REISHI
Bidhaa hii inatokana na uyoga mwekundu unaotoka Asia ya mashariki, China, Japan. Uyoga(Ganoderma licidum) unaaminika sana Asia ya mashariki kuwa ni mmea ambao unawapa urefu wa maisha.
FAIDA YA REISHI
- Kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
- Inapunguza kasi ya kuzeeka
- Inaimarisha utendaji kazi wa moyo
- Inaondoa uchovu mwilini
- Inaimarisha ubongo,kumbukumbu na usikivu
- Inatibu presha ya kushuka
- Inatibu vidonda vya tumbo
- Inatibu pumu, allegy
- Inasaidia kupunguza msongo wa mawazo na kukupa usingizi mzuri
- Inapambana na maambukizi ya bacteria na fungus
- Inasaidia mwili kujikinga na kansa
- Inatibu matatizo ya candida
CA + FE + ZI PLUS
- CA – Madini ya Chokaa
- FE – Madini ya Chuma
- ZI – Madini ya Zinki
FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA
- 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
- Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
- Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
- Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
- Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha
FAIDA ZA MADINI CHUMA
- Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
- Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
- Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
- Huongeza nguvu mwilini
FAIDA ZA MADINI YA ZINKI
- Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
- Inaimarisha milango ya fahamu
- Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
- Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
- Inaondoa matatizo ya macho.
GOLDEN HYPHA
Bidhaa hii inatokana na uyoga wa njano na uyoga mweupe wa kawaida.
FAIDA ZA GOLDEN HYPHA
- Inasaidia kujikinga na saratani(kansa)
- Kuzuia kuenea kwa saratani(kansa) ya mwili
- Kujenga upya mfumo wa kinga mwilini na kuuimarisha
- Inaondoa madhara ya baadaye na matibabu ya kansa
- Inaondoa uvimbe mwilini
- Inatibu matatizo ya ini
- Inaongeza ute ute tumboni, puani,machoni na ukeni
- Kutibu matatizo ya ngozi
- Kupambana na bacteria na virusi
Kwa yeyote anayehitaji kuuliza swali au kutaka ushauri anaweza kunipigia kwa namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia email
ishealthy@hotmail.com
Gharama za REISHI ni Tsh 85000/-, GOLDEN HYPHA ni 72000/- na CA+FE+ZI Plus ni 51000/-