Wakuu habari za wikend!
Wakuu baada ya Mh, Raisi Magufuli kuruhusu shughuli na miradi ziendelee , Nime Jaribu kutafuta riziki kwenye miradi ya ujenzi inayo endelea hapa Dar bila mafanikio, huku familia ikizidi kuumia njaa, Nikaona ni bora nijaribu kuja huku kwenye ujenzi wa bwawa la Umeme la Nyerere, Maarufu kama Stiegler's Gorge. Wakuu nimesha kabidhi Kwa Hr, CV na barua ya maombi ya kazi ya Fundi nondo (Steel fixer)
Kutokana na njaa ndani ya familia yangu Pia nimeomba kazi za kibarua( labour) kama nafasi ya kazi ya fani yangu ikichelewa kutoka. Kwa sasa barua zinazopewa kipaumbele ni za wazawa wa kijiji hiki na wale walio omba toka miezi ya nyuma. Wakuu Kwa utaratibu huu njaa itaiua familia yangu
Jamani wana JF wenzangu naombeni Kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia nikapata kazi hapa mapema anisaidie maana familia yangu itakufa njaa .Sina pakukimbilia zaidi ya kuja kwenu wana JF
Asanteni.
0765544791
Wakuu baada ya Mh, Raisi Magufuli kuruhusu shughuli na miradi ziendelee , Nime Jaribu kutafuta riziki kwenye miradi ya ujenzi inayo endelea hapa Dar bila mafanikio, huku familia ikizidi kuumia njaa, Nikaona ni bora nijaribu kuja huku kwenye ujenzi wa bwawa la Umeme la Nyerere, Maarufu kama Stiegler's Gorge. Wakuu nimesha kabidhi Kwa Hr, CV na barua ya maombi ya kazi ya Fundi nondo (Steel fixer)
Kutokana na njaa ndani ya familia yangu Pia nimeomba kazi za kibarua( labour) kama nafasi ya kazi ya fani yangu ikichelewa kutoka. Kwa sasa barua zinazopewa kipaumbele ni za wazawa wa kijiji hiki na wale walio omba toka miezi ya nyuma. Wakuu Kwa utaratibu huu njaa itaiua familia yangu
Jamani wana JF wenzangu naombeni Kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia nikapata kazi hapa mapema anisaidie maana familia yangu itakufa njaa .Sina pakukimbilia zaidi ya kuja kwenu wana JF
Asanteni.
0765544791