rubi ulitumia dawa gani pliz nina mdogo wangu anateseka sana pliz pliz
Mmh nivea mimi hatua yangu ilikuwa ndefu kidogo sijui kama maelezo yangu yatakusaidia ila kifupi kipindi hicho nilishikika kisawasawa hadi nikawa natembea kama ninakibyongo kwa ajili ya maumivu.
Basi baada ya kupata vipimo hospitali na dk kuona jinsi matatizo yalivyoniathidhiri, daktarii aliniandikia dozi kama ya miezi miwili baadhi ya dawa kwa kweli sizikumbuki ila ninazozikumbuka ni kama zantac, amoxiline, flyghl (sinahakika na spelling) na hizi dawa huwezi amini nilizitumia kwa kipindi hicho ingawa kuna baadhi zilikuwa za mwezi mmoja na nyingine nimesahau jina maana ni siku nyingi.
Pamoja na hayo kufuata mashariti ya daktari maana katika hizo dawa kuna ambazo nilikuwa nakunywa kabla ya kula, nyingine katikati ya mlo, nyingine baada ya kula. Vile vile vyakula vyote ambazo nilizuiliwa kula sikugusa hata shule nilikuwa naenda na chupa langu au la maziwa au uji lishe.
Baada ya kumaliza nilijisikia nimepona ila kutokana na mihangaiko vikawa vinanishtuashitua so kuna dada mmoja akaniambia nichukue kiini cha yai la kienyeji nichanganye na asali mbichi ikiwa ni ya nyuki wadogo ni nzuri zaidi nikafanya hivyo kama wiki kweli niliona matokeo mazuri, pia kutumia juisi ya Karoti inasaidia sana, vitunguu swaumu pia waweza kuchangania kwenye saladi na kama u buheri wa afya waweza kunywa mkojo wako ule wa asubuhi glasi moja hata siku tatu mpaka tano kabisa.( zingatia uwe mzima wa afya usiwe na uambukizo wa STD).
Kiukweli hayo yote mie nimeyapitia ni kipindi kirefu sasa maumivu ya vidonda kwangu ni ndoto na nala kila nipendacho na ni mpenzi wa pilipili.
La muhimu ukiwa kwenye matibafu fuata masharti ili kurahisisha kupona vizuri ukisha pona unarudia hali yako ya kawaida vidonda vinasumbua, vinatesa na vinaumiza sana na ni hatari hasa vinapofikia steji mbaya kupona ni shida sana nakumbuka wakati nasumbuliwa nilifikia hatua ya kuvutwa na glass yaani nawashiwa moto (wenyewe wanaita chembe moyo) kisha nafunikwa na glass kisha wana-pull maana tumbo lilikuwa kama limehamia mgongoni nikitembea nimeinama kama bi kizee, maumivi yasipoa, siku zote niko kama mgonjwa wa malaria, nikiumwa njaa nikichlewa kula najiona kama nafa, kila siku kuumwa kichwa, kichefuchefu kisichoisha kweli nilikuwa na taabu, nikienda kwa watu lazima nihakikishe nyumbani nimekula maana siwezi kula chochote hasa nikikuta wamepika maharage au jamii yoyote ya kunde lakini GOD IS GREAT LEO HII NANYATANYATA NIKIWA NJIANI, NAIMBA KWA SAUTI NIWAPO NA FURAHA, NALIA KWA MAJONZI NIWAPO NA MASIKITIKO, HATA KICHEKO CHA UMBEA NATOA NIKIWA NATETA, YOTE MAISHA.
POLE SANA KWA KUUGULIWA. ANAWEZA JARIBU HIZO TIBA MBADALA NILIZOORODHESHA HAPO KWA IMANI ATAPONA. AIKIAMUA KUANZA NA YA YAI AHAKIKISHE MAYAI ANAYASAFISHA KABLA YA KUVUNJA KUEPUKA UAMBUKIZO NA LAZIMA YAWE YA KUKU WA KIENYEJI. BWANA AMPONYE.