mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
MziziMkavu tafadhali pita pande hizi
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ya asili ya kutibu vidonda vya tumbo na ukapona kabisa mimi ninayao ukitaka bonyeza hapa.MawasilianoWakuu habari za weekend naomba kujuzwa kama kuna dawa ya kiasili ya vidonda vya tumbo nikapona kabisa asanteni
Pole sana ninakupa Dawa ya muda wa kutibu vidonda vya tumbo tumia kwamuda wa siku 7 usipo pona nitafute ninayo Dawa itakayoweza kukuponyesha ukapona kabisa kwana tumia Dawa hii hapa chini:MziziMkavu tafadhali pita pande hizi
Poolee usipopona unitafuteMie kuna dawa nimeambiwa kwani name ni muhanga wa vidonda vya tumbo: chukua nyanya cungu 5 bamia 10 chemsha na maji kama lita 2 acha yachamke sana hadi yapungue usiweke chochote hata tone la chumvi chuja ondoa zile bamia na nyanya chungu hakikisha unapata glass moja kubwa ya maji utakayo chuja acha yapowe kidogo hadi iwe uvuguvugu kuwanya glass yote kwa mkupuo, zoezi hilo lifanye kwa muda wa siku 7 nikimaanisha kila siku unachemsha nyanya chungu na bamia nyingine kwakipindi hicho cha siku 7. Nimeanza hilo zoezi jana
Habarini JF members.
Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo viko kwenye stage za mwanzomwazo. Kutokana na maelezo ya watu mbalimbali wanasema kua ugonjwa huu hauponi kabisa ila unatulia tu ukimeza dawa.
Please wadau naomba kujua dawa nzuri inayoweza tibu maradhi haya hata kama ni hizi za asili.
Ahsanteni.
Mie kuna dawa nimeambiwa kwani name ni muhanga wa vidonda vya tumbo: chukua nyanya cungu 5 bamia 10 chemsha na maji kama lita 2 acha yachamke sana hadi yapungue usiweke chochote hata tone la chumvi chuja ondoa zile bamia na nyanya chungu hakikisha unapata glass moja kubwa ya maji utakayo chuja acha yapowe kidogo hadi iwe uvuguvugu kuwanya glass yote kwa mkupuo, zoezi hilo lifanye kwa muda wa siku 7 nikimaanisha kila siku unachemsha nyanya chungu na bamia nyingine kwakipindi hicho cha siku 7. Nimeanza hilo zoezi jana
Habarini JF members.
Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo viko kwenye stage za mwanzomwazo. Kutokana na maelezo ya watu mbalimbali wanasema kua ugonjwa huu hauponi kabisa ila unatulia tu ukimeza dawa.
Please wadau naomba kujua dawa nzuri inayoweza tibu maradhi haya hata kama ni hizi za asili.
Ahsanteni.
Mie kuna dawa nimeambiwa kwani name ni muhanga wa vidonda vya tumbo: chukua nyanya cungu 5 bamia 10 chemsha na maji kama lita 2 acha yachamke sana hadi yapungue usiweke chochote hata tone la chumvi chuja ondoa zile bamia na nyanya chungu hakikisha unapata glass moja kubwa ya maji utakayo chuja acha yapowe kidogo hadi iwe uvuguvugu kuwanya glass yote kwa mkupuo, zoezi hilo lifanye kwa muda wa siku 7 nikimaanisha kila siku unachemsha nyanya chungu na bamia nyingine kwakipindi hicho cha siku 7. Nimeanza hilo zoezi jana
Ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, unapaswa kujiepusha na tabia ya kula na kushiba kupita kiasi, kwa sababu kushiba sana huchochea uzalishaji wa asidi nyingi wakati wa usagaji chakula tumboni.
Mbali na hilo, vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi na vyenye kiwango kidogo sana cha kamba lishe, imethibitika kuwa husababisha madhara mengi tumboni.
Hebu tuangalie aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuviepuka mgonjwa ili kupata nafuu na kuishi bila kusumbuliwa nao:
USHAURI WANGU FANYA HIVI:
VYAKULA VYENYE VIUNGO VINGI
Epuka ulaji wa vyakula vilivyopikwa na kuungwa viungo vingi vya aina mbalimbali, kama vile pilipili kali za aina zote na viungo vingine vyenye ladha ya ukali ambavyo hutiwa ndani ya mboga ama chakula ili kuongeza ladha.
POMBE NA KAHAWA
Pombe na kahawa au vinywaji vingine vyenye ‘caffeine', vinaweza kuleta matatizo kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo na kwa mtu asiye navyo anaweza kupatwa na tatizo, hivyo ni vyema kuepuka au kutumia kwa kiasi kidogo vinywaji hivi. Kimsingi vinywaji hivi huongeza asidi tumboni na hivyo vinaweza kusababisha vidonda au kuzidisha maumivu kwa anayeumwa.
ULAJI CHUMVI
Utafiti uliowahi kufanywa nchini Marekani umeonesha kuwepo kwa uhusiano kati ya ulaji chumvi na vidonda vya tumbo. Mgonjwa anashauriwa kuepuka ulaji wa vyakula vyenye chumvi nyingi, hususan vyakula vya kusindika ambavyo huwekwa chumvi nyingi ili visiharibike haraka. Pia jiepushe na kuongeza chumvi kwenye sahani wakati wa kula.
MAFUTA YA SAMAKI
Baadhi ya utafiti unashauri wagonjwa wa vidonda vya tumbo wale mafuta yatokanayo na samaki (Omega-3 fats) ambayo yameonekana kutoa ahueni kwa wagonjwa. Na kwa mtu ambaye si mgonjwa atakuwa anajiwekea kinga dhidi ya vidonda vya tumbo na magonjwa mengine ya tumbo.
VITAMINI NA MADINI
Ulaji wa vyakula vyenye madini na vitamini kwa wingi husaidia sana kuleta ahueni kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo na kutoa kinga kwa wale ambao hawajaathirika. Wataalamu wa lishe wanashauri kupenda kula matunda na mboga za majani kama vile karoti, juisi ya kabeji, ndizi mbivu, na matunda mengine yenye vitamin C, halikadhalika maziwa ya mbuzi, jibini na cream za maziwa huleta ahueni.
STAILI YA MAISHA NA VIDONDA VYA TUMBO
Licha ya kusabisha Saratani, uvutaji sigara pia huongeza hatari ya mtu kupatwa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, hivyo ni sababu tosha ya kuacha uvutaji sigareti. Japo msongo wa mawazo unaweza kuwa vigumu kuuhusisha moja kwa moja na vidonda vya tumbo, lakini maisha ya wasiwasi, ukichangaya na ulaji mbovu, huweza kusababisha ugonjwa huu, hivyo kama unataka kujiepusha au kupunguza makali ya ugonjwa huu, ni muhimu kuzingatia ulaji sahihi na kuishi maisha ya furaha.
Dawa ya kuponyesha kabisa Vidonda vya Tumbo ninayo ukihitaji wasiliana na mimi kwa kubonyoza hapa.Mawasiliano
Habarini JF members.
Nasumbuliwa na vidonda vya tumbo viko kwenye stage za mwanzomwazo. Kutokana na maelezo ya watu mbalimbali wanasema kua ugonjwa huu hauponi kabisa ila unatulia tu ukimeza dawa.
Please wadau naomba kujua dawa nzuri inayoweza tibu maradhi haya hata kama ni hizi za asili.
Ahsanteni.
Dawa yako ilinisaidia sana, sasa sina tena tatizo hilo. nilienda kupima nikakuta negative(-).Dawa yako nimeikubali.