Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Kwa mtazamo wangu advanced physics sio ngumu kiviiile ila huonekana ngumu kwa sababu kadhaa
-topics ni nyingi alafu muda wa miaka miwili hautoshi kucover na kumaster vizuri concepts though watu wanapambana sana wanatoka
-kukosekana kwa walimu wanaofundisha vizuri. ..wengi husoma kwa kuunga unga mara mchiki down mara mapambano ili mradi tafrani
-nn kifanyike nitarudi baadae na wengine wataongezea.
Ni kweli kabisa mkuu...ni moja ya masomo yanayotia radha kuyasoma kama resources zinakuwepo. Vitabu, walimu wazuri, maabara etc...If I have to do it all over again, without any hesitation I will do it.