hivyo vitu vya Acid ni kama vp kiongozi, hebu nitajie aisee maana imefikia mpaka kiungulia kwenye koo
 
Ahsant mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…