Uguma wa maisha chanzo cha wanawake kulilia shida siku ya kwanza ya mahusiano

Uguma wa maisha chanzo cha wanawake kulilia shida siku ya kwanza ya mahusiano

Mkuu akiomba Hela hapo hapo nawe omba ulichoombea namba hapo hapo akikubali aina budi kumpa Hela anayotaka nawe akupee utamu ....

Cku hzi mapenzi yamekuwaa biashara ..shtuka..
Madem omba omba nilishawapotezea zamani sana utowaji wao k wamasharti sana ni kama ulivyosema mapenzi yameshatoka kwenye upendo sasa nipe nikupe kama unanunua bidhaa dukani
 
Madem omba omba nilishawapotezea zamani sana utowaji wao k wamasharti sana ni kama ulivyosema mapenzi yameshatoka kwenye upendo sasa nipe nikupe kama unanunua bidhaa dukani
Ndio torati Kwa ss mkuu...
 
kwahiyo wewe hujisikii aibu kuomba sex siku ya kwanza? ila mimi nione aibu kukuomba hela

ngoma droo ukituma sms ya kuomba sex itajibiwa na sms ya kuomba hela
 
Labda kama alikutongoza yeye, ila ukitongoza mizinga ni kawaida .. Yaani wana imani bila kupiga vizinga hawajakamilika..
dem kupga mizinga n kawaida hata mtu kamili huwez kutokumuhudumia dem wako mwez mzma humpi ata mia duh noma
 
Mkuu akiomba Hela hapo hapo nawe omba ulichoombea namba hapo hapo akikubali aina budi kumpa Hela anayotaka nawe akupee utamu ....

Cku hzi mapenzi yamekuwaa biashara ..shtuka..
Usimpe mwanamke hela kabla ya kukupa utamu, hakikisha umeingiza ndani ndiyo hela .

Tofauti na hapo usije ukasema huku ambiwa.
 
dem kupga mizinga n kawaida hata mtu kamili huwez kutokumuhudumia dem wako mwez mzma humpi ata mia duh noma
Huduma ni hadi ujimilikishe ... Mtu hata wiki haijaisha analeta stori za nimeona kitu fulani mtandaoni, nimekipenda sema sina hela nikopeshe basi 😣
 
Back
Top Bottom