Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Wakuu asanteni kwa michango yenu mizuri. Lakini wengi kama sio wote mme-ignore tahadhari yangu. Sina shida na tiba mbadala, ila mimi binafsi nimefikia conclusion kwamba tibba mbadala zinatakiwa zitumike kama mazoea ya kawaida (kinga) zaidi kuliko kutibu. Nina uzoefu sana na hizi dawa. Ukitumia kama kinga ndio huwa effective zaidi. Kama ulcers zinasababishwa na bacteria fulani, bila shaka hospitali watakuwa na antibiotic kwa ajili yake.

Hilo tu!
 
Wakuu asanteni kwa michango yenu mizuri. Lakini wengi kama sio wote mme-ignore tahadhari yangu. Sina shida na tiba mbadala, ila mimi binafsi nimefikia conclusion kwamba tibba mbadala zinatakiwa zitumike kama mazoea ya kawaida (kinga) zaidi kuliko kutibu. Nina uzoefu sana na hizi dawa. Ukitumia kama kinga ndio huwa effective zaidi. Kama ulcers zinasababishwa na bacteria fulani, bila shaka hospitali watakuwa na antibiotic kwa ajili yake.

Hilo tu!

Bro ni mbaya sana kuomba ushauri halafu huku unajifanya unajua! Kwa nn umeuliza kama ulikuwa unajua? Nenda kapimwe utakuwa na ugonjwa mwingine unaokusumbua!nawasilisha!
 
Bro ni mbaya sana kuomba ushauri halafu huku unajifanya unajua! Kwa nn umeuliza kama ulikuwa unajua? Nenda kapimwe utakuwa na ugonjwa mwingine unaokusumbua!nawasilisha!
Mkuu Mgaya.com Huyu.@Truth Matters Mpuuzi fulani angelikuwa anajuwa asingelikuja hapa kuulizia hiyo dawa ya Vidonda vya tumbo tumuache kama alivyo kwanza amekula BAN kwa jeuri yake anawasumbuwa watu akili zao.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna dawa ya kutibu Vidonda vya Tumbo Ma-Hospitalini. Dawa za Hospitali zinatuliza tu Vidond vya Tumbo lakini hazitibu hizo

dawa za Hospitalini. Ukitakata Dawa ya kutiibu vidond vya tumbo za Mitishamba tiba mbadala zipo Fanya moja kati ya hizi dawa

tumia kwa muda wa siku 10 ukiwa bado hujapona tumia dawa nyingine kwa huo muda tena.

(1) Dawa ya vidonda vya tumbo Kunywa mkojo wako mwenyewe kwa muda wa siku 10 tu zinatosha kila siku asubuhi ukinge mkojo wako

mwenyewe kipimo cha glasi 1 kabla ya kula kitu unywe kisha ukae baada ya saa 1 unaweza kula chakula ufanye hivyo kwa muda wa siku 10 kisha uende kwa Daktari kupima huta kuta tena Vidonda vya Tumbo.

(2) Dawa ya Vidonda vya Tumbo


TIBA 1:
Tafuta glasi 1 (250ml) ya asali.Weka matone 10 ya Mafuta ya habbat saudai.Changanya na kijiko kimoja (10ml) cha unga wa ganda la komamanga.
Mgonjwa atakunywa dawa hii kutwa mara 1 (1×1) kwa muda wa siku 60 mfululizo.



Ni bora kutumia dawa hii asubuhi mapema kabla mgonjwa hajakula chochote
.

TIBA 2
:
Chukua kopo moja (1Ltr) la maji safi changanya kijiko kimoja kidogo (5ml) cha bizari ya pilau (uzile) na kijiko kidogo (5ml) cha unga wa haba soda.
Chemsha halafu iwache ipoe.Kunywa kikombe kimoja cha chai (200ml) kila siku (1×1) kabla ya kulala.

Tahadhari;usitumie vitu kama kahawa,pilipili na vitu vyengine vyote vikali

Mkuu ''taproot'', Hiyo number (1) mmh....!! Tiba mbadala ni nzuri kwa matibabu ya vidonda vya tumbo hata hao wazungu ndio wanazitumia . Pia, matumizi ya dagaa wale wadogodogo ni hatari, sababu vile vimiba vyake vinaenda kutoboa toboa utumbo.
 
Wakuu,
Hivi vidonda tumbo vinatibika na dawa za hospitali?
Anayejua dawa sahihi msaada tafadhali.

N.B sitaki dawa mbadala!

Achana na hizo dawa za kizungu wenyewe hawazipendi , wanazitengeneza kwa ajili ya kufanyia tafiti na ''sample specimen'' ni watu kama wewe.Ukienda ulaya , utatibiwa kwa hayo madawa yao ya viwandani lkn dawa mbadala ni aghali sana unaweza ushindwe nunua.Jiulize ni kwa nini? Matibabu ya ulcers ni karibia laki 1 kama ipo ktk early stage.
 
Mkuu ''taproot'', Hiyo number (1) mmh....!! Tiba mbadala ni nzuri kwa matibabu ya vidonda vya tumbo hata hao wazungu ndio wanazitumia . Pia, matumizi ya dagaa wale wadogodogo ni hatari, sababu vile vimiba vyake vinaenda kutoboa toboa utumbo.
Mkuu Chemiker Hiyo Namba Moja ndio Dawa inayoweza kutibu vidonda vya Tumbo kwa haraka zaidi kuliko dawa hizo zingine kama unaye mgonjwa jaribu kutumia hiyo dawa.Kisha uje unipe Feedback.
 
Last edited by a moderator:
Namba 1 hapana kabisaa,mimi niliumwa vidonda vya tumbo kwa miaka 8 na niliponea kigoma na miti iliyotumika naifahamu lakin ipo kule kule tu haipo sehemu zingne za TZ,kwa sasa nakula chochote na toka nipone ni miaka 6 sasa na nilishawahi waletea watu 4 huku Dar na wao wamepona hadi sasa,hizo dawa ulizoorozeshewa hapo juu haziponyeshi hata unywe miaka 10,kama unaweza kwenda kigoma nichek in box kwenye fb kupitia jina langu hilo nikuelekeze!Pole sana
 
Hakuna dawa ya kutibu Vidonda vya Tumbo Ma-Hospitalini. Dawa za Hospitali zinatuliza tu Vidond vya Tumbo lakini hazitibu hizo

dawa za Hospitalini. Ukitakata Dawa ya kutiibu vidond vya tumbo za Mitishamba tiba mbadala zipo Fanya moja kati ya hizi dawa

tumia kwa muda wa siku 10 ukiwa bado hujapona tumia dawa nyingine kwa huo muda tena.

(1) Dawa ya vidonda vya tumbo Kunywa mkojo wako mwenyewe kwa muda wa siku 10 tu zinatosha kila siku asubuhi ukinge mkojo wako

mwenyewe kipimo cha glasi 1 kabla ya kula kitu unywe kisha ukae baada ya saa 1 unaweza kula chakula ufanye hivyo kwa muda wa siku 10 kisha uende kwa Daktari kupima huta kuta tena Vidonda vya Tumbo.

(2) Dawa ya Vidonda vya Tumbo


TIBA 1:
Tafuta glasi 1 (250ml) ya asali.Weka matone 10 ya Mafuta ya habbat saudai.Changanya na kijiko kimoja (10ml) cha unga wa ganda la komamanga.
Mgonjwa atakunywa dawa hii kutwa mara 1 (1×1) kwa muda wa siku 60 mfululizo.



Ni bora kutumia dawa hii asubuhi mapema kabla mgonjwa hajakula chochote
.

TIBA 2
:
Chukua kopo moja (1Ltr) la maji safi changanya kijiko kimoja kidogo (5ml) cha bizari ya pilau (uzile) na kijiko kidogo (5ml) cha unga wa haba soda.
Chemsha halafu iwache ipoe.Kunywa kikombe kimoja cha chai (200ml) kila siku (1×1) kabla ya kulala.

Tahadhari;usitumie vitu kama kahawa,pilipili na vitu vyengine vyote vikali

wewe unayeandika utumbo huu, umeufanyia research.? Yeye hataki mandodi,name marahabu yako ,Anahitaji ushauri wa kitaalam, kaa kimya ,pisha wataalam
 
Mkuu Chemiker Hiyo Namba Moja ndio Dawa inayoweza kutibu vidonda vya Tumbo kwa haraka zaidi kuliko dawa hizo zingine kama unaye mgonjwa jaribu kutumia hiyo dawa.Kisha uje unipe Feedback.

Mkuu MziziMkavu naweza kukubaliana na wewe ila inategemea na mtu, maana wengine kunywa maji kwao ni Mwiko hivyo mikojo yao ni Njano sana na inatoa harufu kali sana kwa hiyo ukimwambia mgonjwa habari hii atashangaa. Muhimu, kama mgonjwa anataka kutumia hii dozi lazima ajizoeshe kunywa maji walau si chini ya Lita 3 kwa siku na hii itamsaidia kupunguza sumu mwilini.
 
wewe unayeandika utumbo huu, umeufanyia research.? Yeye hataki mandodi,name marahabu yako ,Anahitaji ushauri wa kitaalam, kaa kimya ,pisha wataalam

Kwani hao uliowataja kwa kebehi si wataalamu? Kwani unafikiri hizo dawa wanazotoa hawajazifanyia tafiti? Ulishawahi kutumia? Acha ulimbukeni!!(sorry kama nimekukwaza). Inaonekana wewe ni muumini wa dawa za kizungu!! na kwa taarifa yako dawa za kizungu zilizopo hapa Tz nyingi ni research za hao wazungu unaowasujudu!!
 
Ni amoxlin+flajil unameza zote pamoja.nimepoteza ela nyng bt nimekujapona bure kwa mpapai mda wa siku15 tu!!.
 
Mkuu Mgaya.com Huyu.@Truth Matters Mpuuzi fulani angelikuwa anajuwa asingelikuja hapa kuulizia hiyo dawa ya Vidonda vya tumbo tumuache kama alivyo kwanza amekula BAN kwa jeuri yake anawasumbuwa watu akili zao.
Mkuu MziziMkavu heshima kwako, nimesikitishwa na namna ulivyonitukana. Lazima ukubali mawazo tofauti nisawa na dini, kila mmoja anaamini ya kwake. Mimi kuzikataa tiba mbadala kwenye hili nina sababu zangu za msingi. Hata wewe ukiumwa sasa tutakupeleka hospitali hiyo 'mikojo' yako utaikimbia! Ukweli ni kuwa tiba mbadala 90% ni magumashi, labda utumie kama chakula tu cha kila siku!
 
Nakushauri utumie spirulina, aloe, na golden oyster product za compun ya neptunus for 45 days utapona me nilikuwa na ulcers for 10 yrs nikatumia hizo product nikapona kabisa na sasa sijambo




Consultationlifestyle@gmail.com
0754933254
 
wewe unayeandika utumbo huu, umeufanyia research.? Yeye hataki mandodi,name marahabu yako ,anahitaji ushauri wa kitaalam, kaa kimya ,pisha wataalam
kwa vyovyote vile wewe ni mgeni humu !
 
Namba 1 hapana kabisaa,mimi niliumwa vidonda vya tumbo kwa miaka 8 na niliponea kigoma na miti iliyotumika naifahamu lakin ipo kule kule tu haipo sehemu zingne za TZ,kwa sasa nakula chochote na toka nipone ni miaka 6 sasa na nilishawahi waletea watu 4 huku Dar na wao wamepona hadi sasa,hizo dawa ulizoorozeshewa hapo juu haziponyeshi hata unywe miaka 10,kama unaweza kwenda kigoma nichek in box kwenye fb kupitia jina langu hilo nikuelekeze!Pole sana
Mkuu Masoud Mwakoba Kwa sababu umepona wewe ndio unafikiri kila mtu akinywa hizo Dawa za kutoka kigoma atapona? Zilete hapa Mjini Dares-Salaam uwatibie watu? Unasema Namba namba 1 hapana kivyako wewe kuna watu humu ndani wametumia hiyo namba 1 na wamepona ngojea nikuitie mmoja wapo anaitwa Mr.@ngoshwe njoo uje umuambie Faida ya kunywa Mkojo wako mwenyewe kutibu vidond vya Tumbo huyu kijana anabisha.
 
Last edited by a moderator:
Naona wanapenda tu vinono na vilivyoungwa kiasi cha kuwasahau wenye mahitaji maalum ndugu yangu 124 Ali
Unatambua kuwa hawa wapika vinono hawana mpango wa kutupa guide line ya lishe bora sisi watu wa majeraha ya tumbo zaidi ya usile hikina kile?
 
Pole. mimi miaka ya 90 nilisumbuliiwa sana vidongo nika sili vyakula vyote vyenye acid na vyenye vichocheo vikali kama vile jamii ya kunde, chai ya rangi, pilipili, pilau na vyote vifananavyo.

Ila nashukuru Mungu baada ya kupona natwanga kila kitu kasoro mawe na kilicho haramu kwangu.

Tueleze kinagaubaga na wengine wenye tatizo hili wajue wafanyeje ili nao kupona
 
pole. Mimi miaka ya 90 nilisumbuliiwa sana vidongo nika sili vyakula vyote vyenye acid na vyenye vichocheo vikali kama vile jamii ya kunde, chai ya rangi, pilipili, pilau na vyote vifananavyo.

Ila nashukuru mungu baada ya kupona natwanga kila kitu kasoro mawe na kilicho haramu kwangu.
rubi ulitumia dawa gani pliz nina mdogo wangu anateseka sana pliz pliz
 
rubi ulitumia dawa gani pliz nina mdogo wangu anateseka sana pliz pliz
Mmh nivea mimi hatua yangu ilikuwa ndefu kidogo sijui kama maelezo yangu yatakusaidia ila kifupi kipindi hicho nilishikika kisawasawa hadi nikawa natembea kama ninakibyongo kwa ajili ya maumivu.

Basi baada ya kupata vipimo hospitali na dk kuona jinsi matatizo yalivyoniathidhiri, daktarii aliniandikia dozi kama ya miezi miwili baadhi ya dawa kwa kweli sizikumbuki ila ninazozikumbuka ni kama zantac, amoxiline, flyghl (sinahakika na spelling) na hizi dawa huwezi amini nilizitumia kwa kipindi hicho ingawa kuna baadhi zilikuwa za mwezi mmoja na nyingine nimesahau jina maana ni siku nyingi.

Pamoja na hayo kufuata mashariti ya daktari maana katika hizo dawa kuna ambazo nilikuwa nakunywa kabla ya kula, nyingine katikati ya mlo, nyingine baada ya kula. Vile vile vyakula vyote ambazo nilizuiliwa kula sikugusa hata shule nilikuwa naenda na chupa langu au la maziwa au uji lishe.

Baada ya kumaliza nilijisikia nimepona ila kutokana na mihangaiko vikawa vinanishtuashitua so kuna dada mmoja akaniambia nichukue kiini cha yai la kienyeji nichanganye na asali mbichi ikiwa ni ya nyuki wadogo ni nzuri zaidi nikafanya hivyo kama wiki kweli niliona matokeo mazuri, pia kutumia juisi ya Karoti inasaidia sana, vitunguu swaumu pia waweza kuchangania kwenye saladi na kama u buheri wa afya waweza kunywa mkojo wako ule wa asubuhi glasi moja hata siku tatu mpaka tano kabisa.( zingatia uwe mzima wa afya usiwe na uambukizo wa STD).

Kiukweli hayo yote mie nimeyapitia ni kipindi kirefu sasa maumivu ya vidonda kwangu ni ndoto na nala kila nipendacho na ni mpenzi wa pilipili.

La muhimu ukiwa kwenye matibafu fuata masharti ili kurahisisha kupona vizuri ukisha pona unarudia hali yako ya kawaida vidonda vinasumbua, vinatesa na vinaumiza sana na ni hatari hasa vinapofikia steji mbaya kupona ni shida sana nakumbuka wakati nasumbuliwa nilifikia hatua ya kuvutwa na glass yaani nawashiwa moto (wenyewe wanaita chembe moyo) kisha nafunikwa na glass kisha wana-pull maana tumbo lilikuwa kama limehamia mgongoni nikitembea nimeinama kama bi kizee, maumivi yasipoa, siku zote niko kama mgonjwa wa malaria, nikiumwa njaa nikichlewa kula najiona kama nafa, kila siku kuumwa kichwa, kichefuchefu kisichoisha kweli nilikuwa na taabu, nikienda kwa watu lazima nihakikishe nyumbani nimekula maana siwezi kula chochote hasa nikikuta wamepika maharage au jamii yoyote ya kunde lakini GOD IS GREAT LEO HII NANYATANYATA NIKIWA NJIANI, NAIMBA KWA SAUTI NIWAPO NA FURAHA, NALIA KWA MAJONZI NIWAPO NA MASIKITIKO, HATA KICHEKO CHA UMBEA NATOA NIKIWA NATETA, YOTE MAISHA.

POLE SANA KWA KUUGULIWA. ANAWEZA JARIBU HIZO TIBA MBADALA NILIZOORODHESHA HAPO KWA IMANI ATAPONA. AIKIAMUA KUANZA NA YA YAI AHAKIKISHE MAYAI ANAYASAFISHA KABLA YA KUVUNJA KUEPUKA UAMBUKIZO NA LAZIMA YAWE YA KUKU WA KIENYEJI. BWANA AMPONYE.
 
Back
Top Bottom