The Ape
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 330
- 475
Salamu zenu wapendwa
Kutokana na experience ya hapa na pale, watu wameonekana kulalamikia physics ya A-level kuwa ni ngumu sana. Je! nini kinachofanya advanced physics kuwa ngumu? nini kifanyike kwa wadogo zenu waione advanced physics ni somo jepesi?
Waiting for your suggestions
Kutokana na experience ya hapa na pale, watu wameonekana kulalamikia physics ya A-level kuwa ni ngumu sana. Je! nini kinachofanya advanced physics kuwa ngumu? nini kifanyike kwa wadogo zenu waione advanced physics ni somo jepesi?
Waiting for your suggestions