Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Kanuni ndo hii watu sijui hawaelewi wapi!Usimpe mwanamke hela kabla ya kukupa utamu, hakikisha umeingiza ndani ndiyo hela .
Tofauti na hapo usije ukasema huku ambiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanuni ndo hii watu sijui hawaelewi wapi!Usimpe mwanamke hela kabla ya kukupa utamu, hakikisha umeingiza ndani ndiyo hela .
Tofauti na hapo usije ukasema huku ambiwa.
Hiyo ya pili ndio point,matatizo ya akiliVijana wengi hasa wakiume wamekuwa wakilalamika hasa suala ya kumtongoza mwanamke na siku hiyohiyo kijana anaanza kuliliwa matatizo. Mimi mwenyewe nimekuwa ni muhanga, yaani ile tu kumuambia mwanamke unahitaji kuwa katika mahusiano basi kitakachofuata ni kuliliwa shida na matatizo.
Moja ya sababu nilizoziona hasa ni ugumu wa maisha, mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na ni mtu ambae hawezi kuficha dhiki zake kwa muda mrefu. Kwa hiyo akipata mwenza huwa anaona amepata muokozi wa matatizo yake.
Sababu ya pili ni matatizo ya afya ya akili na saikoloji kutokana na hali ngumu ya maisha wanawake wengi wana tatizo la afya ya akili na saikoloji😎, haiwezekani tuonane leo hii hata hatujafahamiana vizuri, hunijui na sikujui hata aibu huna unaanza kunililia shida zako na matatizo yako.
Mbaya zaidi kati ya hao wengi wanaopigwa mizinga wale wanaompa hela wanaoneka mabwege au mafala fulaniWanaanzaga kuomba vocha, soda, unaandaliwa kisaikoloji uje upigwe mzinga wa uhakika. Mbaya zaidi wana wengi wa kuwapiga mizinga
Kitoto cha 2000 kinaniambia mm bahili af na roho mbaya kwa simu.aaah hawana haya mademu tena unakuta mwngne kadogo tu ila mabalaa yake unakimbia mapma tuH
Nikopeshe ndo gia yao sasa ukimkopa utamdaije demu wako??Huduma ni hadi ujimilikishe ... Mtu hata wiki haijaisha analeta stori za nimeona kitu fulani mtandaoni, nimekipenda sema sina hela nikopeshe basi 😣
😂😂 afu atakukataa badae akuambie ww hujasoma anatk msomi mwenzieKitoto cha 2000 kinaniambia mm bahili af na roho mbaya kwa simu.
Nimemuacha aende asije nifilisi mtu mwenyewe anaenda chuo atakutana na wana wengine.
Kabisa mkuu, wanawake sahivi ni matapeli kichiziHakikaa[emoji23][emoji23][emoji23]
uyo ni tapeliHuduma ni hadi ujimilikishe ... Mtu hata wiki haijaisha analeta stori za nimeona kitu fulani mtandaoni, nimekipenda sema sina hela nikopeshe basi 😣
Tatizo vijana wanawaza kwa kutumia nyege.Kanuni ndo hii watu sijui hawaelewi wapi!
Usihudumie mwanamke ambaye hijamuoa (siyo mke wako),dem kupga mizinga n kawaida hata mtu kamili huwez kutokumuhudumia dem wako mwez mzma humpi ata mia duh noma
🤪 99% ya wanawake wanaomzunguka mwanaume ni matapeli... Tuishi nao kwa akili na tahadhari.uyo ni tapeli
najua leo umefurahi, nitumie pesa kidogo ya vocha😄Hiyo ya pili ndio point,matatizo ya akili
pure talented au wewe unasemaje?Kwenye Maisha kuna vitu viwili au niseme watu watu wa aina mbili, pure talented and copycat
Sasa unawezaje kuwatofautisha watu hawa? Pure talented huyu ni yule ambae hatumii nguvu nyingi kufanya uwasilishaji wa kile anachokiwasilisha yaan anatiririka tu bila shida yoyote Ila copycat ni yule anaetumia nguvu nyingi sana sababu sio yeye Ila amecopy personality ya mtu fulani kufanya uwasilishaji
Sasa wewe upo kundi gani pure talented or copycat?
Jichunguze
Pure talented = above average abilitypure talented au wewe unasemaje?
Sijawah kutuma meseji za kindez ndez kama hizo.. hiyo ni stage mbaya sana ya ku simp.Na ukiona meseji beb nasikia baridi usijibu..
Mbwa kala mbwa...