Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
kwasababu Ukraine siyo mwanachama wa NATOKuna swali moja Dogo sana ambalo Mnaulizwa na mara zote mnalikwepa....je ni kwa nini maka sasa NATO haijapeleka majeshi uwanja wa vita kuipiga Urusi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwasababu Ukraine siyo mwanachama wa NATOKuna swali moja Dogo sana ambalo Mnaulizwa na mara zote mnalikwepa....je ni kwa nini maka sasa NATO haijapeleka majeshi uwanja wa vita kuipiga Urusi?
Anga la Ukraine ambayo haina air defense systems imeshindwa kukitawala sembuse anga la NATO ! hizi nchi ni overrated tu. Moskova tuliyoambiwa inalindwa sijui na mitambo gani imezamishwa na kombora la kienyeji kabisa. Urusi zaidi ya nuclear na idadi kubwa ya askari hana cha kuwazidi nchi nyingine.Hujagusia uwezo wa kulitawala anga duniani,,hapa NATO ndo wanajikojolea.
Kuwait alikuwa mwanachama wa NATO?...mbona nato walienda kumpiga Iraqkwasababu Ukraine siyo mwanachama wa NATO
Ile awe mwizi,muuaji,mdhulumuji na muonevu,mpenda mapenzi ya jinsia moja kama hao mashetani Wa NATO!!?Urusi apige magoti tunaweza kufikiria kumpa uanachama wa NATO ili aweze kuimarika kijeshi.
Kama Iraq,Libya,Sirya,Somalia,Afghanistan nk. Walivyokuwa wanachama wa NATOkwasababu Ukraine siyo mwanachama wa NATO
Kwani Libya na Iraq walipeleka kwa sababu gani?Wapeleke majeshi kwasababu gani?
Kwa hiyo wewe na zelewnsk mna akili zaidi. Mi sina akili za kindezi hivyo.utachelewa kujua kuwa huna akil
Kwa hiyo majambazi wakikuvamia kwako na wanasilaha za moto utaenda kupambana nao kwa panga. Sometimes tumia akili kidogobongo tuna vichaa weng sema hamjijui tu , uvamiwe hlf ubembelez aman huku mwenzio anakudunda tu
Kuna swali moja Dogo sana ambalo Mnaulizwa na mara zote mnalikwepa....je ni kwa nini maka sasa NATO haijapeleka majeshi uwanja wa vita kuipiga Urusi?
Ukraine Ina mgogoro na waasi wa doneskk na luhanski piaLibyia ilikuwa ni mgogoro baina ya waasi na serikali , sijui hizo story nyingine mnatoaga wap?
Kosovo alikua mwanachama wa NATO?kwasababu Ukraine siyo mwanachama wa NATO
Tofauti na nchi za Yugoslavia, Iraq, Afghanistan, Libya na hata Syria.
Urusi ni nchi yenye jeshi kubwa sana hapa duniani na lililokamilika.
Urusi Ina majeshi kamili ya Ardhini,angani na majini.
Sio TU kamili,Bali pia Ina silaha za Kila aina na za kipekee,katika majeshi hayo matatu.
Russia inajua sehemu za kupiga katika Kila mwanachama wa NATO.
Na bahati mbaya kipigo kwa hizo nchi sio Cha kitoto,sio kama anachopewa Ukraine.
Urusi inazo silaha ambazo bado hata haijazitumia kwa Ukraine.
Silaha hizo Zina wasubiri wa NATO,achilia mbali silaha za nyukilia.
Hii ndio moja ya sababu ambayo NATO wanajishauri mara mbili kuingiza majeshi.
Hakuna hata nchi moja ya NATO ambayo IPO tayari kuharibu miundombinu Yao,majengo mazuri na uchumi wa nchi hizo kwa sababu ya Ukraine.
Sababu nyingine ambayo NATO wanaiona na kutotamni kuingia kijeshi ni washirika wa Urusi.
Unaweza kuona kama Urusi Haina washirika ,ama hawako tayari kuiunga mkono Russia ,lakini sio kweli,ukweli ni kwamba NATO wakiingia ,china,Iran,Korea Kaskazini,na wale jamaa wa mashariki mwa Urusi waliokua sehemu ya USSR zamani nao wataingia vitani kumsaidia Urusi.hii nayo ni sababu nyingine inayowafanya NATO waingiwe na mawazo.
Sababu za washirika wa Urusi kuingia ni kwamba kwa mfano china.china ataona kama Urusi akishindwa maana yake uchina nae atafuata kupigwa na USA na washirika wake,hivyo ataona ni Bora kumsaidia Urusi ili kumdhibiti USA na mabeberu wenzake.
Hali hiyo Iko hivyo kwa Korea Kaskazini.
Hebu fikiria kama Venezuela na Cuba kama zingekua na uwezo wa kijeshi zingefanyaje kama vita ya Urusi na NATO ikitokea.
Watu wengi hawajui kua upande wa East wamajizatiyi sana kijeshi kuliko hata kiuchumi,angalia TU Korea kaskazini.hii ni kwa sababu vitisho vya kuvamiwa vimekua vikubwa mno.kila siku USA unasema itaivamia Korea Kaskazini.nayo Korea ikaamua kujizatiti kijeshi zaidi kwanza uchumi baadae.
Hebu Sasa tuangalie uwezo wa kijeshi kati ya Ukraine na nchi zilizovamiwa na USA NATO.
Kijeshi Ukraine ni Bora zaidi kuliko Iran, Afhanistan,na hata Libya.Angalau Yugoslavia ilikua na uwezo,haya hivyo haikua Yugoslavia kamili kwa sababu ilkua tayari imeanza kusambaratika.
Afhanistan haikua na Jeshi la majini wala la angani,haikua na Jeshi la ardhini lililokamilika zaidi ni jeshi la wanamgambo.
Jeshi la Iraq halikua imara kama Ukraine ya Leo.
Syria ilishakamatwa %80 na waasi.
Ukraine Ina silaha nyingi sana,Kambi nyingi za kijeshi,jeshi Bora kabisa. Naliliofundishwa na USA UK na NATO.wengine kwa miaka minane.
Baada ya vita kuanza Ukraine imekua ikipata taarifa za kiintelijensia kutoka taasisi zote kubwa za kiintelijensia za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata ushauri wa kijeshi kutoka wataalamu wa kivita wa nchi zote za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata michango ya silaha kutoka nchi zote za NATO.
Imekua ikipata misaada ya fedha na kilojistiki kutoka nchi za NATO.
Imekua ikitiwa moyo kutoka nchi za west nato na washirika wao wa mbali kama Japan na Australia.
Imesaidiwa kiuchumi kwa kudhoofisha Urusi kiuchumi kwa kuwekewa vikwazo vikubwa sana..
Sasa hebu fikiria Urusi ni nchi ya aina Gani kupigana na nchi inayosaidiwa kwa Kila kitu kutoka mataifa makubwa sana kiuchumi na kijeshi zaidi ya mataifa 35+
Mhmm jamaa yupo vitani na Dunia?Tofauti na nchi za Yugoslavia, Iraq, Afghanistan, Libya na hata Syria.
Urusi ni nchi yenye jeshi kubwa sana hapa duniani na lililokamilika.
Urusi Ina majeshi kamili ya Ardhini,angani na majini.
Sio TU kamili,Bali pia Ina silaha za Kila aina na za kipekee,katika majeshi hayo matatu.
Russia inajua sehemu za kupiga katika Kila mwanachama wa NATO.
Na bahati mbaya kipigo kwa hizo nchi sio Cha kitoto,sio kama anachopewa Ukraine.
Urusi inazo silaha ambazo bado hata haijazitumia kwa Ukraine.
Silaha hizo Zina wasubiri wa NATO,achilia mbali silaha za nyukilia.
Hii ndio moja ya sababu ambayo NATO wanajishauri mara mbili kuingiza majeshi.
Hakuna hata nchi moja ya NATO ambayo IPO tayari kuharibu miundombinu Yao,majengo mazuri na uchumi wa nchi hizo kwa sababu ya Ukraine.
Sababu nyingine ambayo NATO wanaiona na kutotamni kuingia kijeshi ni washirika wa Urusi.
Unaweza kuona kama Urusi Haina washirika ,ama hawako tayari kuiunga mkono Russia ,lakini sio kweli,ukweli ni kwamba NATO wakiingia ,china,Iran,Korea Kaskazini,na wale jamaa wa mashariki mwa Urusi waliokua sehemu ya USSR zamani nao wataingia vitani kumsaidia Urusi.hii nayo ni sababu nyingine inayowafanya NATO waingiwe na mawazo.
Sababu za washirika wa Urusi kuingia ni kwamba kwa mfano china.china ataona kama Urusi akishindwa maana yake uchina nae atafuata kupigwa na USA na washirika wake,hivyo ataona ni Bora kumsaidia Urusi ili kumdhibiti USA na mabeberu wenzake.
Hali hiyo Iko hivyo kwa Korea Kaskazini.
Hebu fikiria kama Venezuela na Cuba kama zingekua na uwezo wa kijeshi zingefanyaje kama vita ya Urusi na NATO ikitokea.
Watu wengi hawajui kua upande wa East wamajizatiyi sana kijeshi kuliko hata kiuchumi,angalia TU Korea kaskazini.hii ni kwa sababu vitisho vya kuvamiwa vimekua vikubwa mno.kila siku USA unasema itaivamia Korea Kaskazini.nayo Korea ikaamua kujizatiti kijeshi zaidi kwanza uchumi baadae.
Hebu Sasa tuangalie uwezo wa kijeshi kati ya Ukraine na nchi zilizovamiwa na USA NATO.
Kijeshi Ukraine ni Bora zaidi kuliko Iran, Afhanistan,na hata Libya.Angalau Yugoslavia ilikua na uwezo,haya hivyo haikua Yugoslavia kamili kwa sababu ilkua tayari imeanza kusambaratika.
Afhanistan haikua na Jeshi la majini wala la angani,haikua na Jeshi la ardhini lililokamilika zaidi ni jeshi la wanamgambo.
Jeshi la Iraq halikua imara kama Ukraine ya Leo.
Syria ilishakamatwa %80 na waasi.
Ukraine Ina silaha nyingi sana,Kambi nyingi za kijeshi,jeshi Bora kabisa. Naliliofundishwa na USA UK na NATO.wengine kwa miaka minane.
Baada ya vita kuanza Ukraine imekua ikipata taarifa za kiintelijensia kutoka taasisi zote kubwa za kiintelijensia za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata ushauri wa kijeshi kutoka wataalamu wa kivita wa nchi zote za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata michango ya silaha kutoka nchi zote za NATO.
Imekua ikipata misaada ya fedha na kilojistiki kutoka nchi za NATO.
Imekua ikitiwa moyo kutoka nchi za west nato na washirika wao wa mbali kama Japan na Australia.
Imesaidiwa kiuchumi kwa kudhoofisha Urusi kiuchumi kwa kuwekewa vikwazo vikubwa sana..
Sasa hebu fikiria Urusi ni nchi ya aina Gani kupigana na nchi inayosaidiwa kwa Kila kitu kutoka mataifa makubwa sana kiuchumi na kijeshi zaidi ya mataifa 35+
Soma hapo juu.Kuna swali moja Dogo sana ambalo Mnaulizwa na mara zote mnalikwepa....je ni kwa nini maka sasa NATO haijapeleka majeshi uwanja wa vita kuipiga Urusi?
Atasimamishaje hajaambiwa Malaya wake wanaume wake wanaomsaidia. From the very beginning nilisema lawama zote kuiingiza nchi vitani, kusababisha vifo, homeles, refugee ni zelensky, he is very stupid. Wkati wa vita barid tulichagua NAM(NON ALIGNMENT)Pia kasema askari wake kati ya 160 - 240 wanauwawa kila siku kwenye mapigano.
Lakini hajaona sababu ya kusimamisha vita
Kwa sababu Ukraine sio mwanachama wa NATO. Urusi akavamie mwanachama wa NATO halafu wakishindwa kupeleka jeshi ndio uje kuwananga humu.Kuna swali moja Dogo sana ambalo Mnaulizwa na mara zote mnalikwepa....je ni kwa nini maka sasa NATO haijapeleka majeshi uwanja wa vita kuipiga Urusi?
Libya alikuwa mwanachama wa natokwasababu Ukraine siyo mwanachama wa NATO
Mkuu ukubwa na sifa ulizozimwaga kwa jeshi la Russia je umewahi kaa na kujiuliza suali hili? na je ulipata jibu gani kwenye kichwa chako? mana nakumbuka JK alisema ukiambiwa na wewe jiambie. mimi nadhan kuna walakiniTofauti na nchi za Yugoslavia, Iraq, Afghanistan, Libya na hata Syria.
Urusi ni nchi yenye jeshi kubwa sana hapa duniani na lililokamilika.
Urusi Ina majeshi kamili ya Ardhini,angani na majini.
Sio TU kamili,Bali pia Ina silaha za Kila aina na za kipekee,katika majeshi hayo matatu.
Russia inajua sehemu za kupiga katika Kila mwanachama wa NATO.
Na bahati mbaya kipigo kwa hizo nchi sio Cha kitoto,sio kama anachopewa Ukraine.
Urusi inazo silaha ambazo bado hata haijazitumia kwa Ukraine.
Silaha hizo Zina wasubiri wa NATO,achilia mbali silaha za nyukilia.
Hii ndio moja ya sababu ambayo NATO wanajishauri mara mbili kuingiza majeshi.
Hakuna hata nchi moja ya NATO ambayo IPO tayari kuharibu miundombinu Yao,majengo mazuri na uchumi wa nchi hizo kwa sababu ya Ukraine.
Sababu nyingine ambayo NATO wanaiona na kutotamni kuingia kijeshi ni washirika wa Urusi.
Unaweza kuona kama Urusi Haina washirika ,ama hawako tayari kuiunga mkono Russia ,lakini sio kweli,ukweli ni kwamba NATO wakiingia ,china,Iran,Korea Kaskazini,na wale jamaa wa mashariki mwa Urusi waliokua sehemu ya USSR zamani nao wataingia vitani kumsaidia Urusi.hii nayo ni sababu nyingine inayowafanya NATO waingiwe na mawazo.
Sababu za washirika wa Urusi kuingia ni kwamba kwa mfano china.china ataona kama Urusi akishindwa maana yake uchina nae atafuata kupigwa na USA na washirika wake,hivyo ataona ni Bora kumsaidia Urusi ili kumdhibiti USA na mabeberu wenzake.
Hali hiyo Iko hivyo kwa Korea Kaskazini.
Hebu fikiria kama Venezuela na Cuba kama zingekua na uwezo wa kijeshi zingefanyaje kama vita ya Urusi na NATO ikitokea.
Watu wengi hawajui kua upande wa East wamajizatiyi sana kijeshi kuliko hata kiuchumi,angalia TU Korea kaskazini.hii ni kwa sababu vitisho vya kuvamiwa vimekua vikubwa mno.kila siku USA unasema itaivamia Korea Kaskazini.nayo Korea ikaamua kujizatiti kijeshi zaidi kwanza uchumi baadae.
Hebu Sasa tuangalie uwezo wa kijeshi kati ya Ukraine na nchi zilizovamiwa na USA NATO.
Kijeshi Ukraine ni Bora zaidi kuliko Iran, Afhanistan,na hata Libya.Angalau Yugoslavia ilikua na uwezo,haya hivyo haikua Yugoslavia kamili kwa sababu ilkua tayari imeanza kusambaratika.
Afhanistan haikua na Jeshi la majini wala la angani,haikua na Jeshi la ardhini lililokamilika zaidi ni jeshi la wanamgambo.
Jeshi la Iraq halikua imara kama Ukraine ya Leo.
Syria ilishakamatwa %80 na waasi.
Ukraine Ina silaha nyingi sana,Kambi nyingi za kijeshi,jeshi Bora kabisa. Naliliofundishwa na USA UK na NATO.wengine kwa miaka minane.
Baada ya vita kuanza Ukraine imekua ikipata taarifa za kiintelijensia kutoka taasisi zote kubwa za kiintelijensia za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata ushauri wa kijeshi kutoka wataalamu wa kivita wa nchi zote za Upande wa west NATO.
Imekua ikipata michango ya silaha kutoka nchi zote za NATO.
Imekua ikipata misaada ya fedha na kilojistiki kutoka nchi za NATO.
Imekua ikitiwa moyo kutoka nchi za west nato na washirika wao wa mbali kama Japan na Australia.
Imesaidiwa kiuchumi kwa kudhoofisha Urusi kiuchumi kwa kuwekewa vikwazo vikubwa sana..
Sasa hebu fikiria Urusi ni nchi ya aina Gani kupigana na nchi inayosaidiwa kwa Kila kitu kutoka mataifa makubwa sana kiuchumi na kijeshi zaidi ya mataifa 35+