Ugumu wa kupata haki toka Benki ya Posta

Ugumu wa kupata haki toka Benki ya Posta

Zyusual

Senior Member
Joined
Nov 9, 2018
Posts
137
Reaction score
121
Habari zenu wakuu,nina ndugu yangu amestaafu kwa hiyari tangu miaka minne iliyopita,Huyu ndugu yangu alipokuwa kazini alikopa kiasi fulani cha pesa toka TPB lakini huu mkopo alifanikiwa kuulipa wote kipindi yupo kazini,lakini tatizo likajitokeza kipindi mafao yalipotoka kwani kile kiasi cha pesa alichokopa kilikatwa tena,muhusika alijaribu kufuatilia lakini ikawa wanamzungusha tu mpaka leo hela haijarudi.

Cha kushangaza zaidi katika mshahara wake wa mwisho wa mwezi bado benki ya posta wanaendelea kumkata na hili muhusika alikuwa halijui mpaka PSSF walipomueleza kwamba Kiasi anachopokea siyo sahihi kwani kingine kinaenda TPB,Kumekuwa na ugumu wa kupata haki ya mstaafu toka benki hii ingawa PSSF walishawatumia barua kwamba anakatwa kimakosa

Naomba ushauri wenu katika hili maana mtu mmoja ameshalipishwa mara mbili na hii anayokatwa ni ya tatu.
 
Habari zenu wakuu,nina ndugu yangu amestaafu kwa hiyari tangu miaka minne iliyopita,Huyu ndugu yangu alipokuwa kazini alikopa kiasi fulani cha pesa toka TPB lakini huu mkopo alifanikiwa kuulipa wote kipindi yupo kazini,lakini tatizo likajitokeza kipindi mafao yalipotoka kwani kile kiasi cha pesa alichokopa kilikatwa tena,muhusika alijaribu kufuatilia lakini ikawa wanamzungusha tu mpaka leo hela haijarudi.

Cha kushangaza zaidi katika mshahara wake wa mwisho wa mwezi bado benki ya posta wanaendelea kumkata na hili muhusika alikuwa halijui mpaka PSSF walipomueleza kwamba Kiasi anachopokea siyo sahihi kwani kingine kinaenda TPB,Kumekuwa na ugumu wa kupata haki ya mstaafu toka benki hii ingawa PSSF walishawatumia barua kwamba anakatwa kimakosa

Naomba ushauri wenu katika hili maana mtu mmoja ameshalipishwa mara mbili na hii anayokatwa ni ya tatu.
Hii ni kawaida sana kwa taasisi nyingi za Serekali kuzungusha au kurefusha jambo! Mi bado niko na Jalada kwa DPP lakini mpaka leo napigwa kalenda na nimetulia sina chakufanya! Maana sina Mamlaka ya kumpelekea Hakimu Jalada langu, lazima lipelekwe na Mtu!Sasa huyo Mtu mwenyewe anavyo niringia kupeleka Jalada langu Mahakamani hadi nashindwa kumuelewa!!
 
Nenda makao makuu ya bank ya posta bagamoyo road makumbusho jengo la millenium tower
 
Hii ni kawaida sana kwa taasisi nyingi za Serekali kuzungusha au kurefusha jambo! Mi bado niko na Jalada kwa DPP lakini mpaka leo napigwa kalenda na nimetulia sina chakufanya! Maana sina Mamlaka ya kumpelekea Hakimu Jalada langu, lazima lipelekwe na Mtu!Sasa huyo Mtu mwenyewe anavyo niringia kupeleka Jalada langu Mahakamani hadi nashindwa kumuelewa!!
Pole mkuu,hapo kuna mtu anataka rushwa
 
Hii nchi hii

Inauonevu na unyonyaji sna

Ila apambane mpaka mwisho iyo hela asipokuwa makini ataipoteza
Habari zenu wakuu,nina ndugu yangu amestaafu kwa hiyari tangu miaka minne iliyopita,Huyu ndugu yangu alipokuwa kazini alikopa kiasi fulani cha pesa toka TPB lakini huu mkopo alifanikiwa kuulipa wote kipindi yupo kazini,lakini tatizo likajitokeza kipindi mafao yalipotoka kwani kile kiasi cha pesa alichokopa kilikatwa tena,muhusika alijaribu kufuatilia lakini ikawa wanamzungusha tu mpaka leo hela haijarudi.

Cha kushangaza zaidi katika mshahara wake wa mwisho wa mwezi bado benki ya posta wanaendelea kumkata na hili muhusika alikuwa halijui mpaka PSSF walipomueleza kwamba Kiasi anachopokea siyo sahihi kwani kingine kinaenda TPB,Kumekuwa na ugumu wa kupata haki ya mstaafu toka benki hii ingawa PSSF walishawatumia barua kwamba anakatwa kimakosa

Naomba ushauri wenu katika hili maana mtu mmoja ameshalipishwa mara mbili na hii anayokatwa ni ya tatu.
 
Nenda kwa Mkurugenzi wa Benki yaani kamwone Sabasaba Moshingi ni Mtu mzuri sana kwani hana makuu kabisa.
Au nenda ktk branch yoyote omba namba na hapa Jf kama yuko mwenye namba atakuwekea hapa.
Pole sana
 
Nenda kwa Mkurugenzi wa Benki yaani kamwone Sabasaba Moshingi ni Mtu mzuri sana kwani hana makuu kabisa.
Au nenda ktk branch yoyote omba namba na hapa Jf kama yuko mwenye namba atakuwekea hapa.
Pole sana
Asante kwa ushauri mkuu
Naamini mwenye mawasiliano yake atanisaidia
 
Pole mkuu,hapo kuna mtu anataka rushwa
Mkuu Mwaka na miezi Jalada la kugushi bado linacheza office mbili tu! Office ya RPO na office ya RCO! Mahakamani siyo leo hiyo najua!!
 
Back
Top Bottom