Ugumu wa kuwakamata Matapeli wa mitandaoni na wale wa Kuuza Bata fake

Ugumu wa kuwakamata Matapeli wa mitandaoni na wale wa Kuuza Bata fake

Juzi kati walimpigia kaka yangu simu kuwa mwanaye wa darasa la 5 amevunjika mkono shuleni yupo hospitali moja hivi, na wakamtajia jina la mtoto kabisa. kaka akawaambia ngoja niongee na mama yake wakamwambia tuma pesa, yaani wanachofanya hawakupi mda wa kufikiri.

nachojiuliza mpaka saivi ni kuwa walijuaje jina la mtoto?
Kaka yako aliwatumia?
 
Kuna dogo mmoja kamaliza chuo mwaka jana kumbe aliishajiunga na awa mbwea kaingia cha kike kanasa na kusababisha kukamatwa wengine 12 wamepata taabu wechakaa ila nimelazimika kuingilia kati kumnasua uyo dogo kasema hawezi rudia tena njia ya kuwakamata ipo sema wengi wanakula na makamishena walioko makao makuu wanasoma gazeti ni sawa na wauza unga unadhani hatuwajui? Wanajulikana lakini ukimkamata kabla hajamaliza kuhojiwa tayari aishadhaminiwa. Achana na dunia hii imejaa mauzauza.
 
Kwa upande wa software uko usiseme ata sasa ivi kutruck simu yako sasa ivi nakupa siku mbili nitakukamata kama kuku ila hizi ni biashara za wenyewe.
 
HALO POINT!! Ongera Umepokea milion sita Tsh.6,000,000.00 kutoka Kampun Za HALOPOINTS Piga simu namba TCRA 0682304274 kupokea Muamala wako Ahsante.


leo nimetumiwa huo ujumbe, asubuhi tu [emoji16][emoji16]
 
Teknolojia yetu ndogo ndugu lakini hao matapeli wanapatikana kirahisi sana. TCRA hakuna watu smart kabisa kwasababu wanapeana kazi kwa michongo. Kuna vijana wanajua IT hadi unaweza kuzimia, cm ya mtu inaweza kufuatiliwa hadi point husika, unakamata mtu kama kuku mwenye kideli. Serikali iache janja janja aiwekeze kwenye Cyber security!
 
Back
Top Bottom