Akthoo
JF-Expert Member
- Nov 5, 2007
- 1,001
- 1,021
"HUU NI UZUSHI; SIO TANZANIA! HAPO NI MOMBASA, KENYA."Ugumu wa maisha Tanzania, mwanamke ajirusha kutoka kwenye ferry baharini akiwa na mtoto!!
View attachment 2694281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"HUU NI UZUSHI; SIO TANZANIA! HAPO NI MOMBASA, KENYA."Ugumu wa maisha Tanzania, mwanamke ajirusha kutoka kwenye ferry baharini akiwa na mtoto!!
View attachment 2694281
father benard.😁[emoji16]nimecheka huyo dingi aliyeteleza na kula mweleka!
[emoji16][emoji16][emoji16]father benard.[emoji16]
Acha kutishia watu, matatizo gani yatamkuta?,kutwa kulalama humu ,serikali ya CCM haioni aibu hapo uokoaji ni zero, watu wasiojua jinsi ya kuokoa wanashindana kumvuta mikono wakati hawajui wapi ameumia,wapi kikosi cha uokoaji?wilaya inatumia 600M kununua gari la DED,gari la zimamoto hawana!Tumia uhuru wako vizuri kwenye kutoa habari vinginevyo utajikuta matatizoni kwa kukurupuka.
Hiyo habari inajieleza hicho kivuko hakipo Tanzania, hivyo asikurupuke kuandika mambo asiyo na uhakika nayo. Ndiyo ujumbe wangu kwake.Sasa ulitaka aandike ugumu wa maisha Dubai ili hali ajali imetokea Tanganyika?
Usipokua makini utakula ban kwa uzushiUgumu wa maisha Kenya, mwanamke ajirusha kutoka kwenye ferry baharini akiwa na mtoto!!
View attachment 2694281