Ugumu kwa NATO kuingiza majeshi moja kwa moja katika mgogoro baina ya Urusi na Ukraine

Ugumu kwa NATO kuingiza majeshi moja kwa moja katika mgogoro baina ya Urusi na Ukraine

Kuna swali moja Dogo sana ambalo Mnaulizwa na mara zote mnalikwepa....je ni kwa nini maka sasa NATO haijapeleka majeshi uwanja wa vita kuipiga Urusi?
kwasababu Ukraine siyo mwanachama wa NATO
 
Hujagusia uwezo wa kulitawala anga duniani,,hapa NATO ndo wanajikojolea.
Anga la Ukraine ambayo haina air defense systems imeshindwa kukitawala sembuse anga la NATO ! hizi nchi ni overrated tu. Moskova tuliyoambiwa inalindwa sijui na mitambo gani imezamishwa na kombora la kienyeji kabisa. Urusi zaidi ya nuclear na idadi kubwa ya askari hana cha kuwazidi nchi nyingine.
 
bongo tuna vichaa weng sema hamjijui tu , uvamiwe hlf ubembelez aman huku mwenzio anakudunda tu
Kwa hiyo majambazi wakikuvamia kwako na wanasilaha za moto utaenda kupambana nao kwa panga. Sometimes tumia akili kidogo
 
Kuna swali moja Dogo sana ambalo Mnaulizwa na mara zote mnalikwepa....je ni kwa nini maka sasa NATO haijapeleka majeshi uwanja wa vita kuipiga Urusi?

jibu:
Hakuna maslahi ya kimkakati ya Nato pale Ukraine. NATO hawapigani kiboya. Lengo ni kumuondoa rusia kwenye reli bila wao kupata athar kubwa sana. na kwa 78% wamefanikiwa.
 
Tofauti na nchi za Yugoslavia, Iraq, Afghanistan, Libya na hata Syria.

Urusi ni nchi yenye jeshi kubwa sana hapa duniani na lililokamilika.

Urusi Ina majeshi kamili ya Ardhini,angani na majini.

Sio TU kamili,Bali pia Ina silaha za Kila aina na za kipekee,katika majeshi hayo matatu.

Russia inajua sehemu za kupiga katika Kila mwanachama wa NATO.
Na bahati mbaya kipigo kwa hizo nchi sio Cha kitoto,sio kama anachopewa Ukraine.
Urusi inazo silaha ambazo bado hata haijazitumia kwa Ukraine.
Silaha hizo Zina wasubiri wa NATO,achilia mbali silaha za nyukilia.
Hii ndio moja ya sababu ambayo NATO wanajishauri mara mbili kuingiza majeshi.
Hakuna hata nchi moja ya NATO ambayo IPO tayari kuharibu miundombinu Yao,majengo mazuri na uchumi wa nchi hizo kwa sababu ya Ukraine.

Sababu nyingine ambayo NATO wanaiona na kutotamni kuingia kijeshi ni washirika wa Urusi.
Unaweza kuona kama Urusi Haina washirika ,ama hawako tayari kuiunga mkono Russia ,lakini sio kweli,ukweli ni kwamba NATO wakiingia ,china,Iran,Korea Kaskazini,na wale jamaa wa mashariki mwa Urusi waliokua sehemu ya USSR zamani nao wataingia vitani kumsaidia Urusi.hii nayo ni sababu nyingine inayowafanya NATO waingiwe na mawazo.
Sababu za washirika wa Urusi kuingia ni kwamba kwa mfano china.china ataona kama Urusi akishindwa maana yake uchina nae atafuata kupigwa na USA na washirika wake,hivyo ataona ni Bora kumsaidia Urusi ili kumdhibiti USA na mabeberu wenzake.
Hali hiyo Iko hivyo kwa Korea Kaskazini.
Hebu fikiria kama Venezuela na Cuba kama zingekua na uwezo wa kijeshi zingefanyaje kama vita ya Urusi na NATO ikitokea.

Watu wengi hawajui kua upande wa East wamajizatiyi sana kijeshi kuliko hata kiuchumi,angalia TU Korea kaskazini.hii ni kwa sababu vitisho vya kuvamiwa vimekua vikubwa mno.kila siku USA unasema itaivamia Korea Kaskazini.nayo Korea ikaamua kujizatiti kijeshi zaidi kwanza uchumi baadae.

Hebu Sasa tuangalie uwezo wa kijeshi kati ya Ukraine na nchi zilizovamiwa na USA NATO.

Kijeshi Ukraine ni Bora zaidi kuliko Iran, Afhanistan,na hata Libya.Angalau Yugoslavia ilikua na uwezo,haya hivyo haikua Yugoslavia kamili kwa sababu ilkua tayari imeanza kusambaratika.
Afhanistan haikua na Jeshi la majini wala la angani,haikua na Jeshi la ardhini lililokamilika zaidi ni jeshi la wanamgambo.

Jeshi la Iraq halikua imara kama Ukraine ya Leo.
Syria ilishakamatwa %80 na waasi.

Ukraine Ina silaha nyingi sana,Kambi nyingi za kijeshi,jeshi Bora kabisa. Naliliofundishwa na USA UK na NATO.wengine kwa miaka minane.

Baada ya vita kuanza Ukraine imekua ikipata taarifa za kiintelijensia kutoka taasisi zote kubwa za kiintelijensia za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata ushauri wa kijeshi kutoka wataalamu wa kivita wa nchi zote za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata michango ya silaha kutoka nchi zote za NATO.
Imekua ikipata misaada ya fedha na kilojistiki kutoka nchi za NATO.

Imekua ikitiwa moyo kutoka nchi za west nato na washirika wao wa mbali kama Japan na Australia.

Imesaidiwa kiuchumi kwa kudhoofisha Urusi kiuchumi kwa kuwekewa vikwazo vikubwa sana..

Sasa hebu fikiria Urusi ni nchi ya aina Gani kupigana na nchi inayosaidiwa kwa Kila kitu kutoka mataifa makubwa sana kiuchumi na kijeshi zaidi ya mataifa 35+

Hayo ni mawazo yako au nato ndo wamekutaarifu kuwa ugumu ni huo ulioutaja kupeleka jeshi ukraine?
 
Tofauti na nchi za Yugoslavia, Iraq, Afghanistan, Libya na hata Syria.

Urusi ni nchi yenye jeshi kubwa sana hapa duniani na lililokamilika.

Urusi Ina majeshi kamili ya Ardhini,angani na majini.

Sio TU kamili,Bali pia Ina silaha za Kila aina na za kipekee,katika majeshi hayo matatu.

Russia inajua sehemu za kupiga katika Kila mwanachama wa NATO.
Na bahati mbaya kipigo kwa hizo nchi sio Cha kitoto,sio kama anachopewa Ukraine.
Urusi inazo silaha ambazo bado hata haijazitumia kwa Ukraine.
Silaha hizo Zina wasubiri wa NATO,achilia mbali silaha za nyukilia.
Hii ndio moja ya sababu ambayo NATO wanajishauri mara mbili kuingiza majeshi.
Hakuna hata nchi moja ya NATO ambayo IPO tayari kuharibu miundombinu Yao,majengo mazuri na uchumi wa nchi hizo kwa sababu ya Ukraine.

Sababu nyingine ambayo NATO wanaiona na kutotamni kuingia kijeshi ni washirika wa Urusi.
Unaweza kuona kama Urusi Haina washirika ,ama hawako tayari kuiunga mkono Russia ,lakini sio kweli,ukweli ni kwamba NATO wakiingia ,china,Iran,Korea Kaskazini,na wale jamaa wa mashariki mwa Urusi waliokua sehemu ya USSR zamani nao wataingia vitani kumsaidia Urusi.hii nayo ni sababu nyingine inayowafanya NATO waingiwe na mawazo.
Sababu za washirika wa Urusi kuingia ni kwamba kwa mfano china.china ataona kama Urusi akishindwa maana yake uchina nae atafuata kupigwa na USA na washirika wake,hivyo ataona ni Bora kumsaidia Urusi ili kumdhibiti USA na mabeberu wenzake.
Hali hiyo Iko hivyo kwa Korea Kaskazini.
Hebu fikiria kama Venezuela na Cuba kama zingekua na uwezo wa kijeshi zingefanyaje kama vita ya Urusi na NATO ikitokea.

Watu wengi hawajui kua upande wa East wamajizatiyi sana kijeshi kuliko hata kiuchumi,angalia TU Korea kaskazini.hii ni kwa sababu vitisho vya kuvamiwa vimekua vikubwa mno.kila siku USA unasema itaivamia Korea Kaskazini.nayo Korea ikaamua kujizatiti kijeshi zaidi kwanza uchumi baadae.

Hebu Sasa tuangalie uwezo wa kijeshi kati ya Ukraine na nchi zilizovamiwa na USA NATO.

Kijeshi Ukraine ni Bora zaidi kuliko Iran, Afhanistan,na hata Libya.Angalau Yugoslavia ilikua na uwezo,haya hivyo haikua Yugoslavia kamili kwa sababu ilkua tayari imeanza kusambaratika.
Afhanistan haikua na Jeshi la majini wala la angani,haikua na Jeshi la ardhini lililokamilika zaidi ni jeshi la wanamgambo.

Jeshi la Iraq halikua imara kama Ukraine ya Leo.
Syria ilishakamatwa %80 na waasi.

Ukraine Ina silaha nyingi sana,Kambi nyingi za kijeshi,jeshi Bora kabisa. Naliliofundishwa na USA UK na NATO.wengine kwa miaka minane.

Baada ya vita kuanza Ukraine imekua ikipata taarifa za kiintelijensia kutoka taasisi zote kubwa za kiintelijensia za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata ushauri wa kijeshi kutoka wataalamu wa kivita wa nchi zote za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata michango ya silaha kutoka nchi zote za NATO.
Imekua ikipata misaada ya fedha na kilojistiki kutoka nchi za NATO.

Imekua ikitiwa moyo kutoka nchi za west nato na washirika wao wa mbali kama Japan na Australia.

Imesaidiwa kiuchumi kwa kudhoofisha Urusi kiuchumi kwa kuwekewa vikwazo vikubwa sana..

Sasa hebu fikiria Urusi ni nchi ya aina Gani kupigana na nchi inayosaidiwa kwa Kila kitu kutoka mataifa makubwa sana kiuchumi na kijeshi zaidi ya mataifa 35+
Mhmm jamaa yupo vitani na Dunia?
Naona ushawishi wa US kijeshi utaporomoka.
 
Pia kasema askari wake kati ya 160 - 240 wanauwawa kila siku kwenye mapigano.
Lakini hajaona sababu ya kusimamisha vita
Atasimamishaje hajaambiwa Malaya wake wanaume wake wanaomsaidia. From the very beginning nilisema lawama zote kuiingiza nchi vitani, kusababisha vifo, homeles, refugee ni zelensky, he is very stupid. Wkati wa vita barid tulichagua NAM(NON ALIGNMENT)

Ye alishindeaje kuniweka Kandi na Hawa wanagharibi IL Hali yeye alikuwa Soviet zamani??

Wkati mwingine tunachagua kutogombana na majirani zetu ni Kwa sabb tunatakiwa tuchague kukaa kimya.

Moja ya Siri ya kivita ambayo wengi hawaitambui NATO kila anachompa Ukraine kinashambuliwa, the most paramount target is to destroy every item brought to Ukraine wherever it comes from.

Russian ilitoa chance mapema kwa wananchi kuondoka maana wakati wa kutupia vitu vizito umeshawadia.

West actually kama wangetaka wangejitokeza mapema, Kwa Sasa it's like Russia ameelekeza kila missile upande unaotakiwa, alitumia Muda wake vzr kujiandaa na Hawa waliodhani ataushiwa nguvu.

Russia hajaomba msaada wowote japo majirani knows it's like wanatakiwa wajue wajibu wao. Siri sirini, hatujui wameongea nini.

Alichoonya ni West kuisaidia ukraine.kwa sabb hajavamia, ni operation as USA has done lot of it.

Ukrainian Head of state ameikosea Sana jamii ya mashariki.

Russian haikutaka tu,kumkamata. Ingeshamla kichwa. International law don't allow.

Screenshot_20220613-122708.jpg
 
Urusi kuivamia ni ngumu kwa sasa kwa kua pumzi bado anayo ila trust me watainyong'onyeza kwa njia za ki intelligence mpk atachuchumaa tu ndipo watampiga akianza kuhema kama kuku aliyetoka kukimbizwa.
 
Kuna swali moja Dogo sana ambalo Mnaulizwa na mara zote mnalikwepa....je ni kwa nini maka sasa NATO haijapeleka majeshi uwanja wa vita kuipiga Urusi?
Kwa sababu Ukraine sio mwanachama wa NATO. Urusi akavamie mwanachama wa NATO halafu wakishindwa kupeleka jeshi ndio uje kuwananga humu.
 
Tofauti na nchi za Yugoslavia, Iraq, Afghanistan, Libya na hata Syria.

Urusi ni nchi yenye jeshi kubwa sana hapa duniani na lililokamilika.

Urusi Ina majeshi kamili ya Ardhini,angani na majini.

Sio TU kamili,Bali pia Ina silaha za Kila aina na za kipekee,katika majeshi hayo matatu.

Russia inajua sehemu za kupiga katika Kila mwanachama wa NATO.

Na bahati mbaya kipigo kwa hizo nchi sio Cha kitoto,sio kama anachopewa Ukraine.

Urusi inazo silaha ambazo bado hata haijazitumia kwa Ukraine.

Silaha hizo Zina wasubiri wa NATO,achilia mbali silaha za nyukilia.

Hii ndio moja ya sababu ambayo NATO wanajishauri mara mbili kuingiza majeshi.

Hakuna hata nchi moja ya NATO ambayo IPO tayari kuharibu miundombinu Yao,majengo mazuri na uchumi wa nchi hizo kwa sababu ya Ukraine.

Sababu nyingine ambayo NATO wanaiona na kutotamni kuingia kijeshi ni washirika wa Urusi.

Unaweza kuona kama Urusi Haina washirika ,ama hawako tayari kuiunga mkono Russia ,lakini sio kweli,ukweli ni kwamba NATO wakiingia ,china,Iran,Korea Kaskazini,na wale jamaa wa mashariki mwa Urusi waliokua sehemu ya USSR zamani nao wataingia vitani kumsaidia Urusi.hii nayo ni sababu nyingine inayowafanya NATO waingiwe na mawazo.

Sababu za washirika wa Urusi kuingia ni kwamba kwa mfano china.china ataona kama Urusi akishindwa maana yake uchina nae atafuata kupigwa na USA na washirika wake,hivyo ataona ni Bora kumsaidia Urusi ili kumdhibiti USA na mabeberu wenzake.

Hali hiyo Iko hivyo kwa Korea Kaskazini.

Hebu fikiria kama Venezuela na Cuba kama zingekua na uwezo wa kijeshi zingefanyaje kama vita ya Urusi na NATO ikitokea.

Watu wengi hawajui kua upande wa East wamajizatiyi sana kijeshi kuliko hata kiuchumi,angalia TU Korea kaskazini.hii ni kwa sababu vitisho vya kuvamiwa vimekua vikubwa mno.kila siku USA unasema itaivamia Korea Kaskazini.nayo Korea ikaamua kujizatiti kijeshi zaidi kwanza uchumi baadae.

Hebu Sasa tuangalie uwezo wa kijeshi kati ya Ukraine na nchi zilizovamiwa na USA NATO.

Kijeshi Ukraine ni Bora zaidi kuliko Iran, Afhanistan,na hata Libya.Angalau Yugoslavia ilikua na uwezo,haya hivyo haikua Yugoslavia kamili kwa sababu ilkua tayari imeanza kusambaratika.

Afhanistan haikua na Jeshi la majini wala la angani,haikua na Jeshi la ardhini lililokamilika zaidi ni jeshi la wanamgambo.

Jeshi la Iraq halikua imara kama Ukraine ya Leo.
Syria ilishakamatwa %80 na waasi.

Ukraine Ina silaha nyingi sana,Kambi nyingi za kijeshi,jeshi Bora kabisa. Naliliofundishwa na USA UK na NATO.wengine kwa miaka minane.

Baada ya vita kuanza Ukraine imekua ikipata taarifa za kiintelijensia kutoka taasisi zote kubwa za kiintelijensia za Upande wa west NATO.

Imekua ikipata ushauri wa kijeshi kutoka wataalamu wa kivita wa nchi zote za Upande wa west NATO.

Imekua ikipata michango ya silaha kutoka nchi zote za NATO.

Imekua ikipata misaada ya fedha na kilojistiki kutoka nchi za NATO.

Imekua ikitiwa moyo kutoka nchi za west nato na washirika wao wa mbali kama Japan na Australia.

Imesaidiwa kiuchumi kwa kudhoofisha Urusi kiuchumi kwa kuwekewa vikwazo vikubwa sana..

Sasa hebu fikiria Urusi ni nchi ya aina Gani kupigana na nchi inayosaidiwa kwa Kila kitu kutoka mataifa makubwa sana kiuchumi na kijeshi zaidi ya mataifa 35+
Mkuu ukubwa na sifa ulizozimwaga kwa jeshi la Russia je umewahi kaa na kujiuliza suali hili? na je ulipata jibu gani kwenye kichwa chako? mana nakumbuka JK alisema ukiambiwa na wewe jiambie. mimi nadhan kuna walakini
maana:-

1. Sasa ni inaingia mwezi wa 5 nchi kama ukraine kwa sifa ulizomwaga ilitakiwa hardly operation ichuku japo wiki 2 hadi hadi 3 biashara imemaliza.

2. Nikifuatilia vita vingi sana huko nyuma vilivyopigwana naona mpaka vita vinaisha kwa tabu Majenerali hufa 1 au 2 tu tofauti nilivyoshuhudia kwa Russia sasa ata mwaka bado zaidi ya 25 wameenda na maji., kuna nini hapa?

4. Russia mwenyewe mara kadhaa amekuwa akijipambanua kama ulivyoeleza lakini mbona huwa hamalizii? Alisema atapiga nuclear sweden na Finland wakijiunga NATO lakini amekuwa kimya wakati maombi yamefanyika mchana kweupe

5. Jana naangalia TV European Leadership wapo Ukraine kumalizia mchaka wa Ukraine kujiunga umoja wa ulaya ambapo Russia alisema hilo halitawezekana abadan kwa ukraine kufanya.

6. Putin alisema akigundua mataifa ya magharibi na ulaya wanasaidia silaha Ukraine atashambulia kwenye hayo mataifa lakini naonba mpaka sasa kimya na mizigo inaingia kila leo.

Yako mengi mengi sana ambayo ukiyatathimini yana walakini nguvu aliyonayo Russia kama ulivyopambanua, huenda jeshi na uwezo wa Russia ulisifika kwenye midomo ya watu na makaratasi tu.
 
Back
Top Bottom