Ugumu wa maisha ni jambo la kusadikika halipo kiuhalisia na sijawahi kuliona na halitatokea

Ugumu wa maisha ni jambo la kusadikika halipo kiuhalisia na sijawahi kuliona na halitatokea

Good!

Huo ni uhalisia wako wewe. Kukosa kipimo hakuondoi uhalisia wa kitu. Ni kama unavyofanya wewe sasa hivi.

Sasa niambie ni unajuaje huo "uhalisia" wako ni sahihi? Na kwako uhalisia ni nini au una maana gani?

Jibu maswali yangu ili tuwe na intelligent debate as gentlemen.

Samico Tanzania Unakimbia nini aisee? Au unakubali hoja yako haina mashiko?
Ushajijibu mwenyewe kwamba maisha magumu hayana kipimo unataka nipruvu nini zaidi!

Jambo ambalo halina kipimo maana yake halipo!
Na lisipokuwepo maana yake ni la kufikirika! Halipo
 
Kila mzazi mwenye mwanafunzi anatakiwa awe anapeleka dawati moja na mahindi, mchele na maharage shuleni.
Unafaham mifumo ya kitaasisi ni nini! Wee kama unaona maisha magumu ni wewe! Lakini ukweli ni kwamba maisha ni simple sana ukitumia mazingira ulipo ipasavyo
 
Mtoto afundishwe kuchunga ng'ombe.
Kwani pale Sua mnaposoma live stock keeping huwa mnafundishwa kurusha ndege? Si ni ufugaji tu na ulimaji!

Yaani kutengeza kitalu cha mboga mnasoma miaka mitatu! Halafu ukimaliza unawaona waliolima na kufuga miaka na miaka kijijini kwamba hatujui kitu!

Dunia inafuta vya maana mnaambuliwa kujifungia kwenye kapu la digrii ya ufugaji!
Lakini mimi na wewe tukipewa ng'ombe tufuge! Wangu watazaana fasta kuliko wako na digrii yako
 
Ugumu wa Maisha ndîo ulikufanya uende Manyara kuchunga mifugo badala ya kwenda shule kusoma
Nilienda kuchunga kwanza maana ndiyo fursa niliyotakiwa kuifanya wakati huo! Ningeenda kusoma ningeruka stage halafu ningelalamika.

Kila binadam anapokua huletewa njia zake! Watu Wengi wamejikuta dunia inawaharibia njia zao kwa kuishi maisha mengine
 
Akili huna, samahani lakini mkuu
Bora ukose akili kuliko kushindwa kuitumia akili uliyonayo!
Kuna tofauti gani ya mtu mwenye boya la kuogelea halafu hajui kulitumia na ambaye hana boya la kuogelea lakini anajua kuogelea?

Hiyo akili ya ujinga kwakweli sina
 
Nilienda kuchunga kwanza maana ndiyo fursa niliyotakiwa kuifanya wakati huo! Ningeenda kusoma ningeruka stage halafu ningelalamika.

Kila binadam anapokua huletewa njia zake! Watu Wengi wamejikuta dunia inawaharibia njia zao kwa kuishi maisha mengine

Yapo Maisha Magumu na yapo Maisha mazuri .

Mtazamo wako NI mzuri Kwa Amani ya Moyo na kutosheka na ulichonacho na ulichojaliwa lakini haibadili ukweli kuwa Yapo Maisha magumu
 

Attachments

  • download (13).jpeg
    download (13).jpeg
    10 KB · Views: 1
Hapo kariakoo kuna watu wanatafta vijana waaminifu wa kubeba mizigo kuwapelekea parking!
Lakini kutwa vijana wako busy kuibia watu ambacho hawajui Ukifanya uaminifu mazingira yanatabia ya kukurebo .

.popote utakapokwenda unatembea na hiyo rebo ya mazingira uliyofanya kwa uaminifu inakuwa cv yako utakakokwrnda popote.

Ukifanya utapeli pia mazingira yanakurebo kwa utapeli wako!
Wata rebolewa mpka wajute...
 
Yapo Maisha Magumu na yapo Maisha mazuri .

Mtazamo wako NI mzuri Kwa Amani ya Moyo na kutosheka na ulichonacho na ulichojaliwa lakini haibadili ukweli kuwa Yapo Maisha magumu
Kuna maisha halisi na maisha ya kuifurahisha jamii!

Ukichagua maisha halisi hakuna ugumu utaupata! Lakink ukichagua maisha ili uonekane na jamii hapo ndipo tatizo linaanza!
Utalazimika kujenga kama wao wanavyotaka ambapo ni ngumu utavaa kama wale utashindwa n.k

Maisha halisi ni unatumia kilichopo kuishi sasa hapo kuna ugumu gani?

Hizo mali kibao mtahangaika mpaka mnatenda makosa wengine had mnaua mnaambulia laana inawafuatilia kizazi hadi kizazi!

Maisha halisi yanakufanya uwe na aman, nakupa imani kiroho yanakupa nguvu halisi ya ulimwengu! N.k
Ukiishi maisha halisi hakuna wa kukutisha!

Humu penyewe jf watu wengi mna utambulisho feki feki mnaishi kwa wasiwasi!
Lakini sisi tuko huru na tunaamani kabisa!
 
Elimu haijamsaidia! Maanake huyo alitakiwa kuwa bodaboda kwanza ndipo akasome chuo
Hujawahi kua na maisha nagumu kwanza useme hao ng'ombe huko Hanang walikua wa nani? Unatuletea soga na vigano hapa ushasema ulikua na ng'ombe unawachunga kisha ukapewa ng'ombe huoni km ulikua hauna maisha magumu?
 
Back
Top Bottom